Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
ndugu zangu great thinkers, after discussing the road to IPP and its parking as compared to that of TBC what have we gained materially, what have we learned from that.
Tujiuilize je wananchi wamefaidika vipi na mjadala huo, je wameacha kuokota chupa za plastiki na makopo matupu ya bia, je zahanati zao zina dawa , je mazao yao yanafika mijini kwa urahisi na kununuliwa kwa bei ya kuridhisha, je watoto wao wanaenda sekondari na kulipiwa ada, je wakifaulu kwenda vyuoni bodi inawapa mikopo au ndio longolongo ya kila siku.
i would expect great thinkers to dig deep on issues of the like not barabara ya IPP, ambayo hata angeamua kuweka ya dhahabu bado watu wangesema tu. Tubadilike wakati ni huu miaka karibu 50 baada ya uhuru kunajadili vitu vya ajabu visivyo na tija
Tujiuilize je wananchi wamefaidika vipi na mjadala huo, je wameacha kuokota chupa za plastiki na makopo matupu ya bia, je zahanati zao zina dawa , je mazao yao yanafika mijini kwa urahisi na kununuliwa kwa bei ya kuridhisha, je watoto wao wanaenda sekondari na kulipiwa ada, je wakifaulu kwenda vyuoni bodi inawapa mikopo au ndio longolongo ya kila siku.
i would expect great thinkers to dig deep on issues of the like not barabara ya IPP, ambayo hata angeamua kuweka ya dhahabu bado watu wangesema tu. Tubadilike wakati ni huu miaka karibu 50 baada ya uhuru kunajadili vitu vya ajabu visivyo na tija