This is an insult. Hapa mnamaanisha sisi hatutakiwi CDM, maana yake na narudia tena maana yake CDM ni chama cha kikristo na wakristo tu!!Yaani we Masikini kweli.Mungu wanamkumbuka kitambo ndio maana anawaonyesha njia ya kuiondoa CCM madarakani.Arumeru wamekwambia Walianza na Mungu wakamaliza na Mungu.Sasa Arusha the same applies,kama unajua kiingereza,maana najua nyie na Kiarabu Kiarabu na nyinyi.Arusha tunakuja kihivi:"Uweza Watoka JUU"
Lema atashinda hata asipopiga kampeni.Ndo nimetoka kwenye mkutano wa taarifa fupi ofisi za Chadema na Nassari amesema Lema atagombea tena na wana Arusha tunaahidi kushinda kwa kishindo kumbakiza Lema kwenye nafasi yake
ni nani huyo?????
NI nani huyo?????
ccm inakufa kifo kibaya sana.
Atasoma wkt gani alama za nyakati?akiwa amepofushwa machoNipita Tu wadau,Ila ni bora Jaji angesoma alama za nyakati.. Angeacha tu amalize muda wake uliobaki,watakaoumia ni wananchi wa hali ya Chini sana.. Mfano kuna jamaa yangu katoka kunitumia msg anasema anaomba nimtafutie Chumba DSM haraka hataki vurugu zimkute Arusha.. Wapi inakwenda jamani na wengine wanashangilia wakati wao wanajua hawatoathirika na chochote.