^^
Kuna haja ya jukwaa la Mipasho.
^^
Amerogwa au?si bure
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.
Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?
Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
Dude could you please not waste my time?
.......Da Sophy Upoo!! Ila elimu muhimu bana, hata mume akichukuliwa
hakuna mtu atayeweza kuchukua elimu yako!! Upo hapooo!!
Na nyie ngumbaru sometimes ni pasua kichwa tu, Swala la kuolewa hilo mlisahau kabisaa, mtaishia kumegwa tu.