Mkuu umeiona hiyo. Ni kichekesho. Hawa masalia vichwa vya panzi kwelikweli. Ndio maana Ben Saanane aliwakamata kama kuku. Rais wa Kenya Mwai Kibaki angemwambia Bure Kabisaaa!!!!!!Umejisahau unatumia i.d ingine?
Dah! Molemo kala ban. So bad
Sasa huyu Molemo ni mkurugenzi wa CHADEMA lakini anadanganya na kujitia aibu mpaka anapigwa ban kwa uongo. Mtu kama huyu amepata vipi ukurugenzi CHADEMA?
Taja ID hiyo, vinginevyo ni uzushi!
Kumbe dogo alikuwa hana ajira! heeeeee sasa PM7 nayo imesambaratika dah
Taja ID hiyo, vinginevyo ni uzushi!
Taja ID hiyo, vinginevyo ni uzushi!
Mimi siishi maisha ya Digidigi ka wewe bana!...iam always sure of what i talk about!Hilo la ID kumi unaliona la ajabu? si ajabu wewe mwenyewe 3 una tatu hapo ulipo
Chama
Gongo la mboto DSM
Mimi siishi maisha ya Digidigi ka wewe bana!...iam always sure of what i talk about!
Tatizo ni pale watu mnapoaminishwa uongo kuwa MOlemo ni Mrema nanyi bila hata ya kufanya uchunguzi mnamhukumu Mrema ambaye hahusiki hata chembe , hivyo fanyeni utafiti wenu kwanza kabla ya kuhukumu watu .
Moods ningewashauri ili kuondoa tuhuma kwa mtu ambaye hahusiki fungieni molemo for life ili kuondoa mkanganyiko huu uliopo na unawasababishia wengine maadui na hata usumbufu usiokuwa na ulazima wowote ule , please its just an advice.