AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Mkuu MsemajiUkweli
Ukiongozwa na mtu ambaye siasa zake zimejengwa kwa misingi ya uongo na unafiki ni wazi hata washabiki watafuata misingi hiyohiyo hakuna la kushangaza kwa vijana wa Chadema nao kujikita kwenye misingi hiyo wanamfuata Baba Paroka!
Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz
Majungu@work.
Last edited by a moderator: