Hainaga digirii

Hainaga digirii

Status
Not open for further replies.
Ahahaha Mungu kakupendelea kweli kukupa digirii ya papuchi inakuweka mjini. Daah! Ndo maana mume wangu anahakikisha alipa ada za praimarw milioni kibao ili wanae wasiwe kama wewe na wanao. Haya mkisafiri kaba akununulie zawadi naake sure ananinunulia perfume yangu ninayoipenda(manake bila papuchi hupandi ndege wewe). mie ticket zinanisubiri foleni ndo maana sina wasiwasi. Wanaonitongoza wa pembeni nawaona hawana maana manake sina nnachohitaji. Nna mume mzuri (japo akienda kazini anajiiba dk chache ili na wewe upone), nna kazi nzuri na nina uhakika hata mola akimchukua mume wangu leo wanangu watasoma na magari ntaendesha na wala sihitaji kuuza papuchi. Manake hapa huyu baba akitetereka shosti si inabidi urukie tawi lingine?

Nakushauri usiichukie digirii yangu. Ila sasa shukuru mola nimekuwa loose na wewe japo unapata makombo chini ya meza yangu na wanao wanaenda toilet.

Ambapo sijaelewa, hapo mwisho hapoo. Kiwa tunaboa sana? Tukikaba utaenda chooni kweli? Manake huyu mume ukimchukua mie nitasurvive tu najua, wewe ndo nakuhofia na mjini shamba lako ndo papuchi. Usisahau kuweka akiba hehehe. Unaboreka unamuonea huruma wakati wewe ndo unamjali? Dunia ina mambo lol

Hapo ndio muone utamu wa degree! Pole b2k maana jibu la King'asti linajitosheleza. Hutohitaji kueleweshwa na member mwingine yeyote!
 
Last edited by a moderator:
Ahahaha Mungu kakupendelea kweli kukupa digirii ya papuchi inakuweka mjini. Daah! Ndo maana mume wangu anahakikisha alipa ada za praimarw milioni kibao ili wanae wasiwe kama wewe na wanao. Haya mkisafiri kaba akununulie zawadi naake sure ananinunulia perfume yangu ninayoipenda(manake bila papuchi hupandi ndege wewe). mie ticket zinanisubiri foleni ndo maana sina wasiwasi. Wanaonitongoza wa pembeni nawaona hawana maana manake sina nnachohitaji. Nna mume mzuri (japo akienda kazini anajiiba dk chache ili na wewe upone), nna kazi nzuri na nina uhakika hata mola akimchukua mume wangu leo wanangu watasoma na magari ntaendesha na wala sihitaji kuuza papuchi. Manake hapa huyu baba akitetereka shosti si inabidi urukie tawi lingine?

Nakushauri usiichukie digirii yangu. Ila sasa shukuru mola nimekuwa loose na wewe japo unapata makombo chini ya meza yangu na wanao wanaenda toilet.

Ambapo sijaelewa, hapo mwisho hapoo. Kiwa tunaboa sana? Tukikaba utaenda chooni kweli? Manake huyu mume ukimchukua mie nitasurvive tu najua, wewe ndo nakuhofia na mjini shamba lako ndo papuchi. Usisahau kuweka akiba hehehe. Unaboreka unamuonea huruma wakati wewe ndo unamjali? Dunia ina mambo lol
ahahahhahahhahahhahha mimi love yu kwa mambo mengi!
by the way whatcha ideas on the proposal i ask ur secretary to pass?
please i do need yo inputs gal!!
 
He he he....si hata Da Sophy kasema hivyo kuwa nyama zote zina chumvi ile ile...digrii mashauzi tu

Du! haya bana, ila wamezidi sana mashauzi utakisia "Me nimekupenda una kiwango gani cha elimu" oooh me cjui nini
utasikia "Km huna diploma/ degree utakuwa hujakidhi vigezo vyangu" unabaki mdomo wazi
mme sema kweli chumbi ni ileile
 
katoka mbali aisee.......mie digrii yangu niko nayo proud sana..............

kama ni hivo wote si tungekaa majumbani tusiende shule kazi iwe moja kutunza hao waume

Nafikiri huyu dada kuna mtu mwenye digree kamdharau...............kuna kitu kiko ndani ya ujumbe kinaitaji utulie zaidi umuelewe. Pia nafikiri amejaribu kuwatahadharisha wadada wenye digirii wasibweteke kuwa waume/boyfriend zao hawawezi kutoka/kucheat na watu ambao hawajasoma/wasio na digirii...........ana point ila watu wamepanic kwa sababu kuna kaukweli flani.
 
Nafikiri huyu dada kuna mtu mwenye digree kamdharau...............kuna kitu kiko ndani ya ujumbe kinaitaji utulie zaidi umuelewe. Pia nafikiri amejaribu kuwatahadharisha wadada wenye digirii wasibweteke kuwa waume/boyfriend zao hawawezi kutoka/kucheat na watu ambao hawajasoma/wasio na digirii...........ana point ila watu wamepanic kwa sababu kuna kaukweli flani.

kuna kitu watu nadhani hawajang'amua ndani ya ujumbe huu, wamemrukia meta ujumbe sababu ya namna alivyoandika.
 
Nafikiri huyu dada kuna mtu mwenye digree kamdharau...............kuna kitu kiko ndani ya ujumbe kinaitaji utulie zaidi umuelewe. Pia nafikiri amejaribu kuwatahadharisha wadada wenye digirii wasibweteke kuwa waume/boyfriend zao hawawezi kutoka/kucheat na watu ambao hawajasoma/wasio na digirii...........ana point ila watu wamepanic kwa sababu kuna kaukweli flani.

tumemsikia ila ana yake majambo.........mie digrii yangu naithamin hadi keshokutwa

maisha ya kujifanya umekalia kitega uchumi siyawezi
 
tumemsikia ila ana yake majambo.........mie digrii yangu naithamin hadi keshokutwa

maisha ya kujifanya umekalia kitega uchumi siyawezi

Uko sawa kabisa......ila women they should support/challenge her point..........sasa badala yake wanarusha mawe kwa sababu tu kuna ukweli kwenye point yake......hehehehe......kaazi kweli.
 
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.


Da sophy,

hoja zako ni za msingi sana, na zina mashiko

uzuri ni kwamba umeamua kufunguka kwa moyo mweupe kabisa,

tatizo ni namna tu unavyozitoa ndo haijakaa sawa,

ila ujumbe umewafikia hao wenye ''degree zao''
 
kuna kitu watu nadhani hawajang'amua ndani ya ujumbe huu, wamemrukia meta ujumbe sababu ya namna alivyoandika.

Ni kweli.......mleta mada atakua amedarauliwa au kadhalilishwa kisa hana digirii..........kwa hiyo wazi wakati anaandika alikua anakajazba kidogo......ila upande mwingine ni kweli kabisa ana point........wanawake wengi waliosoma si viongozi wazuri wa familia (sio wote)............wanafanya maisha yanakuwa magumu sana kwa waume zao. Kuna kijana alisema akiwa nyumbani na mke wake au hata wakitoka naye anatumia akili nyingi sana kufikiri kabla ya kuongea........... yeye na mwanamke wake wana digirii......basi jamaa ulimi ukiteleza tu kidogo mke anamuwakia... "are you serious?.......blablablabla........ basi tukiwa kilabuni tunakunywa jamaa anaongea matusi huyo...na pumba zooote unazozijua. hahahha......vijana wana kazi kweli.
 
Ahahaha Mungu kakupendelea kweli kukupa digirii ya papuchi inakuweka mjini. Daah! Ndo maana mume wangu anahakikisha alipa ada za praimarw milioni kibao ili wanae wasiwe kama wewe na wanao. Haya mkisafiri kaba akununulie zawadi naake sure ananinunulia perfume yangu ninayoipenda(manake bila papuchi hupandi ndege wewe). mie ticket zinanisubiri foleni ndo maana sina wasiwasi. Wanaonitongoza wa pembeni nawaona hawana maana manake sina nnachohitaji. Nna mume mzuri (japo akienda kazini anajiiba dk chache ili na wewe upone), nna kazi nzuri na nina uhakika hata mola akimchukua mume wangu leo wanangu watasoma na magari ntaendesha na wala sihitaji kuuza papuchi. Manake hapa huyu baba akitetereka shosti si inabidi urukie tawi lingine?

Nakushauri usiichukie digirii yangu. Ila sasa shukuru mola nimekuwa loose na wewe japo unapata makombo chini ya meza yangu na wanao wanaenda toilet.

Ambapo sijaelewa, hapo mwisho hapoo. Kiwa tunaboa sana? Tukikaba utaenda chooni kweli? Manake huyu mume ukimchukua mie nitasurvive tu najua, wewe ndo nakuhofia na mjini shamba lako ndo papuchi. Usisahau kuweka akiba hehehe. Unaboreka unamuonea huruma wakati wewe ndo unamjali? Dunia ina mambo lol

.........hehehe, hebu #maSistahFromAnotherMother Oooo chill nawewe, kha?

Unapoteza miguvu mingi kujibu article kwa kireeefu ....

Haka kamchezo kanatumia Basic Fizikia kwenye gravity na acceleration, Baiolojia via hormones,body temp, chemical reactions etc na Hisabati za hapa na pale....bhaaaas

End results na kunogewa ni akili ya mtu tu.
 
Uko sawa kabisa......ila women they should support/challenge her point..........sasa badala yake wanarusha mawe kwa sababu tu kuna ukweli kwenye point yake......hehehehe......kaazi kweli.

tuachane nayo haya bana dakteari wangu kila mtu si anaishi maisha yake

we mzima lakin
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom