Godwin Gondwe wa ITV asilazimishe fani

Lazima utakuwa na chuki binafsi pole


Sio jibu hili Suzie.

Ndugu much as I respect maoni na mtazamo wako lakini sidhani kama vi vema uka-generalize kana kwamba kila mtu anaona na kufikiri unachokifikiri. What I mean is epuka kuweka pleuralism kwenye statement zako. Wewe semea moyo wako na si ya wengine.

Binafsi nampa big up gondwe, anajitahidi sana. Wewe unasema amesoma kwenye shule za kata, so what? Nafahamu amesoma Tumaini-Iringa which is quite a good higher learning institution. Wewe uliyesoma Harvard au Oxford wapi kazi yako? wapi impact yako kwenye jamii? Sishangai ndio nyie mnaokuja na hoja kwamba fulani ni failure kaishia tu darasa la saba au form 4 hivyo hawezi kuongoza wakati mtu anadeliver.....

Ushauri wangu kwako ni kwamba ainisha mapungufu ya gongwe na ikiwezekana toa na maboresho au yeye kama yeye a-build kuanzia hapo otherwise THIS IS PURE CRAP NA UNA CHUKU BINAFSI juu ya mafanikio ya mwenzako

Fine, kama umegundua hayo mapungufu ya GG nadhani kwa kumsaidia ni vema ungemtafuta ukampa huo ushauri ili abadilike na sio kulalamika kwetu, unatwambia sisi tufanye nini sasa kama sio unafiki wako nadharau eti chou alichosoma heheheeee haitakusaidia hiyo hata kidogo au mwenzetu umesoma Havard au Oxford lol. Tafakari na badilika.

sasa inakuhusu nini...mambo ya kishamba hayo...mind your own business

Chuki binafsi hizo,mi naona yuko sawa tu!

Jamani tuweni wa kweli kati ya watangazaji wazuri wa kizazi hiki kama sikosei Gondwe na moja kati wa watangazaji wawili bora kabisa tuliona kwenye nchi .Naamini kabisa alieleta hii mada ya kipuuzi kapisa atakuwa ametumwa na radio amabayo watangazaji wake hawana uweledi kataka tasinia ya habari na haswa hizi radio zenye watangazaji amabao walifeli kidato cha nne ,

Chuki Binafsi....Mleta hoja atakuwa anafanya kazi na GG na anakitamani hicho kipindi/nafasi...Kama kweli una nia ya dhati nina uhakika haya uliyoyasema yanarekebishika...ulifanya juhudi gani binafsi na kumuelekeza huyo GG ili najirekebishe kabla ya kutuletea umbea hapa JF?mwanaume mzima hovyoooo.umbea tu na wivu.

Chuki binafsi haifai x70 'Ally Choki'

Acha majungu kijana mbona ametulia, au umetumwa? Tabia ya kuongelea watu badala ya "issues" ni tabia isiyofaa hata kidogo. Usiruhusu chuki zako binafsi ili kuufurahisha moyo wako!

majibu yenu ni ya kitoto wote nyie
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Mmh..Mna kashifu hadi mapungufu ya mtu mkidhani anajifanyisha jamani??!! Isack Gamba shingo yake ndivyo ilivyo imekaza sio kwamba anajikamua kutoa sauti.

Mi nadhan Kibonde ndio anajifanyisha kwa kui-tune sauti yake i-sound kama mtu wa pwani...wakati alipokuwa CTN sauti yake wala haikuwa hivyo!!! Kinachomsaidia ni mcheshi tu...
 
majibu yenu ni ya kitoto wote nyie
SIO JIBU? kivipi? Kwani mtoa mada alikuwa anauliza SWALI au KUTAKA MAJIBU?

mmhh mi naona mmetumwa kumharibia mtu jina humu JF, namimi nakuambieni MSHINDWE na MLEGEE

Epuka kuzungumzia au kujadili mtu/watu, jadili issues. Kama GG anadominate na kuingilia mijadala anayoingoza basi toa elimu anatakiwa afanyaje according to standard of operation (SoP) guiding how to lead am interview or question and answer session. Lete nondo hapa tukusome tukuelewe short of that, this is CRAP
 
Sijaona kama tatizo la Gondwe limefikia hali ya kulaumiwa kiasi hicho, na kusema analazimisha fani!
Ungekuwa wa msaada sana kama ungemtumia kama ushauri binafsi, na si kumlaumu.

Gondwe ni kijana msomi mzuri wa Saint Augustin University(Japo umesema kwa dharau kuwa ni mhitimu wa vyuo vya kata)ambaye anaweza kupokea maoni na kubadilika muda wowote...man be fair, give him a chance, na si kumkwamisha!

Kuna watu ambao wanataka mtu afanye yeye anavyotaka. Kuna haja ya kujua std za mtangazaji ili tupime kama Gondwe hajafikia au amefika. Mimi naona kuna watangazaji wengi tu wa baadhi ya Tv wanafanya masihara kabisa lakini hujayaona.

 
Kuna watu ambao wanataka mtu afanye yeye anavyotaka. Kuna haja ya kujua std za mtangazaji ili tupime kama Gondwe hajafikia au amefika. Mimi naona kuna watangazaji wengi tu wa baadhi ya Tv wanafanya masihara kabisa lakini hujayaona.
Umefikiaje hiyo dhana yako, wakati umeshauri standard zijulikane kwanza?
 
Lazima utakuwa na chuki binafsi pole
Hapa ndio ninapokomaga na wabongo.....mleta mada katoa duku duku lake....ni challenge kwa gondwe kubadilika.....ukweli ndio huo jamaa anaboaga kimtindo....ni most ya watangazaji wa kibongo kufanya mahojiano hawajui....maswali yao so cheap hata binti yangu hawezi kuuliza maswali dizaini ile....
 
Sijaona kama tatizo la Gondwe limefikia hali ya kulaumiwa kiasi hicho, na kusema analazimisha fani!
Ungekuwa wa msaada sana kama ungemtumia kama ushauri binafsi, na si kumlaumu.

Gondwe ni kijana msomi mzuri wa Saint Augustin University(Japo umesema kwa dharau kuwa ni mhitimu wa vyuo vya kata)ambaye anaweza kupokea maoni na kubadilika muda wowote...man be fair, give him a chance, na si kumkwamisha!
Mleta mada kasema inawezekana GG ni mwanahabari mzuri lakini sio mtangazaji mzuri.....hilo suala la mhitimu wa chuo fulani ndio hayo hayo ya akina Chenge.....

JF arifu jamaa kadondosha duku duku zake...mbona nyie mwapiga makombora kwa serikali wakati kuna njia za kuwafikia(simu,email,fax....ect) kuwambia wajirekebishe.....

Hapa jf bana....ukisema udhaifu wa mtu mmoja mmoja utapigwa madongo....mara wivu mara si mwambie personally sio kuweka hapa.....Double G anaboa kichizi mazee....na sio yeye tu most ya watangazaji wa runinga na redio wa tz wanaboa....kazi kuigana sauti
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Mtoa mada utakuwa na chuki zako binafsi tu...

Haswaaa!!!! yaana anasound kichiku kabisa... kama ni mapungufu kila mtu anayo ya aina yake sasa yeye anashambulia sio kutoa ushauri... kuna sababu labda azitoe hapa kwa nini ana chuki na jamaa ili tumwelewe.
 
Jamani tuwe wa kweli, huyu kijana ana juhudi ya kazi na nasikia ni msomi wa hivi vyuo vyetu vya kata, lakini hana kipaji cha utangazaji jamani.

Anajaribu kuiga ma cow boy wa movie za kimarekani, kicheko chake ni very artficial he is a bad actor, hata kwenye lile tangazo la promotion alilovalishwa suti mpya, lakini bado kicheko kinachafua, halafu naomba Joyce japo husikilizagi la mtu, msimpange kwenye mahojiano hana technique mtu huyu, anaongea zaidi ya mgeni, hana uvumulivu hayuko organized maana anauliza kila kitu wakati mmoja na maswali yake sio maswali ni maelezo ya anachokijua yeye juu ya hilo swala, anaingilia mszungumzaji anauliza maswali mengi wakati mmoja na hajui kufuatilia kama lipi limejibiwa lipi halijajibiwa. Anawezakana ni mwanahabari mzuri lakini sio mtangazaji mzuri especially kwenye TV.

Kwa nini msimuache aka concentrate kwenye u MC wa BSS na taarifa ya habari? hata ninapoongea sasa yuko kwenye kipindi ch akumekucha anazoza yeye hata mzungumzaji hatujui kamuitia nini studio maana angeongea yeye tu
Hata mimi nilivyokuwa namuona kwenye matangazo ya promotion, nilikuwa na wadogo zangu nikawa nawaambia huyu jamaa anaharibu tangazo lao. hasa tabia ya kucheka cheka ovyo! anaboa kama walikuwa hawajui, basi anaboa
 
Unaweza usikubaliane na utangazaji wake ila hilo neno kwamba amesoma vyuo vya kata inaonesha una jambo binafsi.
 
Kama Gondwe anaigiza kama cowboy,Isac Gamba utasemaje na ile style yake ya kukaza shingo uku akikonyezakonyeza screen?

:lol::lol::lol:....hahahahahaaaaaaaaa.....!!!! yule kweli anakonyezakonyeza...lol :lol::lol::lol:
 
Jamani katika vipindi vya mahojiano vya tv za TZ hakuna mtangazaji wa hovyo kupata kutokea kama Gabriel Zakaria, hiki ni kimeo hasa, kama Gondwe hafai hujui hapaswi hata kusogelea Kamera ama kipaza sauti ya chumba cha habari, ni mbumbumbu, ni mbabaishaji, mtu mwepesi , anaehoji kwa kutanguliza majibu, hahhaaaah TBC wamemtoa wapi huyu mjamaa
 
Back
Top Bottom