Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.
Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?
Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.
Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?
Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
Hahahaha da soph most of women wakisoma wanakuwa na dharau xana cjui kwann
........Sio kwamba dharau, ujue mwanamke msomi anakuwa na hoja.
Sio mtu wa kupelekeshwa.
Tatizo la wanaume anataka akisema kitu basi iwe hivyo hivyo.
Ukihoji tu basi waonekana mke una dharau.
........Sio kwamba dharau, ujue mwanamke msomi anakuwa na hoja.
Sio mtu wa kupelekeshwa.
Tatizo la wanaume anataka akisema kitu basi iwe hivyo hivyo.
Ukihoji tu basi waonekana mke una dharau.
Kumbe kikuinuacho kinaweza kuwa nguoni mwako?
ahaaaa tena wasio kuwa na digrii wana ladha tamu zaidi maana digrii inadilute chumvi eti!
........Sio kwamba dharau, ujue mwanamke msomi anakuwa na hoja.
Sio mtu wa kupelekeshwa.
Tatizo la wanaume anataka akisema kitu basi iwe hivyo hivyo.
Ukihoji tu basi waonekana mke una dharau.
Ngoja leo nikae pembeni nione wenye digrii vs wasio na digrii wanavyotunishiana misuli...
Ajabu wote wana chumvi