Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Pole Mchange!...
Mkuu Mungi
Mnajihidhirisha ni jinsi gani vijana wa Chadema mlivyo mahodari wa kutunga; hayanishangazi sana washabiki wa post hii ni Ben Saanane na Exaud Mamuya walewale mahodari wa kutunga uongo; kama walivyotunga uongo dhidi ya Juliana Shonza naona naye kamanda Molemo ametunga uongo dhidi ya Mchange hizi siasa za uongo zitawafikisha wapi?
Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz
Aliyewahi kuwa Mwanachama wa CHADEMA na Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Habib Mchange anashikiliwa na kituo cha Polisi Mabatini Kijitonyama kwa tuhuma za wizi wa Simu.
Habib Mchange alikamatwa jana usiku na mpaka leo asubuhi alikuwa bado hajapata dhamana. Huku mahojiano yakiwa yanaendelea kituoni hapo.
Habib Mchange alifukuzwa Uanachama wa Bavicha mapema mwezi huu kwa utovu wa nidhamu na usaliti dhidi ya Chadema ambapo mbali na kufukuzwa Bavicha alipoteza pia uanachama wa Chadema kikatiba.
Source: Mimi Mweyewe-Molemo.
Updates....
Habib Mchange amepata dhamana jioni hii.Amedhaminiwa na Kaka yake na Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Chadema.Mdhamini huyo amefahamika kwa jina la Salum.
Hilo la ID kumi unaliona la ajabu? si ajabu wewe mwenyewe 3 una tatu hapo ulipo
Chama
Gongo la mboto DSM
Molemo, mkuu wangu kwenye huu uzi umejivunjia sana.
sijaelewa mpaka sasa kwaninhj maamuzi ya Chadema yawaume watu wa CCM!
Mkuu,
ni vizuri wakatambua kuwa, kuishi kwa uongo na mauti yatawafika katika uongo.
Ni masikitiko pale vijana wanapotengeneza maisha kwa njia ya uongo na uzandiki kwa kiasi hiki.
Siasa wanazoziendesha zitapita lakini hukumu yake haitowapita.
mwambie aombe radhi arudi kwenye chama ndio atakuwa salama vinginevyo atapata shida mtaani
Mkuu MsemajiUkweli
Ukiongozwa na mtu ambaye siasa zake zimejengwa kwa misingi ya uongo na unafiki ni wazi hata washabiki watafuata misingi hiyohiyo hakuna la kushangaza kwa vijana wa Chadema nao kujikita kwenye misingi hiyo wanamfuata Baba Paroka!
Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz
Every action and reaction are equal and opposite!!!!!!!!
Umechakachua. ilipaswa kuwa hivi: 'to each action, there is an equal & opposite reaction'
Nitashangaa kama hawafahamu kama Baba Paroka muda wa kwenye ulingo wa siasa umebaki ni mfupi. Wanadumbukizwa kwenye giza la kifikra. Siasa za Baba Paroka ni za umaarufu wa muda (siasa za matukio).
Sikio la kufa halisikii dawa. Hata kama watapata ushauri hawawezi kuufuata kwa sababu wameishakuwa bastion of Baba Paroka chauvinism
Mkuu MsemajiUkweli
Ukiongozwa na mtu ambaye siasa zake zimejengwa kwa misingi ya uongo na unafiki ni wazi hata washabiki watafuata misingi hiyohiyo hakuna la kushangaza kwa vijana wa Chadema nao kujikita kwenye misingi hiyo wanamfuata Baba Paroka!
Chama
Gongo la mboto DSM
cc Ritz