Hainaga digirii

Hainaga digirii

Status
Not open for further replies.
am trying to be flexible nakusupport dada,ukweli kuna wanawake tunazidisha yani digrii tu full mashauzi(altow sio wote)digrii ni ofcn kwako tu ukitoka we jiweke kama wengine,yan unakuta mtu kaingia salun mbwembwe nying kisa ana kidigrii anasahau kama digrii siku izi kila mtu ana digrii,inabidi tuendane na mazingira nyumbani behave to your man,ukienda uswaz ishi kiuswaz huo ndo usomi seriously wi nid to change wadada
 
Bwahahaha Education is sexy jaman. Sa watu waache kusoma au? After all maisha si kujua 2 kumridhisha bwana, wengine hadi wanabebwa mgongoni muda wa kuoga na bwana akikasirika anaambiwa "tema mate tumchape" but still bwana anaenda kukitembeza nje. Sasa kwa mfano huyo bwana akikukimbia au kafukuzwa kazi utakula nin dushelele au? Balance mapenzi na kusaka noti (including na kusoma). Kusoma nasoma na bwana nampetipeti haswaa, kama huamin, mlete hapa hy bwana ako nimuonyeshe mautundu ya degree kwenye mapenz. Mtuache tulaleeee na Degree zetu jaman khaaaaaa.
 
Waambie mwaya wamezidi sana hao wanaojidai wamesoma.

inferiority complex @ work. unasemaje kuhusu wa std 7 wenye maringo? tuache over generalisation. with or without education, human beings are not angels.

kwenye bold: wasio na digrii pia wana maringo ila wanazidiwa na wenye digrii! kazi ipo
 
am trying to be flexible nakusupport dada,ukweli kuna wanawake tunazidisha yani digrii tu full mashauzi(altow sio wote)digrii ni ofcn kwako tu ukitoka we jiweke kama wengine,yan unakuta mtu kaingia salun mbwembwe nying kisa ana kidigrii anasahau kama digrii siku izi kila mtu ana digrii,inabidi tuendane na mazingira nyumbani behave to your man,ukienda uswaz ishi kiuswaz huo ndo usomi seriously wi nid to change wadada

well said, ila kwenye bold :A S-confused1:
 
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.

funguka bana, kwani ilikuwaje?
 
Hahaha. Kwa hiyo anajisifia kuwa senior house maid wangu kwa sababu mume wangu anamtuma akalete fundi bomba, akitumiwa hela kwa mpesa anaambulia cha juu 20tau?! Ahahaha, mie sijali kama fundi bomba kaleta yeye ama kaleta fundi mzibuaji anaeitwa hamisi bin sijali. Tunashukuru kwa kusaidia waume zetu. Cha ajabu ni hayo makelele, umewekwa small house na hiyo ndo thamani yako. Si uendelee kuenjoy kuulizwa namba za mafundi hehehe.

Kweli kujitambua ni muhimu. Asante mke mwenza. Ntajithaminisha na kumpenda mume, ila tunakuhitaji. That reminds me, hii garden inahitaji manicure, paw atakupigia asubuhi tafadhali.
Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.
Haya ngumbaru anaringia papuchu yake basi na wewe mwenye digrii mwache afaidi yatokanayo na papuchu yake.
Hata nje ya papuchu ngumbaru mimi bado nina nafasi kubwa sana ukiona fundi bomba, umeme, friji, mkata fensi, fundi mabanda usijisifu kamtafuta mumeo ngumbaru mie ambaye sina digrii hao ndio ninao fanya nao kazi na mimi ndio ninayempa mumeo awalete kwako.

Kaeni chini mjitathmini, waume zenu wanahitaji kupendwa kuthaminiwa kusaidiwa kuheshimiwa na sio kujihashua kaa kono la pweza kisa eti nimesoma.

sasa kama papuchi ndo mtaji pekee aliopewa na wazazi wake afanyeje? Kweli usomi umetuharibu akili. Mi namshauri paw kwenye maujenzi na kununua assets na magari, yeye anajisifia ana contcts za mafundi bomba na wakata fence. Hehehe akili ndogo inapofikiria inaendesha akili kubwa tena kwa remote.
sikujua kama papuchi ni asset kama asset nyingine! ukute labda anaweza hata kuchukulia mkopo benk kama colateral mwenzetu!

nani kakuambia?
Wenye digrii wako reserved sana kwenye mambo ya 6x6.
 
Labda wasio na degree wanaringa ila sasa kama the only thing cha kuringia ni papuchi, bayo hata mwenye digrii anayo! Sababu za kuringa ziko nyingi zaidi kwa mwenye digrii kuliko asie na digrii.
inferiority complex @ work.
kwenye bold: wasio na digrii pia wana maringo ila wanazidiwa na wenye digrii! kazi ipo
 
Da Sophy alianzia hapa

akaja hapa
akaona hamjapata somo vilivyo akatupia hii
mkamjia juu sana akona aah isiwe tabu ngoja awarudhie hiii
Wakati mnashangashanga akashusha kitu
teh teh teh leo kanona aje amalizie ni hii
Hainaga Degree!! huyu ndo da sophy bana!

kwii kwii kwii!
Leo...
 
Teh teh ngoja nitafute ngumbaru na mdegeree moja kushoto mwingine kulia naoja huku kisha huku ili nione hizo radha za chumvi
 
Hii hoja isingeletwa kimipasho, ina ukweli kwa mtizamo wangu. Si wanawake tu. Elimu inasaidia sana ila ikitumiwa isivyopasa inaleta karaha baina ya watu, si walio kwenye ndoa tu.

Nimekaa na watu, kila mkiwa na hoja ya kujadili... yeye huishia kusema , mimi msomi bwana, siwezi kujadiliana na watu kama nyinyi, hamjaenda shule, hamjui mambo... WTF! kisa mtu ana digrii moja ya sheria, khaaaa! Usomi wako utumie kwa maendeleo yako.. ukizidisha unaonekana hujaelimika kabisa!

Big up Da Sophy
 
Last edited by a moderator:
I see the point kwenye maneno ya b2k na da sophy,wanachosema kina ukweli wake mtaani na yanaonekana yakitendeka.

Wenye usomi wao watakuja juu oooh!!! hawa ni wkasababu ya shule lakni ukweli unabaki pale pale mwanamke aliyesoma ni majanga kwenye ndoa. Wanawaburuza wanaume utafikiri mikokoteni ndio maana mangumbaru tunasoko zaidi kwa waume zenu wasomi wenzenu.
 
Hebu wapashe mpenzi nimekupendaje. Ati naringia papuchi, kwani huyo mwenye digirii papuchi lake limeng'ofolewa, si analo? Angenizidi basi, kwa kuwa ana papuchi na digirii juu, mbona sa haimsaidii? Mwenyezi Mungu alivyokuumba kwamba papuchi liko mbele lakini digirii waveshwa kichwani hakukosea, alijua matumizi yake ni tafauti. Wabweteka na digirii ambayo kwanza hata haionekani?
Yaani hawa wenye digrii hawa ni mzigo ambao ili uutue lazima ufike, wanadai hawana muda wa kulea ndoa lakin ndio wanaoongoza kuliwa kiboga na madereva wao ofisin. Unakuta hana muda na mume lakini dereva anayemwendesha ndio anaema mzigo kila siku, tena wakizidiwa hata wafagizi wa ofisini mwao. Sasa balaa ni pale ambapo waume zao waliosoma tunaapowakabia, tunakula nao sahani moja, na kudadadeki mie mumeo simwachi na ntampa raha zote atakazo duniani hapa na nitajitahidi kulinda heshima yake asipate mastress. Weee msomi bwia mi wine sijui mi Gin ukidai eti natoa stress
 
Hahaha. Kwa hiyo anajisifia kuwa senior house maid wangu kwa sababu mume wangu anamtuma akalete fundi bomba, akitumiwa hela kwa mpesa anaambulia cha juu 20tau?! Ahahaha, mie sijali kama fundi bomba kaleta yeye ama kaleta fundi mzibuaji anaeitwa hamisi bin sijali. Tunashukuru kwa kusaidia waume zetu. Cha ajabu ni hayo makelele, umewekwa small house na hiyo ndo thamani yako. Si uendelee kuenjoy kuulizwa namba za mafundi hehehe.

Kweli kujitambua ni muhimu. Asante mke mwenza. Ntajithaminisha na kumpenda mume, ila tunakuhitaji. That reminds me, hii garden inahitaji manicure, paw atakupigia asubuhi tafadhali.

sasa kama papuchi ndo mtaji pekee aliopewa na wazazi wake afanyeje? Kweli usomi umetuharibu akili. Mi namshauri paw kwenye maujenzi na kununua assets na magari, yeye anajisifia ana contcts za mafundi bomba na wakata fence. Hehehe akili ndogo inapofikiria inaendesha akili kubwa tena kwa remote.

nani kakuambia?
Hayo ni machache tu kati ya mengi ambayo ninayafanya, na ukweli utabaki kwamba mumeo angekuona wewe wa maana kwanini kaja kwa ngumbaru mie? Hamjui mapenzi, hamjui kupenda, hamjui kuthamini, hamjali mpompo tuuu kisa usomi na malaptop yenu kila siku mnapishana checkin na mumeo na kwa taarifa yako ukimwona kasafiri jua kasafiri na ngumbaru wake.

Tena siku hizi tutaanza kubana kama mnazidisha nyodo, hata vijizawadi tutakaata msiletewe mnaboa sana ingekuwa digrii inamata basi wote wenye digrii ndoa zenu zingekuwa na furaha lakin maskini ya Mungu kumbe degree hailei mume wala haitunzi familia.
 
Hawa wadada hua na maringo utadhani hadi papuchi zao nazo zinapataga degree maringo mengi kisa degree.
 
AHAHAHAHAHAHAHAHAHH sasa wewe shida si digrii sio??
bna tazizo zaid si inaveshwa kichwa tena cha juu tu sio??
sasa tatizo nini hapa Da Sophy??
nauliza tatizo nini??
Hvi lakini mnakumbuka zamani tulikuwa tunaimbaga BILINGE BAIYOYO BILINGE BAIYOO NAMUOMBA DADA FULAN AINGIE KATI ATUONYESHE MARINGO YAKE BINGILI BINGILI MPAKA CHINI...
ngoja nimwite snowhite na Watu 8 waje waongee ile lugha yetu
 
Last edited by a moderator:
am trying to be flexible nakusupport dada,ukweli kuna wanawake tunazidisha yani digrii tu full mashauzi(altow sio wote)digrii ni ofcn kwako tu ukitoka we jiweke kama wengine,yan unakuta mtu kaingia salun mbwembwe nying kisa ana kidigrii anasahau kama digrii siku izi kila mtu ana digrii,inabidi tuendane na mazingira nyumbani behave to your man,ukienda uswaz ishi kiuswaz huo ndo usomi seriously wi nid to change wadada

Una point bidada.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom