Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Status
Not open for further replies.
Mkuu fuatilia sheshe la Juliana na muone mnavyoanikana hadharani.

Labda ungesema, nifuatilie habari za rey c na mkuu. Shonza alikuwa na marehemu ambaye kafufuka na kuwa naibu waziri wa elimu pale mikocheni. Nape anadaiwa cheo cha bShonza vipi? mbona kimya?..Vipi moto wa sekretarieti yetu, imejaa mafisadi.
Labda pia ungenitaka nijiulize Jangiri Kinana atataifishwa meli zake lini?
 
Nini kinaendelea kwenye huu uzi?... kama sielewi elewi...
 

Labda ungesema, nifuatilie habari za rey c na mkuu. Shonza alikuwa na marehemu ambaye kafufuka na kuwa naibu waziri wa elimu pale mikocheni. Nape anadaiwa cheo cha bShonza vipi? mbona kimya?..Vipi moto wa sekretarieti yetu, imejaa mafisadi.
Labda pia ungenitaka nijiulize Jangiri Kinana atataifishwa meli zake lini?
Naona hueleweki mkuu, line yako inasikika madudu tu.
 
Siasa za ushabiki zina tabu zake sana,poleni sana vijana mnajitambua hadi mnapitiliza.
 
mkuu mimi ni pro chadema.lakini kwenye uzi huu kama si kweli,basi naona tumeanza kulewa sifa za kijinga.si ungwana wala ustaarabu kuanzisha uzi kama huu,hata kama unamchukia mtu kiasi gani.mkuu malemo jaribu kucheza na brain sometimes.naungana na mkuu ritz kuku notify kwamba kwenye huu uzi umechemsha sana tu.

Kwani Molemo amedanganya?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom