Gundu la kinyesi

Gundu la kinyesi

MTUME muhamad ilikuwa kila siku asubuhi akiamka kwenda msikitini anakuta bonge la kimba mlangoni kwake anachokifanya ni kukizoa na kutupa mbali!kwa mda wa wiki 2 siku ya siku kaamka hakukuta mavi mlangoni kama desturi alivozoea ikabidi ajiulize leo vipi kunani?!kesho yake hakukuta tena akajua huyu jamaa sio bure atakuwa amepatwa na tatizo akaenda kumtembelea jamaa akakuta jamaa anaumwa!basi akawa anamfariji pale akamuombe jamaa akapona.
 
Nakumbuka primary enzi hizo makimba tulikuwa tunayakuta sana mlangoni office ya waalimu na madarasani hata juu ya desk.
 
Aisee! kuna siku ofisni kwetu alikuja dada mmoja na mkaa wote vijana ofisi ilikuw barabarani wakaja wakaomba kujisaidia, yule dada alisema amebanwa sana tukampa funguo choo kilikuwa nyuma ya ofisi, akenda akafanya yake akarudisha funguo huyo akaondoka, baadae nikawa nataka kwneda kujisaidia ile nafungua choo nakutaka na bonge la kimba moja refu limesimama pembeni ya choo maana choo ni cha kuchuchumaa, ajabu ni kuwa kuna maji na brush ya choo hata kama alikuwa amekosea kulenga ilikuwa vema kama angesafisha, mpaka leo hatukujua lengo la yule dada, sasa naanza kupata sababu, aisee watu wawili wazima wanasindikizana kufanya haya?! Nchi hii ngumu sana.
mwasu kuna mtu kanitumia hii picha yenye maelezo kama haya yako
57dcca0760b68d7ee1527d9b84e56960.jpg
jamaa alifanya yake tena kwenye karatasi nyeupe pembeni ya choo
1466746570764.jpg
unaweza kuona uchafu uliofanyika hapo
Aliyenitumia anasema kwenye hiyo rambo kulikuwa na madawa
 
mwasu kuna mtu kanitumia hii picha yenye maelezo kama haya yako
57dcca0760b68d7ee1527d9b84e56960.jpg
jamaa alifanya yake tena kwenye karatasi nyeupe pembeni ya choo View attachment 359532unaweza kuona uchafu uliofanyika hapo
Aliyenitumia anasema kwenye hiyo rambo kulikuwa na madawa

Hiko ni choo cha umma au cha mtu binafsi? Au cha ofisi?

Washirikina wabaya sana, na ushirikina huanzia kwenye chuki. Mie mtu yeyote mwenye chuki bila sababu namuona mshirikina. Maana mtu akianza kumchukia mtu bila sababu au sababu zisizo za msingi kama wivu ndo huanza kufikiria. .... ngoja nimkomeshe. ... matokeo yake ndo hayo.... kukulisha mavi. ... kuwachezea familia yenu magonjwa..... usiku kuwachezesha chagulaga
Ukitaabika yeye nafasi yake kwatuu. ....utasikia. ... ndio ngoja nae akome alikuwa anajiskia sana kila siku anakaangiza tuu mitoto yake ina afyaa eeeh aipate na yeye ashinde hospitali kila mwezi.

Ushirikina mwanzo wake ni chuki..... jiepushe sana kuwa na chuki na watu unawezajikuta wewe ni mshirikina bila kujua.

Kasinde.... unyamwezini ndo kwetu. ...
 
Hiko ni choo cha umma au cha mtu binafsi? Au cha ofisi?

Washirikina wabaya sana, na ushirikina huanzia kwenye chuki. Mie mtu yeyote mwenye chuki bila sababu namuona mshirikina. Maana mtu akianza kumchukia mtu bila sababu au sababu zisizo za msingi kama wivu ndo huanza kufikiria. .... ngoja nimkomeshe. ... matokeo yake ndo hayo.... kukulisha mavi. ... kuwachezea familia yenu magonjwa..... usiku kuwachezesha chagulaga
Ukitaabika yeye nafasi yake kwatuu. ....utasikia. ... ndio ngoja nae akome alikuwa anajiskia sana kila siku anakaangiza tuu mitoto yake ina afyaa eeeh aipate na yeye ashinde hospitali kila mwezi.

Ushirikina mwanzo wake ni chuki..... jiepushe sana kuwa na chuki na watu unawezajikuta wewe ni mshirikina bila kujua.

Kasinde.... unyamwezini ndo kwetu. ...
Sory huwa sipendi kukomenti sana,ila nimsomaji mzuri sana.Napokutanaga na avatar yako inaniachaga hoi,kama niwewe hongera.

Samahanini wanajamvi kutoka nje ya mada.
 
Sory huwa sipendi kukomenti sana,ila nimsomaji mzuri sana.Napokutanaga na avatar yako inaniachaga hoi,kama niwewe hongera.

Samahanini wanajamvi kutoka nje ya mada.

Pole kwa kuwa hoi itabidi usiwe unaitizama ili uache kuwa hoi.

Kasie.
 
Abee Mshana.... au nimekosea kumuelekeza jinsi ya kuacha kuwa hoi.... maana mtu akiwa hoi kazi hazifanyiki hata kula atashindwa sasa nikaona nimuelekeze jinsi ya kutoa hiyo kadhia. Hehehehhehe
Au na wewe unakuwa hoi?
 
Mshana jr nachokupendea unatujuza sana mambo ya ulimwengu wa giza ambayo tusingeyafahamu ktk mazingira ya kawaida. Nadhan pia ipo haja ya kutawaza vizuri na kunawa mikono vizuri baada ya kutawadha
 
Back
Top Bottom