habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Ngoja leo nikae pembeni nione wenye digrii vs wasio na digrii wanavyotunishiana misuli...
Ajabu wote wana chumvi
Wee mzee leo umenichekesha kweli,
Ngoja leo nikae pembeni nione wenye digrii vs wasio na digrii wanavyotunishiana misuli...
Ajabu wote wana chumvi
well said, ila kwenye bold :A S-confused1:
Muambie hata chekechea tena za uswazi wanavaa kofia hizo kabla hawajaingia std 1. Hahaha
Ahahaha Mungu kakupendelea kweli kukupa digirii ya papuchi inakuweka mjini. Daah! Ndo maana mume wangu anahakikisha alipa ada za praimarw milioni kibao ili wanae wasiwe kama wewe na wanao. Haya mkisafiri kaba akununulie zawadi naake sure ananinunulia perfume yangu ninayoipenda(manake bila papuchi hupandi ndege wewe). mie ticket zinanisubiri foleni ndo maana sina wasiwasi. Wanaonitongoza wa pembeni nawaona hawana maana manake sina nnachohitaji. Nna mume mzuri (japo akienda kazini anajiiba dk chache ili na wewe upone), nna kazi nzuri na nina uhakika hata mola akimchukua mume wangu leo wanangu watasoma na magari ntaendesha na wala sihitaji kuuza papuchi. Manake hapa huyu baba akitetereka shosti si inabidi urukie tawi lingine?
Nakushauri usiichukie digirii yangu. Ila sasa shukuru mola nimekuwa loose na wewe japo unapata makombo chini ya meza yangu na wanao wanaenda toilet.
Ambapo sijaelewa, hapo mwisho hapoo. Kiwa tunaboa sana? Tukikaba utaenda chooni kweli? Manake huyu mume ukimchukua mie nitasurvive tu najua, wewe ndo nakuhofia na mjini shamba lako ndo papuchi. Usisahau kuweka akiba hehehe. Unaboreka unamuonea huruma wakati wewe ndo unamjali? Dunia ina mambo lol
Wee mzee leo umenichekesha kweli,
ahahahhahahhahahhahha mimi love yu kwa mambo mengi!Ahahaha Mungu kakupendelea kweli kukupa digirii ya papuchi inakuweka mjini. Daah! Ndo maana mume wangu anahakikisha alipa ada za praimarw milioni kibao ili wanae wasiwe kama wewe na wanao. Haya mkisafiri kaba akununulie zawadi naake sure ananinunulia perfume yangu ninayoipenda(manake bila papuchi hupandi ndege wewe). mie ticket zinanisubiri foleni ndo maana sina wasiwasi. Wanaonitongoza wa pembeni nawaona hawana maana manake sina nnachohitaji. Nna mume mzuri (japo akienda kazini anajiiba dk chache ili na wewe upone), nna kazi nzuri na nina uhakika hata mola akimchukua mume wangu leo wanangu watasoma na magari ntaendesha na wala sihitaji kuuza papuchi. Manake hapa huyu baba akitetereka shosti si inabidi urukie tawi lingine?
Nakushauri usiichukie digirii yangu. Ila sasa shukuru mola nimekuwa loose na wewe japo unapata makombo chini ya meza yangu na wanao wanaenda toilet.
Ambapo sijaelewa, hapo mwisho hapoo. Kiwa tunaboa sana? Tukikaba utaenda chooni kweli? Manake huyu mume ukimchukua mie nitasurvive tu najua, wewe ndo nakuhofia na mjini shamba lako ndo papuchi. Usisahau kuweka akiba hehehe. Unaboreka unamuonea huruma wakati wewe ndo unamjali? Dunia ina mambo lol
He he he....si hata Da Sophy kasema hivyo kuwa nyama zote zina chumvi ile ile...digrii mashauzi tu
He he he....si hata Da Sophy kasema hivyo kuwa nyama zote zina chumvi ile ile...digrii mashauzi tu
mtani kuna chumvi hazina madini joto ujue,goiter nje nje!
oh!
halafu huenda Da Sophy ana digrii ya chumvi pia ndio maana kaona afunguke tu mazima...
katoka mbali aisee.......mie digrii yangu niko nayo proud sana..............
kama ni hivo wote si tungekaa majumbani tusiende shule kazi iwe moja kutunza hao waume
Nafikiri huyu dada kuna mtu mwenye digree kamdharau...............kuna kitu kiko ndani ya ujumbe kinaitaji utulie zaidi umuelewe. Pia nafikiri amejaribu kuwatahadharisha wadada wenye digirii wasibweteke kuwa waume/boyfriend zao hawawezi kutoka/kucheat na watu ambao hawajasoma/wasio na digirii...........ana point ila watu wamepanic kwa sababu kuna kaukweli flani.
Nafikiri huyu dada kuna mtu mwenye digree kamdharau...............kuna kitu kiko ndani ya ujumbe kinaitaji utulie zaidi umuelewe. Pia nafikiri amejaribu kuwatahadharisha wadada wenye digirii wasibweteke kuwa waume/boyfriend zao hawawezi kutoka/kucheat na watu ambao hawajasoma/wasio na digirii...........ana point ila watu wamepanic kwa sababu kuna kaukweli flani.
hapo kwenye red nimecheka sana lolNgoja leo nikae pembeni nione wenye digrii vs wasio na digrii wanavyotunishiana misuli...
Ajabu wote wana chumvi
tumemsikia ila ana yake majambo.........mie digrii yangu naithamin hadi keshokutwa
maisha ya kujifanya umekalia kitega uchumi siyawezi
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.
Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?
Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.
kuna kitu watu nadhani hawajang'amua ndani ya ujumbe huu, wamemrukia meta ujumbe sababu ya namna alivyoandika.
Ahahaha Mungu kakupendelea kweli kukupa digirii ya papuchi inakuweka mjini. Daah! Ndo maana mume wangu anahakikisha alipa ada za praimarw milioni kibao ili wanae wasiwe kama wewe na wanao. Haya mkisafiri kaba akununulie zawadi naake sure ananinunulia perfume yangu ninayoipenda(manake bila papuchi hupandi ndege wewe). mie ticket zinanisubiri foleni ndo maana sina wasiwasi. Wanaonitongoza wa pembeni nawaona hawana maana manake sina nnachohitaji. Nna mume mzuri (japo akienda kazini anajiiba dk chache ili na wewe upone), nna kazi nzuri na nina uhakika hata mola akimchukua mume wangu leo wanangu watasoma na magari ntaendesha na wala sihitaji kuuza papuchi. Manake hapa huyu baba akitetereka shosti si inabidi urukie tawi lingine?
Nakushauri usiichukie digirii yangu. Ila sasa shukuru mola nimekuwa loose na wewe japo unapata makombo chini ya meza yangu na wanao wanaenda toilet.
Ambapo sijaelewa, hapo mwisho hapoo. Kiwa tunaboa sana? Tukikaba utaenda chooni kweli? Manake huyu mume ukimchukua mie nitasurvive tu najua, wewe ndo nakuhofia na mjini shamba lako ndo papuchi. Usisahau kuweka akiba hehehe. Unaboreka unamuonea huruma wakati wewe ndo unamjali? Dunia ina mambo lol
Uko sawa kabisa......ila women they should support/challenge her point..........sasa badala yake wanarusha mawe kwa sababu tu kuna ukweli kwenye point yake......hehehehe......kaazi kweli.