Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Status
Not open for further replies.
mmmhhhhh, kazi ipo! :majani7:bora kupata msuba tu sometimes! hii makitu imemtia aibu kubwa sana masalia huyu!
 
Acheni kuumizana kwa sababu ya siasa. Kama kweli lengo lenu ni kujenga nchi kwanini mmumizane ilhali nyinyi wote ni wananchi? Huyo mwananchi manayetaka kuboresha maisha yake ni yupi, akam wenyewe kwa wenyewe mnafianyiana roho mbaya hivi?
 
-Kuna aliyekua anatoa mapovu bungeni kutaka posho iongezwe ifikie laki 5 kwa siku na kuibatiza UJIRA WA MWIHA sasa kumbe povu lote lile ni ili aje adhamini uasi kupitia MASALIA GROUP

-Juzi amewapiga chenga hajatoa hela za press conference.Maskini huu ukwapuaji wa simu ni katika jitihada za kuziba ombwe ili wafanye Press conference kwa kuwa viongozi wao ni mabingwa wa kuwakana na kuwaachia soo wenyewe.

Tuungane kupinga vijana kutumika na wakati huo huo tuwawajibishe na kuwalaani vikali wale wanaotaka kutumia vijana vibaya kwa maslahi yao
 
Aliyeleta habari ajitahidi kufafanua huo wizi wa cm? Ilikuwaje na kivip! Tueleze,na mnaochangia bila kuhoji mmekurupuka
Tuna mwamini mleta mada hana kumbukumbu za kuleta mada za uongo...
 
Acheni kuumizana kwa sababu ya siasa. Kama kweli lengo lenu ni kujenga nchi kwanini mmumizane ilhali nyinyi wote ni wananchi? Huyo mwananchi manayetaka kuboresha maisha yake ni yupi, akam wenyewe kwa wenyewe mnafianyiana roho mbaya hivi?


Sijakuelewa mkuu!!roho mbaya gani wanazofanyiana?kwani ametumwa kuiba?umefikia hatua ya kumtetea mwizi?sasa nazidi kuelewa ni kwa nini wayaudi walimtoa yesu kusurubiwa badala ya baraba!!
 
-Kuna aliyekua anatoa mapovu bungeni kutaka posho iongezwe ifikie laki 5 kwa siku na kuibatiza UJIRA WA MWIHA sasa kumbe povu lote lile ni ili aje adhamini uasi kupitia MASALIA GROUP

-Juzi amewapiga chenga hajatoa hela za press conference.Maskini huu ukwapuaji wa simu ni katika jitihada za kuziba ombwe ili wafanye Press conference kwa kuwa viongozi wao ni mabingwa wa kuwakana na kuwaachia soo wenyewe.

Tuungane kupinga vijana kutumika na wakati huo huo tuwawajibishe na kuwalaani vikali wale wanaotaka kutumia vijana vibaya kwa maslahi yao
nyani haoni kundule
 
Mkuu Molemo siamini sana taarifa hizi kwani Habib Mchange japo tumemfukuza Chama ila tulimuamini mpaka kumpa nafasi ya kugombea Ubunge hivyo viwango alivyokuwa amefikia ndani ya chama naamini sio mtu wa kuiba simu.

Nafikiri japo kuna tofauti ya kimtazamo UTU na THAMANI YA UTU tusiipoteze kwa sababu ya siasa
 
-Kuna aliyekua anatoa mapovu bungeni kutaka posho iongezwe ifikie laki 5 kwa siku na kuibatiza UJIRA WA MWIHA sasa kumbe povu lote lile ni ili aje adhamini uasi kupitia MASALIA GROUP

-Juzi amewapiga chenga hajatoa hela za press conference.Maskini huu ukwapuaji wa simu ni katika jitihada za kuziba ombwe ili wafanye Press conference kwa kuwa viongozi wao ni mabingwa wa kuwakana na kuwaachia soo wenyewe.

Tuungane kupinga vijana kutumika na wakati huo huo tuwawajibishe na kuwalaani vikali wale wanaotaka kutumia vijana vibaya kwa maslahi yao
Binafsi sikumwelewa alikuwa anataka laki 5 zote za ni kama posho tu kumbe pesa nyine anatumia kulipa makundi yake ya uasi sasa ndiyo natambua kuwa hata laki 5 kwa siku pengine hai toshi kabisa au itategemea na kundi lako lina watu wangapi vinginevyo wataishia gerezani kwa kukwapua simu za watu...
 
Mkuu Molemo siamini sana taarifa hizi kwani Habib Mchange japo tumemfukuza Chama ila tulimuamini mpaka kumpa nafasi ya kugombea Ubunge hivyo viwango alivyokuwa amefikia ndani ya chama naamini sio mtu wa kuiba simu.

Nafikiri japo kuna tofauti ya kimtazamo UTU na THAMANI YA UTU tusiipoteze kwa sababu ya siasa
Hajaiba wala nini ni chuki binafsi.labda kategeshewa na kununua simu ya wizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom