klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
Rais, utanipeperushia ujue?Inapotokea mzozo, anashangilia
Inapotokea kashehe, anafurahia
Inapotokea kashkash, anajishebedua
Hapo vipi katibu?
Tumsubirie rejao aweke chorus
Rais, utanipeperushia ujue?Inapotokea mzozo, anashangilia
Inapotokea kashehe, anafurahia
Inapotokea kashkash, anajishebedua
Hapo vipi katibu?
hapa tunazinguana tu
Wote wawili mnatakiwa mpewe lecture!! Inabidi pia mkishaoana msibaki tena hapa jamvini.haaa..Asha D anafunda vitu gani tena ..nipo interested..mimi ndio natakiwa nifundwe au mamaa?
Namkubali sana huyu dada!!yupo safi kwenye kila idarawe rejao kuna kitu unamtafuta huyu mtakatifu..
Hahahaha..huyo dada unayemuoa kazi anayo!!!hapo kweney red..ngoja kwanza tutoke kwenye mada ...huyo mdada yupo JF ..kama hayupo mwambie ajiunge na ani pm ..mwambie SI ni mcheshi na hana noma ..na mwambie thanks kwa kusifia avatara ya SI
wala hatopata tabu hata kidogo zaidi ya raha tu na kudekezwa kwa sana ..........sema tu nampenda kinoma (ila nazani wakumbuka thread yangu ya kuomba msada juu ya maumbile).....Hahahaha..huyo dada unayemuoa kazi anayo!!!
ww rejao usitumie masaburi kufikiria ..nipe sababu kwa nini tukishaoana tuachane na JF?Wote wawili mnatakiwa mpewe lecture!! Inabidi pia mkishaoana msibaki tena hapa jamvini.
roho inakuuma nini tena? Kwani wewe ni domo zege?dah, yaani ivuga anawowa? Roho inauma aaaa!
Katika siku zijazo ..na na uwepo wa JF hapa duniani ..itafungwa ndoa ya kwanza ya wana JF kati ya SI na ...........(anajijua) hio ndoa/arusi /sherehe) haitawaweka wana JF pembeni kwani ni zao la JF .
.viva JF
havipo pamoja mkuu...ngoja nikupe mfano mmoja ..
sugu vs shyrose bhanji
hahahha ...mkuu watu watakuelewa kweli?all ze best si mi nipange kwenye kamat upande wa vinywaji, hakika sitanunua pombe ni soda na juice tu hyo ya bia 2nakupa ukamnunulie mkeo zawad ya x-mas
acha bhangi ..unaweza kutoa sababu ni kwa nini unanifananisha na mama yangu ff?si na ff nini?
mkuu mbona mshangao ...?duh, o_o
nikikuoa utakuwa ni ngabu husninyo. smile basiii.
Kuna silent killerz humu!!ww rejao usitumie masaburi kufikiria ..nipe sababu kwa nini tukishaoana tuachane na JF?