Good news for JF members especially MMU

Good news for JF members especially MMU

hongera mtakatifu! halafu juzi nilikuwa sehemu (internet cafe) kuna dada mmoja alikuwa asifia avatar yako!
hapo kweney red..ngoja kwanza tutoke kwenye mada ...huyo mdada yupo JF ..kama hayupo mwambie ajiunge na ani pm ..mwambie SI ni mcheshi na hana noma ..na mwambie thanks kwa kusifia avatara ya SI
 
SI nakutakia kila la kheri lakini nilikuwa na doubt kuhusu JF kutoa ndoa zaidi ya 100+ ikabidi niulize ukimkwarua mwanaJF mwenzako utakuwa umefunga ndoa? Usiniulize kukwarua ni nini? Tehe tehe tehe tehe tehe.
hahha asa a GT nishajua maana ya kukwarua ... mimi sitaki kukwarua mtu na kuondoka zangu na si ndio maana nimeiweka puplic kwani mda si mrefu mipango na maandalizi yataanza .....hahhaha ...mkuu kwa hiyo ushakwarua wana JF wangapi?
 
hapo kweney red..ngoja kwanza tutoke kwenye mada ...huyo mdada yupo JF ..kama hayupo mwambie ajiunge na ani pm ..mwambie SI ni mcheshi na hana noma ..na mwambie thanks kwa kusifia avatara ya SI

nimeogopa kumtaja asije kuwa ndo mtalajiwa! halafu siunajua watu hawachelewi kudesa!
 
hapo kweney red..ngoja kwanza tutoke kwenye mada ...huyo mdada yupo JF ..kama hayupo mwambie ajiunge na ani pm ..mwambie SI ni mcheshi na hana noma ..na mwambie thanks kwa kusifia avatara ya SI

duuu haahaaaahaaaaa mbavu zangu we ni noma kumbe ndo....
 
hahha asa a GT nishajua maana ya kukwarua ... mimi sitaki kukwarua mtu na kuondoka zangu na si ndio maana nimeiweka puplic kwani mda si mrefu mipango na maandalizi yataanza .....hahhaha ...mkuu kwa hiyo ushakwarua wana JF wangapi?
Hakuna hata mmoja, yaani wagumu kama visiki. Kuna kipini najiona labda sina bahati vile tehe tehe tehe.
 
Back
Top Bottom