Hainaga digirii

Hainaga digirii

Status
Not open for further replies.
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.

ulikuwa unataka wanune!!
naomba uwasomeshe watoto wako wa kike wapate degree nao waje kuanza kuringa!!
 
tukuchangie usome hata kadiploma basi

Mbona waenda mbali shutu aanze na madarasa ya QT mana czani kama ata ana qualifications za diploma shogangu huyoooo.wakati twaangaika kumkwamua mwanamke kielimu wengne awaoni umuhimu wake.kaaaaa haya wanao wakifika la saba waozeshe da sophi sawa eeeeee????
 
teh kwan digrii cku izi is still an issue?

of course, it's not an issue to those with money, 'brain' and have attended to at least good schools. you being one of them does not apply to the rest of us....teh teh teh
 
Kwenu wote kina dashosty mnaojisifia digirii zenu ujumbe unawahusu. Digirii kajisifie nayo ofisini kwako au unapoomba kazi ya kuajiriwa ya kidigirii. Haihusiki kwengine. Ladha ya chumvi ni ileile kwa mwenye digirii na asokuwa nayo.

Kama digirii zenu zingekuwa mali hao waume zenu wenye digirii tatu tatu wanafata nini kwa wanawake ngumbaru waso na digirii?

Nilishahudhuriaga mahafali ya digirii nikaona, zile digirii wanaveshwa kichwani tu, kwengine hakuna tafauti. Ndio mjue hivyo.

lakini mbona degree ni kitu kidogo sana bi dada...eennnh..au wewe hauna??
 
Aha ha ha ha ha!! Da Sophy ni noma, kuna mdada kitaani kwenu ana digrii mmezinguana kuhusu kidume nini ukaona uje kumalizia hasira zako hapa JF?. Ulivyotaja habari ya chumvi yaani umenifanya nimkumbuke wifi yako lol!! Subiri kwanza nimtwangie simu hapa nisikie sauti yake kidogo kisha ndo nianze kuutafuta usingizi.
Kumbe na wewe Sophy una chumvi japo huna digrii?
 
Tatizo mtoa mada anakuwa kama anawakandia wenye degree simply because wamesoma and not otherwise. Na inaonesha 2 dhahiri kwamba yeye hajasoma na wala hajisikii vibaya wala kuumia that hana elimu yan yeye karidhika tu kalaghabaho sijui kama utawapeleka shule watoto wako dada angu.

My dear "Elimu ni ufunguo wa maisha", haijasemwa kuwa papuchi ni ufunguo wa maisha. Hata kama mume wangu atakuja kwako we ngumbaru, jua tu at the end of the day atarudi kwangu, mimi ndo mkewe halali. Sasa kama anakupenda sana kwa nini hakukuoa wewe akanioa mimi?


Na nikwambie tu vizuri yani siku hizi wasichana wengi tu wa chuoni wanamaliza degree zao na kuolewa fastaaaa. Wanaume wana-invest sana huko vyuoni. Hivi kwa jinsi maisha yalivyo magumu sasa ukimzungushia mumeo bakuli sana ndo mnapata school fees au? Wewe kutwa kuchwa unawaza tu leo baba harris ntampa style ya mbuzi kagoma khaaaa huwazi about future, mtoto tu akikuomba hela ya daftari, utamwambia subiri baba arudi kazini, kweli jaman?

Halafu hujajua tu hata wanaume wanahonga kutokana na hadhi ya mwanamke, wewe ngumbaru ukihongwa sana umeletewa kitenge wax na vocha bac weee unakenua tu kama zombie coz unaona ndo umepataaaaaa, but demu msomi aaah full kuhongwa ma verossa na kupangiwa apartment za maana.

So grow up ma sista, naamini its not too late, kachukue tu hata form ya chuo chochote usome tu hata certificate, uweze kuwa independent afu umsupport huyo bwana kwenye mambo ya maendeleo + na hyo papuchi yako mwenzetu yenye sukari guru basi ndo atakolea kwako vizuri.



Kkkkkkkkkk umeua lol
 
Hayo ni machache tu kati ya mengi ambayo ninayafanya, na ukweli utabaki kwamba mumeo angekuona wewe wa maana kwanini kaja kwa ngumbaru mie? Hamjui mapenzi, hamjui kupenda, hamjui kuthamini, hamjali mpompo tuuu kisa usomi na malaptop yenu kila siku mnapishana checkin na mumeo na kwa taarifa yako ukimwona kasafiri jua kasafiri na ngumbaru wake.

Tena siku hizi tutaanza kubana kama mnazidisha nyodo, hata vijizawadi tutakaata msiletewe mnaboa sana ingekuwa digrii inamata basi wote wenye digrii ndoa zenu zingekuwa na furaha lakin maskini ya Mungu kumbe degree hailei mume wala haitunzi familia.
Bibie kama anakuthamini sana kuliko huyo wa degree si umwambie amtoe ushike wewe usukani au weye namba mbili inakutosha sana?
 
of course, it's not an issue to those with money, 'brain' and have attended to at least good schools. you being one of them does not apply to the rest of us....teh teh teh

teh sawa i gat u
 
i will send you a very long email of my input later my gal. i have a very busy day preparing my presentation as i am travelling on monday. later this evening im hijacking my husband, paw; for a gateaway to spend the weekend (bills on me, i got them $$$ benjamins) before i ditch him for a week.
uniagize perfume basi, my treat. hizi digirii hizi hehehe. laha ndani ya loho. mangumbaru watamfaidije paw wangu wiki nzima?
love you sanaaaa:busu
ahahahhahahhahahhahha mimi love yu kwa mambo mengi!
by the way whatcha ideas on the proposal i ask ur secretary to pass?
please i do need yo inputs gal!!
 
mbaya zaidi, tuna madigirii afu na wanaume ndo tushawakaba wameingia kingi wametuwowa. sasa huna digirii, babako hana kampuni ya mabasi, una papuchi tu na weupe wa korogo? lazma uwe na #jotohasira hehehe
Ni Tanzania pekee, mtu akiwa na degree anaonekana amekosea sana, acha watu waringe na degree zao, watu wametoil ile mbaya,,,,, kulala masaa mawili kwa siku! we ni nani haswa unawaponda wenye degree tena kwa jambo ambalo hujalifanyia utafiti????
 
sio kikwazo best. ila ukiwa na digirii nyingi ina-narrow down alternatives za wanaume wanaokutongoza. they will need confidence of some kind. kama hajasoma, hayuko intelligent (manake akili na kusoma ni vitu viwili tofauti, huu ujinga wa Da Sophy hata angesoma usingemtoka, huwezi jisifia kuwekwa hawara) na hana pesa anajijua kabisaa maji yana kina haya nikae mbali. kuwa na madigirii ni kama kuajiri kwa kutumia recruitment agency, wanajichujaa cream ndo inajitokeza kwikwikwi. msirushe mawe natania banaa
Nimegundua digrii ya mwanamke ni kikwazo, kuna jinsi ku undo?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom