LOL..!! we kiboko
Acheni kuumizana kwa sababu ya siasa. Kama kweli lengo lenu ni kujenga nchi kwanini mmumizane ilhali nyinyi wote ni wananchi? Huyo mwananchi manayetaka kuboresha maisha yake ni yupi, akam wenyewe kwa wenyewe mnafianyiana roho mbaya hivi?
Ngoja tuisikilizie kwanza hii story kisha tuseme
Wapi Drogba? Akamtolee dhamana!
WanaJf,
Hizi sarakasi za akina Molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa Kutafuta maneno ya faraja.
Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,Mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.
Subirini kusikia
Mchange ameiba Gari,
Mchange ameiba mke wa mtu,
Mchange ni konda wa daladala
Mchange yupo jela
Mchange amekufa.
THE TRUTH NEVER DIE...
KWA MAWASILIANO ZAIDI
0658178678
0762178678
sijaiba kabisa mm nipo kibaha,wanasiasa wa bongo hao
haha Mchange aka my web umemfuma leo labda alipata kisago sawasawa huko selo hana akili tena
Kama unatumia IDs zaidi ya moja usiwe msahaulifu bro,watu wanafatilia mpaka mfanano wa nukta
Hahaaaaaa... My web
Kama unatumia IDs zaidi ya moja usiwe msahaulifu bro,watu wanafatilia mpaka mfanano wa nukta
I see arudi tu Kibaha kulima mananasi amefikia kukwapua simu
nyani haoni kundule
Umejisahau unatumia i.d ingine?
Aliyewahi kuwa Mwanachama wa CHADEMA na Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Habib Mchange anashikiliwa na kituo cha Polisi Mabatini Kijitonyama kwa tuhuma za wizi wa Simu.
Habib Mchange alikamatwa jana usiku na mpaka leo asubuhi alikuwa bado hajapata dhamana. Huku mahojiano yakiwa yanaendelea kituoni hapo.
Habib Mchange alifukuzwa Uanachama wa Bavicha mapema mwezi huu kwa utovu wa nidhamu na usaliti dhidi ya Chadema ambapo mbali na kufukuzwa Bavicha alipoteza pia uanachama wa Chadema kikatiba.
Source: Mimi Mweyewe-Molemo.
Updates....
Habib Mchange amepata dhamana jioni hii.Amedhaminiwa na Kaka yake na Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Chadema.Mdhamini huyo amefahamika kwa jina la Salum.