Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Lazima utakuwa na chuki binafsi pole
Sio jibu hili Suzie.
Ndugu much as I respect maoni na mtazamo wako lakini sidhani kama vi vema uka-generalize kana kwamba kila mtu anaona na kufikiri unachokifikiri. What I mean is epuka kuweka pleuralism kwenye statement zako. Wewe semea moyo wako na si ya wengine.
Binafsi nampa big up gondwe, anajitahidi sana. Wewe unasema amesoma kwenye shule za kata, so what? Nafahamu amesoma Tumaini-Iringa which is quite a good higher learning institution. Wewe uliyesoma Harvard au Oxford wapi kazi yako? wapi impact yako kwenye jamii? Sishangai ndio nyie mnaokuja na hoja kwamba fulani ni failure kaishia tu darasa la saba au form 4 hivyo hawezi kuongoza wakati mtu anadeliver.....
Ushauri wangu kwako ni kwamba ainisha mapungufu ya gongwe na ikiwezekana toa na maboresho au yeye kama yeye a-build kuanzia hapo otherwise THIS IS PURE CRAP NA UNA CHUKU BINAFSI juu ya mafanikio ya mwenzako
Fine, kama umegundua hayo mapungufu ya GG nadhani kwa kumsaidia ni vema ungemtafuta ukampa huo ushauri ili abadilike na sio kulalamika kwetu, unatwambia sisi tufanye nini sasa kama sio unafiki wako nadharau eti chou alichosoma heheheeee haitakusaidia hiyo hata kidogo au mwenzetu umesoma Havard au Oxford lol. Tafakari na badilika.
sasa inakuhusu nini...mambo ya kishamba hayo...mind your own business
Chuki binafsi hizo,mi naona yuko sawa tu!
Jamani tuweni wa kweli kati ya watangazaji wazuri wa kizazi hiki kama sikosei Gondwe na moja kati wa watangazaji wawili bora kabisa tuliona kwenye nchi .Naamini kabisa alieleta hii mada ya kipuuzi kapisa atakuwa ametumwa na radio amabayo watangazaji wake hawana uweledi kataka tasinia ya habari na haswa hizi radio zenye watangazaji amabao walifeli kidato cha nne ,
Chuki Binafsi....Mleta hoja atakuwa anafanya kazi na GG na anakitamani hicho kipindi/nafasi...Kama kweli una nia ya dhati nina uhakika haya uliyoyasema yanarekebishika...ulifanya juhudi gani binafsi na kumuelekeza huyo GG ili najirekebishe kabla ya kutuletea umbea hapa JF?mwanaume mzima hovyoooo.umbea tu na wivu.
Chuki binafsi haifai x70 'Ally Choki'
Acha majungu kijana mbona ametulia, au umetumwa? Tabia ya kuongelea watu badala ya "issues" ni tabia isiyofaa hata kidogo. Usiruhusu chuki zako binafsi ili kuufurahisha moyo wako!
majibu yenu ni ya kitoto wote nyie