Gundu la kinyesi

Gundu la kinyesi

Gundu ni kiambishi cha kuelezea mambo kwenda mrama mambo kuharibika, mambo kutanzika! Hali ya kuchukiwa na hata kutengwa.
Kinyesi pamoja na kwamba ni samadi nzuri kikishaoza na uvundo kwisha lakini. ! ni makapi ya chochote ulichokula, yani mwili umeshachukua vyote vya maana kwahiyo hicho kilichobaki ni uchafu

Kinyesi ni kitu kingine kabisa licha ya uvundo wake lakini ukikikanyaga lazima uchechemee kama mtu aliyechomwa na mwiba..yani unapata hisia fulani mbaya kabisa akilini ukiwa umekikanyaga....na ndio maana hakuna nyumba inayokamilika bila kuwa na choo ya kuhifadhia hiyo kitu
Ukisikia mtu ana kimavi, muonee huruma maana ni mwendo wa mikosi mwanzo mwisho

Sasa hebu pata picha hii
Unaamka asubuhi na kukuta barazani kwako au getini kuna bonge la kimba! Unajiuliza na kutafakari mengi lakini unapuuzia na kufanya maarifa ya kusafirisha

Hii inaweza kutokea hata zaidi ya mara tatu na kudhani ni watu wakorofi au pengine wavuta bhangi....pole sana ni heri wawe ni hao kuliko kama ni mambo ya kishirikina..kwakuwa baada ya hapo kila kitu kitaanza kuyumba, vile watu wanavyokiogopa kinyesi na kujitenga nacho ndio hivyo hivyo nawe utakuwa
Ni mambo mabaya ya kishetani huja na madawa na manuizi ya uharibifu mbaya...na akimaliza huseta ukuta kwa makalio yake

Naamini wengi walishakutana na jambo kama hili kwa namna moja au nyingine na baada ya hapo ukaanza kukutana na milima na mabonde, hutakiwi kutafuta waganga wa kienyeji. ....kwa imani yako fanya utaratibu wa ibada ya kutakasa makazi. ..hiyo ndio dawa pekee ya kuweza kukuokoa na hili janga

NB: ushauri wa bure
Kama wewe si mpenzi wa hizi mada nakushauri upite kimya
Mkuu unataka kusema wanaojisaidia shambani kwangu ndio wamesababisha nisipate maembe mengi mwaka huu?
 
Mkuu unataka kusema wanaojisaidia shambani kwangu ndio wamesababisha nisipate maembe mengi mwaka huu?
wala pengine wanajisitiri tuu ila kama wanajisitiri sana na ni eneo moja au kwa vipimo maalum take care
Kwa mfano kujisaidia kwenye pembe za shamba tu au katikati tu
 
Gundu ni kiambishi cha kuelezea mambo kwenda mrama mambo kuharibika, mambo kutanzika! Hali ya kuchukiwa na hata kutengwa.
Kinyesi pamoja na kwamba ni samadi nzuri kikishaoza na uvundo kwisha lakini. ! ni makapi ya chochote ulichokula, yani mwili umeshachukua vyote vya maana kwahiyo hicho kilichobaki ni uchafu

Kinyesi ni kitu kingine kabisa licha ya uvundo wake lakini ukikikanyaga lazima uchechemee kama mtu aliyechomwa na mwiba..yani unapata hisia fulani mbaya kabisa akilini ukiwa umekikanyaga....na ndio maana hakuna nyumba inayokamilika bila kuwa na choo ya kuhifadhia hiyo kitu
Ukisikia mtu ana kimavi, muonee huruma maana ni mwendo wa mikosi mwanzo mwisho

Sasa hebu pata picha hii
Unaamka asubuhi na kukuta barazani kwako au getini kuna bonge la kimba! Unajiuliza na kutafakari mengi lakini unapuuzia na kufanya maarifa ya kusafirisha

Hii inaweza kutokea hata zaidi ya mara tatu na kudhani ni watu wakorofi au pengine wavuta bhangi....pole sana ni heri wawe ni hao kuliko kama ni mambo ya kishirikina..kwakuwa baada ya hapo kila kitu kitaanza kuyumba, vile watu wanavyokiogopa kinyesi na kujitenga nacho ndio hivyo hivyo nawe utakuwa
Ni mambo mabaya ya kishetani huja na madawa na manuizi ya uharibifu mbaya...na akimaliza huseta ukuta kwa makalio yake

Naamini wengi walishakutana na jambo kama hili kwa namna moja au nyingine na baada ya hapo ukaanza kukutana na milima na mabonde, hutakiwi kutafuta waganga wa kienyeji. ....kwa imani yako fanya utaratibu wa ibada ya kutakasa makazi. ..hiyo ndio dawa pekee ya kuweza kukuokoa na hili janga

NB: ushauri wa bure
Kama wewe si mpenzi wa hizi mada nakushauri upite kimya

Mada nzuri tatizo kuhusisha bangi ndio tatizo, hivi bangi inamatatizo gani mpaka inahusishwa na mambo maovu na vitu ambayo ni hulka za mtu binafsi. Tafadhali naomba siku uchambue hii kitu mkubwa wangu
 
Kweli kabisa mkuu mshana jr, kuna mtu aliwahi kukuta furushi kwenye msingi wa nyumba yake. Mpaka leo hawezi kuishi kwenye nyumba yake. Atakwenda kwa muda tu lakini hataki kabisa kusikia kuhusu hiyo nyumba yake.

Kumbe alifanyiziwa, jamani so sad....

Pia kuna kabila flani silitaji akikuta furushi katika nyumba/shamba/mji lalima adeal nalo mpaka alitwliacga aje aombe poo... na akija ujue atakuja akiwa anatembelea mikono maana atateswa mpaka basi....


Sasa nimepata picha.... Asante endelea kutufungua macho.
 
Gundu ni kiambishi cha kuelezea mambo kwenda mrama mambo kuharibika, mambo kutanzika! Hali ya kuchukiwa na hata kutengwa.
Kinyesi pamoja na kwamba ni samadi nzuri kikishaoza na uvundo kwisha lakini. ! ni makapi ya chochote ulichokula, yani mwili umeshachukua vyote vya maana kwahiyo hicho kilichobaki ni uchafu

Kinyesi ni kitu kingine kabisa licha ya uvundo wake lakini ukikikanyaga lazima uchechemee kama mtu aliyechomwa na mwiba..yani unapata hisia fulani mbaya kabisa akilini ukiwa umekikanyaga....na ndio maana hakuna nyumba inayokamilika bila kuwa na choo ya kuhifadhia hiyo kitu
Ukisikia mtu ana kimavi, muonee huruma maana ni mwendo wa mikosi mwanzo mwisho

Sasa hebu pata picha hii
Unaamka asubuhi na kukuta barazani kwako au getini kuna bonge la kimba! Unajiuliza na kutafakari mengi lakini unapuuzia na kufanya maarifa ya kusafirisha

Hii inaweza kutokea hata zaidi ya mara tatu na kudhani ni watu wakorofi au pengine wavuta bhangi....pole sana ni heri wawe ni hao kuliko kama ni mambo ya kishirikina..kwakuwa baada ya hapo kila kitu kitaanza kuyumba, vile watu wanavyokiogopa kinyesi na kujitenga nacho ndio hivyo hivyo nawe utakuwa
Ni mambo mabaya ya kishetani huja na madawa na manuizi ya uharibifu mbaya...na akimaliza huseta ukuta kwa makalio yake

Naamini wengi walishakutana na jambo kama hili kwa namna moja au nyingine na baada ya hapo ukaanza kukutana na milima na mabonde, hutakiwi kutafuta waganga wa kienyeji. ....kwa imani yako fanya utaratibu wa ibada ya kutakasa makazi. ..hiyo ndio dawa pekee ya kuweza kukuokoa na hili janga

NB: ushauri wa bure
Kama wewe si mpenzi wa hizi mada nakushauri upite kimya
Duuh, mkuu mbona umenshtua! Week ya pili baada ya kupata kausafiri nikaamka asubuhi nikakuta sehemu ya nyuma imetapakaa hayo madude, nilitafakari kisha nikapuuza, nikaosha nikaenda kwenye mishe zangu za maisha! Nikasema namwachia Mungu...sasa nimekuta hii mada duuh..nimepata kitu ambacho sikuwa nakijua11
 
Naomba nifafanue kidogo hapa kuhusu huo ushirikina
1.kinyesi kinachopakazwa kwenye kuta lengo lake ni kuitia nyumba gundu ujenzi usiendelee
2. Kile cha Kuwekwa getini au mlangoni aidha kinamlenga atakayeanza kutoka au mlengwa aliyetajwa kwa jina kwenye huo ushirikina
Kumbuka mada ya malango na ile ya nafsi katika utambulisho
Akipigwa binadamu si atakimbiwa na dunia nzima?
 
Hivi bro jr kuhusu mtu kuchukua nyota yako akajiHamishia yeye kweli hii kitu inaezekana?!mtu achukue yako safi akakuachia yake kimavi(MSINAMBE)
 
Hivi bro jr kuhusu mtu kuchukua nyota yako akajiHamishia yeye kweli hii kitu inaezekana?!mtu achukue yako safi akakuachia yake kimavi(MSINAMBE)
Kuna utaratibu mrefu na mgumu mpaka kufanikisha hilo kwa hiyo nyingi ni story
 
Kunajamaa alikua na duka kubwa sana la bidhaa za nafaka siku moja aliamka mapema kwenda kufungua duka nje alikutana nabonge la kimba alichofanya alizoa na kutupa baada ya muda kama mwezi duka lote lilikwisha bidhaa akafunga,Mshana Jr inawezekana ni gundu la kinyesi?
 
Kunajamaa alikua na duka kubwa sana la bidhaa za nafaka siku moja aliamka mapema kwenda kufungua duka nje alikutana nabonge la kimba alichofanya alizoa na kutupa baada ya muda kama mwezi duka lote lilikwisha bidhaa akafunga,Mshana Jr inawezekana ni gundu la kinyesi?
Ukijumlisha 1+1 unapata 2 lakini kwenye ulimwengu wa ushirikina jibu ni 11
 
Back
Top Bottom