Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Status
Not open for further replies.
Mkuu Molemo siamini sana taarifa hizi kwani Habib Mchange japo tumemfukuza Chama ila tulimuamini mpaka kumpa nafasi ya kugombea Ubunge hivyo viwango alivyokuwa amefikia ndani ya chama naamini sio mtu wa kuiba simu.

Nafikiri japo kuna tofauti ya kimtazamo UTU na THAMANI YA UTU tusiipoteze kwa sababu ya siasa

Haka katabia hakajaanza leo, alishawahi kualiza roomates wake udom laptop, akahamaga na chumba.
 
wanajf,
hizi sarakasi za akina molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa kutafuta maneno ya faraja.

Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.

Subirini kusikia
mchange ameiba gari,
mchange ameiba mke wa mtu,
mchange ni konda wa daladala
mchange yupo jela
mchange amekufa.

The truth never die...

Kwa mawasiliano zaidi
0658178678
0762178678
aujafa eeeeeh pole sana mwana ccm
 
WanaJf,
Hizi sarakasi za akina Molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa Kutafuta maneno ya faraja.

Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,Mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.

Subirini kusikia
Mchange ameiba Gari,
Mchange ameiba mke wa mtu,
Mchange ni konda wa daladala
Mchange yupo jela
Mchange amekufa.

THE TRUTH NEVER DIE...

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0658178678
0762178678
mkuu rumande umeswekwa hujasweka.?
m
 
Kulikuwa na Taarifa kuwa aliyewahi kuwa Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA, Habib Mchange, alikuwa amekatatwa kwa kosa la wizi wa simu. Habari za kuaminika kutoka Kituo cha Polisi Mabatini-KIJITONYAMA zinathibitisha kuwa Mtu anayesadikiwa kuwa ni Kaka wa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-ZITTO Kabwe anashughulikia dhamana. dhamana ni haki yake lakini kutokana na yale yaliyokuwa nyuma ya pazia sijapenda habari hii iwe siri
 
Updates....
Habib Mchange amepata dhamana jioni hii.Amedhaminiwa na Kaka yake na Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Chadema.Mdhamini huyo amefahamika kwa jina la Salum.
Molemo,
Huitaji kuzunguka na kuuma uma maneno. Mbona huyo kiongozi mwenyewe huwa anamtaja tu mara nyingi?
@Zitto
Kaka yangu Salum anayefanya biashara ya magari ndiyo aliyeniletea na hili sikuliendesha zaidi ya wiki mbili, likanishinda. Lilikuwa la kifahari mno, nikamwambia alichukue aliuze na hela yangu anirudishie.
 
mtaje usijekuwa unaleta majungu tu

Join Date : 3rd January 2013
Posts : 6
Rep Power : 303
Likes Received3
Likes Given1
 
..........

Habib Mchange amepata dhamana jioni hii.Amedhaminiwa na Kaka yake na Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Chadema.Mdhamini huyo amefahamika kwa jina la Salum.
Suala hili halijapelekwa mahakamani...tusaidie Molemo basi kututajia jina la huyo "Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Chadema"
 
muasi muasisi
bila ubishi
ndani ya mikono ya ppolisi..baada ya kuwatusi waasisi....
 
Kuwatunza masalia kutamtia sana hasara, ingawa anauhakika wa kutokupungukiwa na mkwanja kwa kuwa ana ile ngonjera ya
"niwataje au nisiwataje?"


ila masalia hao hawana tena nguvu na umaarufu wao hautachukuwa hata mwezi mmoja utakuwa umekwisha kabisa.
watakuwa maarufu hapa JF tu.
 
mtaje usijekuwa unaleta majungu tu

Join Date : 3rd January 2013
Posts : 6
Rep Power : 303
Likes Received3
Likes Given1
Sasa wewe unakataa nini?usidharau taarifa unazopewa,Nimeeleza hapo awali kuwa Kafulila ameshapatana na Mbatia,upo uwezekano Zitto akawa mgombea wa Urais kwa tiketi ya NCCR-MAGEUZI hapo 2015,maana safu ya PM7 tayari imeshaanza kujipanga ndani NCCR- MAGEUZI!
 
Umeswekwa rumande?
Una tuhumiwa kwa wizi?
Jaribu kujibu tuhuma hizi kwanza!

Kwa nini tusiseme umepewa dhamana muda uliopita?
Acha maneno mengi hebu jibu tuhuma ili tuchuje!

Namba zako hazito saidia chochote bora ubaki nazo!

WanaJf,
Hizi sarakasi za akina Molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa Kutafuta maneno ya faraja.

Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,Mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.

Subirini kusikia
Mchange ameiba Gari,
Mchange ameiba mke wa mtu,
Mchange ni konda wa daladala
Mchange yupo jela
Mchange amekufa.

THE TRUTH NEVER DIE...

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0658178678
0762178678
 
Sasa wewe unakataa nini?usidharau taarifa unazopewa,Nimeeleza hapo awali kuwa Kafulila ameshapatana na Mbatia,upo uwezekano Zitto akawa mgombea wa Urais kwa tiketi ya NCCR-MAGEUZI hapo 2015,maana safu ya PM7 tayari imeshaanza kujipanga ndani NCCR- MAGEUZI!

kwa hiyo huko watakuja kama wanachama wapya au PM7.?
 
Kuwatunza masalia kutamtia sana hasara, ingawa anauhakika wa kutokupungukiwa na mkwanja kwa kuwa ana ile ngonjera ya
"niwataje au nisiwataje?"


ila masalia hao hawana tena nguvu na umaarufu wao hautachukuwa hata mwezi mmoja utakuwa umekwisha kabisa.
watakuwa maarufu hapa JF tu.

Ni kweli Mkuu hawa ni Malufu hapa JF ndo wanako tukuzwa, Mtaani hakuna anaye wajua kwanza, Kama huyo Juliana ndo kabisa hakuna anaye mzungumzia wala anaye mjua hata kwa Sura, hao wakina Machange ndo kabisa
 
Hili jambo ni zito japo tunalifanyia mizaha.
Binafsi siwezi kukurupuka kuzomea au kutetea, maana muda utaongea.

Tayari mhusika ameshaanza kujibu akionyesha kuwa ni mwendelezo wa 'michezo'.

Inavyosomeka ni kweli kabisa kuwa Mchange aliwekwa ndani leo, maana kuna update ya kuwekewa dhamang pale juu.
Lakini nasikitika kwasababu Mchange ameandika post bila kugusia hilo kabisa, huku akiacha mwanya kwa wapinzani wake kuendelea kuamini kuwa amekwapua.

Mchange, we ni kijana, weka hapa kilichojiri.
Hakuna asiyejua kuwa kwa mtu anayehusika na biashara za aina hiyo (simu etc)lolote laweza kutokea.
 
Last edited by a moderator:
Kulikuwa na Taarifa kuwa aliyewahi kuwa Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA, Habib Mchange, alikuwa amekatatwa kwa kosa la wizi wa simu. Habari za kuaminika kutoka Kituo cha Polisi Mabatini-KIJITONYAMA zinathibitisha kuwa Mtu anayesadikiwa kuwa ni Kaka wa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-ZITTO Kabwe anashughulikia dhamana. dhamana ni haki yake lakini kutokana na yale yaliyokuwa nyuma ya pazia sijapenda habari hii iwe siri[/QUOT


Akitoka aende NCCR - Kisandu anamsubiri wakaanzishe NCCR VIJANA
 
Mchange njoo ukanushe na hili basi!
 
Last edited by a moderator:
All these people tumeeacha kazi zetu tunashangilia huu ujinga na uongo na uzandiki! Eti mtu anasema sosi ni mimi mwenyewe na bado watu 20 wanaojiita Great Thinkers wana-like! No wonder viongozi wa serikali wanatuburuza kwa sababu priority zetu ziko kwenye mambo ya kijinga na uwongo.

Upuuzi uliobobea na mpevu kabisa ni ku'paste majina ya watu 102 hapa wakati kila mtu ana fursa ya kuyaona.
Mbaya zaidi ni kwamba kashfa zote ulizotoa zinakugusa na kukuhusu moja kwa moja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom