Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Status
Not open for further replies.
Ni kweli Mkuu hawa ni Malufu hapa JF ndo wanako tukuzwa, Mtaani hakuna anaye wajua kwanza, Kama huyo Juliana ndo kabisa hakuna anaye mzungumzia wala anaye mjua hata kwa Sura, hao wakina Machange ndo kabisa

Heche anafahamika na kuthaminika huku kitaa kuliko yeyote ndani ya BAVICHA, yaani kama jana alipokuwa Moshi mara tu alipopanda jukwaani, watu walishangilia mbaya.
 
Mbowe+Slaa+Zitto hawa watu hamtakaa muwaelewe! Hata wake zao!

Kuna kipindi kitafika baadhi ya werevu watapata walau picha!!!!
Hapo ndio Mzee Nguza anaposema Chunguliaaaa!!! pole pole wangwanaaa!!
 
WanaJf,
Hizi sarakasi za akina Molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa Kutafuta maneno ya faraja.

Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,Mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.

Subirini kusikia
Mchange ameiba Gari,
Mchange ameiba mke wa mtu,
Mchange ni konda wa daladala
Mchange yupo jela
Mchange amekufa.

THE TRUTH NEVER DIE...

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0658178678
0762178678
Kama jibu hili ungelilileta asubuhi wakati hii thread imeanza, lingekuwa na maana kubwa sana. Lakini saa hizi wakati tayari kuna update kwamba umepata dhamana, inaweza isisaidie sana. labda tu namna nzuri ya kukanusha ni kutuambia ulikamatwa kwa kosa gani? Maana kwa hakika siafiki kwamba uliiba simu. Hiyo haileti maana, lakini tumegee kidogo ni nini kilikutokea? Au kama vipi kanusha kabisa kwamba hukukamatwa kuliko hili jibu la jumla namna hii.
 
Mkuu Molemo siamini sana taarifa hizi kwani Habib Mchange japo tumemfukuza Chama ila tulimuamini mpaka kumpa nafasi ya kugombea Ubunge hivyo viwango alivyokuwa amefikia ndani ya chama naamini sio mtu wa kuiba simu.

Nafikiri japo kuna tofauti ya kimtazamo UTU na THAMANI YA UTU tusiipoteze kwa sababu ya siasa

sure..mkuu umenena,licha za tofaut zilizopo sidhan kama mchange anaweza kuiba simu.labda kama kakamatwa kwa somethng else
 
Heche anafahamika na kuthaminika huku kitaa kuliko yeyote ndani ya BAVICHA, yaani kama jana alipokuwa Moshi mara tu alipopanda jukwaani, watu walishangilia mbaya.
Wabhoti wooote wana msimamo,kasoro WASIRA peke yake.
 
Inamaana alikuwa anaishi kwa siasa, sasa maisha yameshamuwia kombo. Ni heri angekwenda kujisalimisha Lumumba kuliko huu ujasiriamali anaouanza sasa.

kaka hii comment yako imenivunja mbavu!
 
WanaJf,
Hizi sarakasi za akina Molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa Kutafuta maneno ya faraja.

Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,Mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.

Subirini kusikia
Mchange ameiba Gari,
Mchange ameiba mke wa mtu,
Mchange ni konda wa daladala
Mchange yupo jela
Mchange amekufa.

THE TRUTH NEVER DIE...

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0658178678
0762178678

Kaka Mchange hata hujala ushakimbilia JF baada ya kutoka celo..lol..
 
Last edited by a moderator:
Aliyewahi kuwa Mwanachama wa CHADEMA na Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Habib Mchange anashikiliwa na kituo cha Polisi Mabatini Kijitonyama kwa tuhuma za wizi wa Simu.

Habib Mchange alikamatwa jana usiku na mpaka leo asubuhi alikuwa bado hajapata dhamana. Huku mahojiano yakiwa yanaendelea kituoni hapo.

Habib Mchange alifukuzwa Uanachama wa Bavicha mapema mwezi huu kwa utovu wa nidhamu na usaliti dhidi ya Chadema ambapo mbali na kufukuzwa Bavicha alipoteza pia uanachama wa Chadema kikatiba.

Source: Mimi Mweyewe-Molemo.

Updates....

Habib Mchange amepata dhamana jioni hii.Amedhaminiwa na Kaka yake na Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Chadema.Mdhamini huyo amefahamika kwa jina la Salum.

Kaka yake na Zitto bw. Salim kamdhamini Mchange.
 
Last edited by a moderator:
WanaJf,
Hizi sarakasi za akina Molemo na kundi lake lote dhidi yangu ni mwendelezo tu wa Kutafuta maneno ya faraja.

Mme sikia kuwa mimi mwanzilishi wa chauma,Mmesikia mengi yanayohusu mimi yakutungwa.

Subirini kusikia
Mchange ameiba Gari,
Mchange ameiba mke wa mtu,
Mchange ni konda wa daladala
Mchange yupo jela
Mchange amekufa.

THE TRUTH NEVER DIE...

KWA MAWASILIANO ZAIDI
0658178678
0762178678

Umekwapua simu au hujakwapua acha kuruka sarakasi
 
kati ya siku nilizocheka basi ni leo .....jamaa ameiba simu?!!!!
 
angejibu hivi, sijaiba simu! au nimeiba simu! sasa hizi porojo anazotaka kuleta hapa hazina nafasi hapa JF!
 
Mkuu kumbe kaka yake na Zitto Kabwe anayeitwa Salim ndiye aliyemdhamini huyu masalia Mchange! Kweli Zitto ni nouma yani katumia indirectly tact kumuokoa kijana wake.

Lady JD aliimba mwanaume mpenda vya dezo na bure anafananishwa na binti manake lazima atumike duh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom