Hainaga digirii

Hainaga digirii

Status
Not open for further replies.
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
Ah da Sophy ..kwani vipi tena kulikoni mwenzetu?
 
Hiyo nayo kweli tupu.
ahaaa super mbeby miss u big time mzee uliipata hii

PRECIOUS+1.jpg
 
Ahahahah da sophy. Yaanithe only thing you are always proud of ni hiyo papuchi. Ikikatwa hiyo hauna kitu? For real? Kwa nini unapambana sana na digirii zetu? Kama mume tunashare japo wewe umewekwa kibanda umiza, kama una raha sana kuwa small hausi si uendelee kuenjoy? Kelele za nini?

the only thing you are always proud of ni hiyo papuchi...Imenenwa hivi..Hazina yako ilipo ndipo moyo wako ulipo
 
Da Sophy alianzia hapa

akaja hapa
akaona hamjapata somo vilivyo akatupia hii
mkamjia juu sana akona aah isiwe tabu ngoja awarudhie hiii
Wakati mnashangashanga akashusha kitu
teh teh teh leo kanona aje amalizie ni hii
Hainaga Degree!! huyu ndo da sophy bana!

katoka mbali aisee.......mie digrii yangu niko nayo proud sana..............

kama ni hivo wote si tungekaa majumbani tusiende shule kazi iwe moja kutunza hao waume
 
Swala sio kavurugwa ila huo ndio ukweli. Wanawake mliosoma mna maudhi sana nyie kila kitu mnakijua nyie, mume hana nafasi yake yaani nyie ndio mnataka msikike na mnaojua haki za wanawake na haki zenu kwenye ndoa.
Huwaga nawashangaa sana na kuwaonea huruma manake kumbe muda mwingine ndoa inahitaji mtu kuwa mnyenyekevu na mwenye mapenzi ya dhati.

Wee mumeo akivua kiatu kikinuka utaskia nenda kanawe miguu bwana inanuka wakati akienda kwa ngumbaru avuliwa viatu na kuoshwa miguu wafikiri kesho hata mkumbuka ngumbaru wake?

Kupika kwenyewe majanga ukiulizwa mara ya mwisho kupika msosi wa maana kwa mumeo utaskia sikumbuki, lakin akienda kwa ngumbaru wake kila siku anakutana na msosi uliopikwa na unaoliwa kwa staili tofauti, mara leo mkekani, mara leo mezani, mara leo sakafuni alimradi hazoei ama hakinai.

ukiulizwa mara ya mwisho kumpaka mumeo mafuta wala hata hukumbuki lakini kwa ngumbaru mie kila nikitoka kumkogesha nampaka mafuta, namkata akucha kwanini asining'ang'anie??

Kwataarifa yenu wanaume hata huko kubiduka sicho wanachokifwatia kwa ngumbaru ila wanafwata huduma za kimahaba, na kudekezwa, kupewa nafasi ya kupumzika kwa amani, kujaliwa na kauheshimiwa uanaume wao. Huku hakuna kumfokea ama kumwambia siwez huku kila anachokitaka anahudumiwa, utu wake kama mwanaume unathaminiwa, anaheshimiwa na bado dozi ya nguvu anapata isokuwa na mipaka

ukioa asiye na kazi wala elimu jiandae kumwaga mafwedha kwa sanaaaa bila kulalamika ohh nachunwaaa ..sema tunachunana
 
  • Thanks
Reactions: b2k
Ngoja leo nikae pembeni nione wenye digrii vs wasio na digrii wanavyotunishiana misuli...

Ajabu wote wana chumvi

Shangaa! Na ladha ni ileile halafu. Ndo hapo sasa janajike zima bila haya linaibuka hapa eti na kibanapua "oooh nina digirii mumewangu hana, ooh nininini" inahuuu! Wenzio hapa mtaani kuna wanawake wenye digirii zao mbona wamezalishwa na dereva toyo! Mambo ya maungoni yanasoma kakwambia nani? Nenda pale uhamiaji kaulize kama unafikiri natunga. Yupo bibiye kapagawishwaje na dereva toyo. Eti digirii. Mbona digirii zimesalimu amri zamani tu kwenye haya mambo.
 
dunia ya sasa bado unamtegemea mume awe na elimu aje kwako darasa la 7 ..utaishia kuchezewa.unaona raha kila siku kuomba hela..ndio tuna degree acha tujidai bhana elimu ni kila kitu katika dunia ya leo sasa pole yako wewe ngumbaru
 
Shangaa! Na ladha ni ileile halafu. Ndo hapo sasa janajike zima bila haya linaibuka hapa eti na kibanapua "oooh nina digirii mumewangu hana, ooh nininini" inahuuu! Wenzio hapa mtaani kuna wanawake wenye digirii zao mbona wamezalishwa na dereva toyo! Mambo ya maungoni yanasoma kakwambia nani? Nenda pale uhamiaji kaulize kama unafikiri natunga. Yupo bibiye kapagawishwaje na dereva toyo. Eti digirii. Mbona digirii zimesalimu amri zamani tu kwenye haya mambo.
kwaiyo wenye digrii tulikosea kuzipata sio?
 
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.

Acha ushamba na wivu, ladha inatokana na unavyomfikiria mtu pia. Kama unadhani digrii haimati kaangalie nani mwenye digrii mbili au tatu anafata kuoa asiye na digrii, hao wengine ni viburudisho vya muda tu kama unavyoweza kuamka asubuhi ukakuta Rav4 yako new model brand new ina pancha ukapanda boda boda, boda boda inakufikisha town sawa ila unakuwa hutaki kuonekana kwenye bodaboda (unaona ona aibu), ndo maana hao wengine wanafatwa usiku fasta mmemalizana au wanatangulizwa chumbani.

Kama huna uwezo na wenye digriii tuachie tufaidi utamu sisi wenyewe.
 
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.

ngumbaru ni nini?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom