Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Tatizo mtoa mada anakuwa kama anawakandia wenye degree simply because wamesoma and not otherwise. Na inaonesha 2 dhahiri kwamba yeye hajasoma na wala hajisikii vibaya wala kuumia that hana elimu yan yeye karidhika tu kalaghabaho sijui kama utawapeleka shule watoto wako dada angu.
My dear "Elimu ni ufunguo wa maisha", haijasemwa kuwa papuchi ni ufunguo wa maisha. Hata kama mume wangu atakuja kwako we ngumbaru, jua tu at the end of the day atarudi kwangu, mimi ndo mkewe halali. Sasa kama anakupenda sana kwa nini hakukuoa wewe akanioa mimi?
Na nikwambie tu vizuri yani siku hizi wasichana wengi tu wa chuoni wanamaliza degree zao na kuolewa fastaaaa. Wanaume wana-invest sana huko vyuoni. Hivi kwa jinsi maisha yalivyo magumu sasa ukimzungushia mumeo bakuli sana ndo mnapata school fees au? Wewe kutwa kuchwa unawaza tu leo baba harris ntampa style ya mbuzi kagoma khaaaa huwazi about future, mtoto tu akikuomba hela ya daftari, utamwambia subiri baba arudi kazini, kweli jaman?
Halafu hujajua tu hata wanaume wanahonga kutokana na hadhi ya mwanamke, wewe ngumbaru ukihongwa sana umeletewa kitenge wax na vocha bac weee unakenua tu kama zombie coz unaona ndo umepataaaaaa, but demu msomi aaah full kuhongwa ma verossa na kupangiwa apartment za maana.
So grow up ma sista, naamini its not too late, kachukue tu hata form ya chuo chochote usome tu hata certificate, uweze kuwa independent afu umsupport huyo bwana kwenye mambo ya maendeleo + na hyo papuchi yako mwenzetu yenye sukari guru basi ndo atakolea kwako vizuri.
My dear "Elimu ni ufunguo wa maisha", haijasemwa kuwa papuchi ni ufunguo wa maisha. Hata kama mume wangu atakuja kwako we ngumbaru, jua tu at the end of the day atarudi kwangu, mimi ndo mkewe halali. Sasa kama anakupenda sana kwa nini hakukuoa wewe akanioa mimi?
Na nikwambie tu vizuri yani siku hizi wasichana wengi tu wa chuoni wanamaliza degree zao na kuolewa fastaaaa. Wanaume wana-invest sana huko vyuoni. Hivi kwa jinsi maisha yalivyo magumu sasa ukimzungushia mumeo bakuli sana ndo mnapata school fees au? Wewe kutwa kuchwa unawaza tu leo baba harris ntampa style ya mbuzi kagoma khaaaa huwazi about future, mtoto tu akikuomba hela ya daftari, utamwambia subiri baba arudi kazini, kweli jaman?
Halafu hujajua tu hata wanaume wanahonga kutokana na hadhi ya mwanamke, wewe ngumbaru ukihongwa sana umeletewa kitenge wax na vocha bac weee unakenua tu kama zombie coz unaona ndo umepataaaaaa, but demu msomi aaah full kuhongwa ma verossa na kupangiwa apartment za maana.
So grow up ma sista, naamini its not too late, kachukue tu hata form ya chuo chochote usome tu hata certificate, uweze kuwa independent afu umsupport huyo bwana kwenye mambo ya maendeleo + na hyo papuchi yako mwenzetu yenye sukari guru basi ndo atakolea kwako vizuri.