Toria
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 1,177
- 699
kwaiyo wenye digrii tulikosea kuzipata sio?
Kumbe tungejua matumizi ya k vizuri tusingepoteza mda kwenda skuli
kwaiyo wenye digrii tulikosea kuzipata sio?
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.
Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?
Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
Ahahahah da sophy. Yaani the only thing you are always proud of ni hiyo papuchi. Ikikatwa hiyo hauna kitu? For real? Kwa nini unapambana sana na digirii zetu? Kama mume tunashare japo wewe umewekwa kibanda umiza, kama una raha sana kuwa small hausi si uendelee kuenjoy? Kelele za nini?
Swala sio kavurugwa ila huo ndio ukweli. Wanawake mliosoma mna maudhi sana nyie kila kitu mnakijua nyie, mume hana nafasi yake yaani nyie ndio mnataka msikike na mnaojua haki za wanawake na haki zenu kwenye ndoa.
Huwaga nawashangaa sana na kuwaonea huruma manake kumbe muda mwingine ndoa inahitaji mtu kuwa mnyenyekevu na mwenye mapenzi ya dhati.
Wee mumeo akivua kiatu kikinuka utaskia nenda kanawe miguu bwana inanuka wakati akienda kwa ngumbaru avuliwa viatu na kuoshwa miguu wafikiri kesho hata mkumbuka ngumbaru wake?
Kupika kwenyewe majanga ukiulizwa mara ya mwisho kupika msosi wa maana kwa mumeo utaskia sikumbuki, lakin akienda kwa ngumbaru wake kila siku anakutana na msosi uliopikwa na unaoliwa kwa staili tofauti, mara leo mkekani, mara leo mezani, mara leo sakafuni alimradi hazoei ama hakinai.
ukiulizwa mara ya mwisho kumpaka mumeo mafuta wala hata hukumbuki lakini kwa ngumbaru mie kila nikitoka kumkogesha nampaka mafuta, namkata akucha kwanini asining'ang'anie??
Kwataarifa yenu wanaume hata huko kubiduka sicho wanachokifwatia kwa ngumbaru ila wanafwata huduma za kimahaba, na kudekezwa, kupewa nafasi ya kupumzika kwa amani, kujaliwa na kauheshimiwa uanaume wao. Huku hakuna kumfokea ama kumwambia siwez huku kila anachokitaka anahudumiwa, utu wake kama mwanaume unathaminiwa, anaheshimiwa na bado dozi ya nguvu anapata isokuwa na mipaka
Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.
Haya ngumbaru anaringia papuchu yake basi na wewe mwenye digrii mwache afaidi yatokanayo na papuchu yake.
Hata nje ya papuchu ngumbaru mimi bado nina nafasi kubwa sana ukiona fundi bomba, umeme, friji, mkata fensi, fundi mabanda usijisifu kamtafuta mumeo ngumbaru mie ambaye sina digrii hao ndio ninao fanya nao kazi na mimi ndio ninayempa mumeo awalete kwako.
Kaeni chini mjitathmini, waume zenu wanahitaji kupendwa kuthaminiwa kusaidiwa kuheshimiwa na sio kujihashua kaa kono la pweza kisa eti nimesoma.
Wenye digrii wako reserved sana kwenye mambo ya 6x6.
I see the point kwenye maneno ya b2k na da sophy,wanachosema kina ukweli wake mtaani na yanaonekana yakitendeka.
sikujua kama papuchi ni asset kama asset nyingine! ukute labda anaweza hata kuchukulia mkopo benk kama colateral mwenzetu!
Waambie mwaya wamezidi sana hao wanaojidai wamesoma.
Umuhimu wa digirii ni ofisini kwako tuu. Na tena ubahatike uwe na ofisi dizaini ya zenye viyoyozi za walioajiriwa, lakini kama ni zile zetu tuliojiajiri penda usipende utakujajifunza mbinu kwa waso digirii vingenevyo unapotezwa kwenye gemu. Uliza digirii wenzio. Digirii sio mali kama mnavodhani. Si tunaona watu na madigirii yao wanavyoingizwa mjini na madalali hapa? Wanaume na madigirii yao wanaingizwa kingi wanarudi hapa na hadithi za mawakili sijui polisi sijui takataka gani bado inakula kwao, ngumbaru wanapeta! Hapo nimezungumzia wanaume, sa unategemea mwanamke anayejivunia digirii kitampata nini kama si majanga tu? Mwanamke ka una digirii katambe nazo huko kwenye makongamano upigiwe makofi, lakini huku pande za kitaa ni manundu tu kwa kwenda mbele, yakikuuma sana pitia supermarket nunua wine ukanywee nyumbani ulewe ikuondoke haya ya kumpigia dereva toyo.The thing is, there is life outside kuonjeshana chumvi. Na hapo ndo umuhimu wa degree unapojulikana.
Umuhimu wa digirii ni ofisini kwako tuu. Na tena ubahatike uwe na ofisi dizaini ya zenye viyoyozi za walioajiriwa, lakini kama ni zile zetu tuliojiajiri penda usipende utakujajifunza mbinu kwa waso digirii vingenevyo unapotezwa kwenye gemu. Uliza digirii wenzio. Digirii sio mali kama mnavodhani. Si tunaona watu na madigirii yao wanavyoingizwa mjini na madalali hapa? Wanaume na madigirii yao wanaingizwa kingi wanarudi hapa na hadithi za mawakili sijui polisi sijui takataka gani bado inakula kwao, ngumbaru wanapeta! Hapo nimezungumzia wanaume, sa unategemea mwanamke anayejivunia digirii kitampata nini kama si majanga tu? Mwanamke ka una digirii katambe nazo huko kwenye makongamano upigiwe makofi, lakini huku pande za kitaa ni manundu tu kwa kwenda mbele, yakikuuma sana pitia supermarket nunua wine ukanywee nyumbani ulewe ikuondoke haya ya kumpigia dereva toyo.
Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.
Haya ngumbaru anaringia papuchu yake basi na wewe mwenye digrii mwache afaidi yatokanayo na papuchu yake.
Hata nje ya papuchu ngumbaru mimi bado nina nafasi kubwa sana ukiona fundi bomba, umeme, friji, mkata fensi, fundi mabanda usijisifu kamtafuta mumeo ngumbaru mie ambaye sina digrii hao ndio ninao fanya nao kazi na mimi ndio ninayempa mumeo awalete kwako.
Kaeni chini mjitathmini, waume zenu wanahitaji kupendwa kuthaminiwa kusaidiwa kuheshimiwa na sio kujihashua kaa kono la pweza kisa eti nimesoma.
Shangaa! Na ladha ni ileile halafu. Ndo hapo sasa janajike zima bila haya linaibuka hapa eti na kibanapua "oooh nina digirii mumewangu hana, ooh nininini" inahuuu! Wenzio hapa mtaani kuna wanawake wenye digirii zao mbona wamezalishwa na dereva toyo! Mambo ya maungoni yanasoma kakwambia nani? Nenda pale uhamiaji kaulize kama unafikiri natunga. Yupo bibiye kapagawishwaje na dereva toyo. Eti digirii. Mbona digirii zimesalimu amri zamani tu kwenye haya mambo.
Weeee, kama hujui kui-market yako ususeme wote
Papuchi inakupa chochote utakacho, ni wewe tu kujua kuitumia
Kuna mdada kapewa mkopo huo tena na li benk hilo, kajenga li mall la maana, colateral papuchi tu.