Hainaga digirii

Hainaga digirii

Status
Not open for further replies.
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.

tukuchangie usome hata kadiploma basi
 
It's a shame, mwezi ujao napata ingine, sijui niahirishe? Naskia zinapunguza chumvi inaanza kuwa na sukari.
Dalili za kukimbiwa hizi

Ahahahah da sophy. Yaani the only thing you are always proud of ni hiyo papuchi. Ikikatwa hiyo hauna kitu? For real? Kwa nini unapambana sana na digirii zetu? Kama mume tunashare japo wewe umewekwa kibanda umiza, kama una raha sana kuwa small hausi si uendelee kuenjoy? Kelele za nini?
 
Swala sio kavurugwa ila huo ndio ukweli. Wanawake mliosoma mna maudhi sana nyie kila kitu mnakijua nyie, mume hana nafasi yake yaani nyie ndio mnataka msikike na mnaojua haki za wanawake na haki zenu kwenye ndoa.
Huwaga nawashangaa sana na kuwaonea huruma manake kumbe muda mwingine ndoa inahitaji mtu kuwa mnyenyekevu na mwenye mapenzi ya dhati.

Wee mumeo akivua kiatu kikinuka utaskia nenda kanawe miguu bwana inanuka wakati akienda kwa ngumbaru avuliwa viatu na kuoshwa miguu wafikiri kesho hata mkumbuka ngumbaru wake?

Kupika kwenyewe majanga ukiulizwa mara ya mwisho kupika msosi wa maana kwa mumeo utaskia sikumbuki, lakin akienda kwa ngumbaru wake kila siku anakutana na msosi uliopikwa na unaoliwa kwa staili tofauti, mara leo mkekani, mara leo mezani, mara leo sakafuni alimradi hazoei ama hakinai.

ukiulizwa mara ya mwisho kumpaka mumeo mafuta wala hata hukumbuki lakini kwa ngumbaru mie kila nikitoka kumkogesha nampaka mafuta, namkata akucha kwanini asining'ang'anie??

Kwataarifa yenu wanaume hata huko kubiduka sicho wanachokifwatia kwa ngumbaru ila wanafwata huduma za kimahaba, na kudekezwa, kupewa nafasi ya kupumzika kwa amani, kujaliwa na kauheshimiwa uanaume wao. Huku hakuna kumfokea ama kumwambia siwez huku kila anachokitaka anahudumiwa, utu wake kama mwanaume unathaminiwa, anaheshimiwa na bado dozi ya nguvu anapata isokuwa na mipaka

Cna mpango wakuoa mwenye degree,wanavyojiona wanajua kla kitu,ctaki kuumiza kchwa kazn nirud nyumban tena niumizwe kchwa na mke,NO,mwenye certificate tu inatosha.
 
Kwa noleji hii, fungua kampuni ya ku-run errands kuliko ku run errands za mke mwenzio

Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.
Haya ngumbaru anaringia papuchu yake basi na wewe mwenye digrii mwache afaidi yatokanayo na papuchu yake.
Hata nje ya papuchu ngumbaru mimi bado nina nafasi kubwa sana ukiona fundi bomba, umeme, friji, mkata fensi, fundi mabanda usijisifu kamtafuta mumeo ngumbaru mie ambaye sina digrii hao ndio ninao fanya nao kazi na mimi ndio ninayempa mumeo awalete kwako.

Kaeni chini mjitathmini, waume zenu wanahitaji kupendwa kuthaminiwa kusaidiwa kuheshimiwa na sio kujihashua kaa kono la pweza kisa eti nimesoma.
 
Weeee, kama hujui kui-market yako ususeme wote
Papuchi inakupa chochote utakacho, ni wewe tu kujua kuitumia

Kuna mdada kapewa mkopo huo tena na li benk hilo, kajenga li mall la maana, colateral papuchi tu.

sikujua kama papuchi ni asset kama asset nyingine! ukute labda anaweza hata kuchukulia mkopo benk kama colateral mwenzetu!
 
Waambie mwaya wamezidi sana hao wanaojidai wamesoma.

Jamani kuna ubaya gani kuwa na degree...?? Na kuikosa degree ni hasara kimaisha na kiuchumi. Lakini kwa nini mtunishiane misuri..?? Huwezi kupata vyote, asiye na degree ni mnyenyekevu na hana stress. Mwenye degree anajiamini (anakiburi) na mastress kibao kutoka ofisini kwake. Kwa hiyo kila mtu amhurumie mwenzake kwa tatizo alilo nalo.
 
The thing is, there is life outside kuonjeshana chumvi. Na hapo ndo umuhimu wa degree unapojulikana.
Umuhimu wa digirii ni ofisini kwako tuu. Na tena ubahatike uwe na ofisi dizaini ya zenye viyoyozi za walioajiriwa, lakini kama ni zile zetu tuliojiajiri penda usipende utakujajifunza mbinu kwa waso digirii vingenevyo unapotezwa kwenye gemu. Uliza digirii wenzio. Digirii sio mali kama mnavodhani. Si tunaona watu na madigirii yao wanavyoingizwa mjini na madalali hapa? Wanaume na madigirii yao wanaingizwa kingi wanarudi hapa na hadithi za mawakili sijui polisi sijui takataka gani bado inakula kwao, ngumbaru wanapeta! Hapo nimezungumzia wanaume, sa unategemea mwanamke anayejivunia digirii kitampata nini kama si majanga tu? Mwanamke ka una digirii katambe nazo huko kwenye makongamano upigiwe makofi, lakini huku pande za kitaa ni manundu tu kwa kwenda mbele, yakikuuma sana pitia supermarket nunua wine ukanywee nyumbani ulewe ikuondoke haya ya kumpigia dereva toyo.
 
Umuhimu wa digirii ni ofisini kwako tuu. Na tena ubahatike uwe na ofisi dizaini ya zenye viyoyozi za walioajiriwa, lakini kama ni zile zetu tuliojiajiri penda usipende utakujajifunza mbinu kwa waso digirii vingenevyo unapotezwa kwenye gemu. Uliza digirii wenzio. Digirii sio mali kama mnavodhani. Si tunaona watu na madigirii yao wanavyoingizwa mjini na madalali hapa? Wanaume na madigirii yao wanaingizwa kingi wanarudi hapa na hadithi za mawakili sijui polisi sijui takataka gani bado inakula kwao, ngumbaru wanapeta! Hapo nimezungumzia wanaume, sa unategemea mwanamke anayejivunia digirii kitampata nini kama si majanga tu? Mwanamke ka una digirii katambe nazo huko kwenye makongamano upigiwe makofi, lakini huku pande za kitaa ni manundu tu kwa kwenda mbele, yakikuuma sana pitia supermarket nunua wine ukanywee nyumbani ulewe ikuondoke haya ya kumpigia dereva toyo.

Uwii, usiseme yote basi, tusamehe hatusomi tena.
Hivi kimtaani taani, kuna jinsi ya kuidelete digrii?
 
kulikoni? hoja yako ni nzuri na ingefunza kama ungetulia nakuitoa kwa ufasaha zaidi, kama kuna mwanamke anayechanganya mapenzi na elimu aliyonayo maisha yake yatakuwa magumu sana,................. pole sana Da Sophy
 
Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.
Haya ngumbaru anaringia papuchu yake basi na wewe mwenye digrii mwache afaidi yatokanayo na papuchu yake.
Hata nje ya papuchu ngumbaru mimi bado nina nafasi kubwa sana ukiona fundi bomba, umeme, friji, mkata fensi, fundi mabanda usijisifu kamtafuta mumeo ngumbaru mie ambaye sina digrii hao ndio ninao fanya nao kazi na mimi ndio ninayempa mumeo awalete kwako.

Kaeni chini mjitathmini, waume zenu wanahitaji kupendwa kuthaminiwa kusaidiwa kuheshimiwa na sio kujihashua kaa kono la pweza kisa eti nimesoma.

Hebu wapashe mpenzi nimekupendaje. Ati naringia papuchi, kwani huyo mwenye digirii papuchi lake limeng'ofolewa, si analo? Angenizidi basi, kwa kuwa ana papuchi na digirii juu, mbona sa haimsaidii? Mwenyezi Mungu alivyokuumba kwamba papuchi liko mbele lakini digirii waveshwa kichwani hakukosea, alijua matumizi yake ni tafauti. Wabweteka na digirii ambayo kwanza hata haionekani?
 
  • Thanks
Reactions: b2k
Wape wape hao...tena waambie na yule mama mbunge wa miaka 60 na ushee aliyedatishwa na kijana wa miaka 26 tu...

Mama wa watu alivyoona kijana anataka kumtosa basi kashikilia vyeti vyake vya elimu ndogo...unaambiwa kijana anaiweza shughuli ya mauno mauno hadi mama wa watu kadata.

Shangaa! Na ladha ni ileile halafu. Ndo hapo sasa janajike zima bila haya linaibuka hapa eti na kibanapua "oooh nina digirii mumewangu hana, ooh nininini" inahuuu! Wenzio hapa mtaani kuna wanawake wenye digirii zao mbona wamezalishwa na dereva toyo! Mambo ya maungoni yanasoma kakwambia nani? Nenda pale uhamiaji kaulize kama unafikiri natunga. Yupo bibiye kapagawishwaje na dereva toyo. Eti digirii. Mbona digirii zimesalimu amri zamani tu kwenye haya mambo.
 
Usipingane na muumba. Digirii waveshwa kichwani juu huko. Lakini mengine umewekewa mbele, mengine nyuma, kila moja kwa nafasi yake, hivyo. Sasa usitake hilo la kichwani huko unakovalia lemba, basi hilo ndio uliweke mbele halitokaa, si nafasi yake. Na pakuvalia lemba hapavaliki chengine.
 
Weeee, kama hujui kui-market yako ususeme wote
Papuchi inakupa chochote utakacho, ni wewe tu kujua kuitumia

Kuna mdada kapewa mkopo huo tena na li benk hilo, kajenga li mall la maana, colateral papuchi tu.

Kumbe kikuinuacho kinaweza kuwa nguoni mwako?
 
Kuna watu wanajifia degree bado!!?? I thought hiyo level ishapitwa na wakati
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom