kwenye Bold, Wasiwasi wako tu Rafiki..
kama Mtakatifu atakubali basi nimejitolea kuwa mpambe wake siku ya Harusi....
Ivuga upo????
kama wewe sio mlevu haina shida ..ila kama unapiga kielevi itakuwa sio njema ..si unajua.
Wee Ivuga mbona unaharibu mambo?? Kama mlevi mbadilishie sectot but sio eti kutompa kazi kabisa!! lol
kama wewe sio mlevu haina shida ..ila kama unapiga kielevi itakuwa sio njema ..si unajua.
aaa ....mimi nataka wapambe walevi bhana..si unajua wanywaji ndio hutoa michango mikubwa mikubwa?hamna kilichoharibika mpendwa, mi si mlevi..
naona ndoto zangu za kuwa mpambe wa Matakatifu zinaelekea kutimia!
haha....nime ku note ..usihofu mambo yakikaa wa tu lazima ujulishwehongera toeni namba tuanze kutoa za kununua mthele na thoda bana.
asante dada yanguHongera sa SI
aaa ....mimi nataka wapambe walevi bhana..si unajua wanywaji ndio hutoa michango mikubwa mikubwa?
Katika siku zijazo ..na na uwepo wa JF hapa duniani ..itafungwa ndoa ya kwanza ya wana JF kati ya SI na ...........(anajijua) hio ndoa/arusi /sherehe) haitawaweka wana JF pembeni kwani ni zao la JF .
.viva JF