Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
degree haitunzi mume loh!Lakini kweli bana.....
degree haitunzi mume loh!Lakini kweli bana.....
nimependa hii idea!watoe mabinti zako shuleni. aweke nyumbani uwafundishe kitu kimoja tu. kutumia kiungo chenye chumvi.
ahaaaa tena wasio kuwa na digrii wana ladha tamu zaidi maana digrii inadilute chumvi eti!.....heheh ati "ladha ya chumvi ni ile ile kwa alokuwa na digirii na asokuwa nayo!" 
akaja hapa
akaona hamjapata somo vilivyo akatupia hii
mkamjia juu sana akona aah isiwe tabu ngoja awarudhie hiii
Wakati mnashangashanga akashusha kitu
teh teh teh leo kanona aje amalizie ni hii
The thing is, there is life outside kuonjeshana chumvi. Na hapo ndo umuhimu wa degree unapojulikana.
degree haitunzi mume loh!
Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.Ahahahah da sophy. Yaani the only thing you are always proud of ni hiyo papuchi. Ikikatwa hiyo hauna kitu? For real? Kwa nini unapambana sana na digirii zetu? Kama mume tunashare japo wewe umewekwa kibanda umiza, kama una raha sana kuwa small hausi si uendelee kuenjoy? Kelele za nini?
sikujua kama papuchi ni asset kama asset nyingine! ukute labda anaweza hata kuchukulia mkopo benk kama colateral mwenzetu!Ahahahah da sophy. Yaani the only thing you are always proud of ni hiyo papuchi. Ikikatwa hiyo hauna kitu? For real? Kwa nini unapambana sana na digirii zetu? Kama mume tunashare japo wewe umewekwa kibanda umiza, kama una raha sana kuwa small hausi si uendelee kuenjoy? Kelele za nini?
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.
Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?
Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
sikujua kama papuchi ni asset kama asset nyingine! ukute labda anaweza hata kuchukulia mkopo benk kama colateral mwenzetu!