Godbless Lema hana matishio yoyote ya kiusalama, amekimbia kivuli chake

Nov 27, 2019
35
145
Mtandaoni zinasambaa taarifa kuhusu aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kupata hifadhi ya Kisiasa Nchini Canada.

Kinadharia Hifadhi ya Kisiasa hutolewa kwa mtu ambaye kutokana na shughuli zake za Kisiasa anapata matishio ya Usalama wake aghalabu kutoka kwa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama vya nchi husika.

Je, ni kweli Lema ameenda kutafuta hifadhi ya kisiasa?

HAPANA, Lema sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa na hatari kwa taifa kiasi kwamba Vyombo vya Ulinzi na Usalama pengine vipange njama za kumdhuru ili kulinda maslahi ya nchi, Lema alikuwa mbunge wa jimbo la Arusha, nje ya jimbo hilo hafahamiki kabisa.

Ukweli ni kwamba Lema amekimbia nchini kwa kivuli chake mwenyewe (sababu binafsi) ambazo ni pamoja na:-

Aibu ya kushindwa ubunge, baada ya Lema kukosa ubunge aliokuwa nao kwa zaidi ya miaka kumi huku akijinasibu kwamba yeye ni Rais wa Arusha, ilimjia aibu atatazamwa vipi na wananchi hivyo akabuni mkakati wa kutafuta maisha nje ya nchi.

Lema alikosa shughuli (ajira) ya kufanya yenye kipato cha kutosha, kitendo cha Mrisho Gambo kuibuka mshindi wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kilimaanisha Lema alipoteza kazi ya ubunge ambayo kwa zaidi ya Miaka kumi, Lema kama ambavyo amekuwa akijinadi kuwa ni mtoto wa mjjni akawaza ataiendeshaje familia yake akaiona fursa ya kubuni matishio ya kisiasa ili mabeberu wampatie hifadhi ya Kisiasa huku wakimpatia fedha za kugharamia maisha yake.

Lema amekimbia madeni ya Benki, bila shaka mtakuwa mnakumbuka kauli aliyowahi kuitoa Mhe. Spika Job Ndugai kwamba Lema anadawa zaidi ya Milioni 600, katika mazingira ambayo Lema amepoteza ajira ambayo alikuwa anategemea kumsaidia kulipa deni akaona isiwe tabu ngoja nibuni sababu ya kukimbia hayo madeni.

Lema amekimbia kesi za uchochezi, upotoshaji zinazomkabili katika Mahakama mbalimbali ikiwemo ya Mkoani Singida ambapo alipotosha kuhusu idadi ya watu waliokufa. Kuna kila dalili Lema amebaini kesi nyingi atakutwa na hatia hivyo ameamua kujiongeza ili kuepuka kwenda jela.

Watanzania tuwe makini na kauli za Wanasiasa wa Upinzani kipaumbele chao cha kwanza ni maslahi binafsi halafu Taifa baadae, tuendelee kuilinda na kuijenga nchi yetu kwa wivu mkubwa "Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe"
 
Mtandaoni zinasambaa taarifa kuhusu aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kupata hifadhi ya Kisiasa Nchini Canada.

Kinadharia Hifadhi ya Kisiasa hutolewa kwa mtu ambaye kutokana na shughuli zake za Kisiasa anapata matishio ya Usalama wake aghalabu kutoka kwa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama vya Nchi husika.

Je ni kweli Lema ameenda kutafuta hifadhi ya kisiasa?

HAPANA, Lema sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa na hatari kwa taifa kiasi kwamba Vyombo vya Ulinzi na Usalama pengine vipange njama za kumdhuru ili kulinda maslahi ya Nchi, Lema alikuwa mbunge wa jimbo la Arusha, nje ya jimbo hilo hafahamiki kabisa.

Ukweli ni kwamba Lema amekimbia nchini kwa kivuli chake mwenyewe (sababu binafsi) ambazo ni pamoja na:-

Aibu ya kushindwa ubunge, baada ya Lema kukosa ubunge aliokuwa nao kwa zaidi ya miaka kumi huku akijinasibu kwamba yeye ni Rais wa Arusha, ilimjia aibu atatazamwa vipi na wananchi hivyo akabuni mkakati wa kutafuta maisha nje ya nchi.

Lema alikosa shughuli (ajira) ya kufanya yenye kipato cha kutosha, kitendo cha Mrisho Gambo kuibuka mshindi wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kilimaanisha Lema alipoteza kazi ya ubunge ambayo kwa zaidi ya Miaka kumi, Lema kama ambavyo amekuwa akijinadi kuwa ni mtoto wa mjjni akawaza ataiendeshaje familia yake akaiona fursa ya kubuni matishio ya kisiasa ili mabeberu wampatie hifadhi ya Kisiasa huku wakimpatia fedha za kugharamia maisha yake.

Lema amekimbia madeni ya Benki, bila shaka mtakuwa mnakumbuka kauli aliyowahi kuitoa Mhe. Spika Job Ndugai kwamba Lema anadawa zaidi ya Milioni 600, katika mazingira ambayo Lema amepoteza ajira ambayo alikuwa anategemea kumsaidia kulipa deni akaona isiwe tabu ngoja nibuni sababu ya kukimbia hayo madeni.

Lema amekimbia kesi za uchochezi, upotoshaji zinazomkabili katika Mahakama mbalimbali ikiwemo ya Mkoani Singida ambapo alipotosha kuhusu idadi ya watu waliokufa. Kuna kila dalili Lema amebaini kesi nyingi atakutwa na hatia hivyo ameamua kujiongeza ili kuepuka kwenda jela.

Watanzania tuwe makini na kauli za Wanasiasa wa Upinzani kipaumbele chao cha kwanza ni maslahi binafsi halafu Taifa baadae, tuendelee kuilinda na kuijenga nchi yetu kwa wivu mkubwa "Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe"
Mimi naihurumia familia yake mke na watoto kwa usumbufu anawafanyia. Bahati mbaya mke wake naye hajatambua shida ya mume wake yeye ni kufuata tu maelekezo ya mumewe. Nawaonea huruma saana wanawake.
 
Amani iwe nanyi .

Rais Magufuli ambaye Tanzania na dunia kwa ujumla imemjua na kumwogopa kama rais mwenye kasi zaidi ametoboa siri ya mafanikio yake.

Rais Magufuli amesema katika safari yake ya mafanikio kisiasa tangu kuanza mpaka leo ,wote waliojaribu kumkwamisha walikwama wao! Hali hiyo ilidhihiri kwenye wizara zote alizopita na hadi Sasa ni rais wa Tanzania.

Akiwa rais wa awamu ya tano wafuatao walijaribu kumkwamisha wakaishia kukwama wao kwa aibu kubwa.

1. Mange Kimambi.
Huyu alishambulia sana mwanzo wa utawala wa rais Magufuli . Alitoa matusi ya kila aina na mwishoni akaitisha maandamano nchi nzima aliyopanga yafanyike siku ya muungano, yaani April 26!
Matokeo yake aliishia kuandamana mwenyewe akielekea kwenye ubalozi huko Marekani, huku watanzania wakimpuuza na kuendelea kuchapa kazi.
Tangu siku hiyo Mange Kimambi akafutika na akamwacha rais Magufuli akiendelea kupeta kwa kuwaletea maendeleo watanzania

2. Tundu Lisu
Huyu nae amefutika tarehe 28/10/2020 baada ya kujaribu kwa miaka 3 mfululizo kukamisha juhudi za rais Magufuli.
Amezunguka duniani kote akimtukana rais Magufuli na Tanzania kwa ujumla lakini katikati ya matusi yake bank ya dunia ikatangaza Tanzania imeingia uchumi wa kati !!

3. Godbless Lema .
Huyu alikuwa mbunge wa Arusha akalipwa na mabeberu kumchafua rais Magufuli hadi akafikia hatua ya kuitangazia dunia kwamba ana ndoto ameoteshwa kuhusu rais Magufuli!!
Godbless Lema amefutika tarehe 10/12/2020 baada ya kutangazwa kuwa mkimbizi wa Canada!!
Lema licha ya kuwa mbunge kwa miaka kumi lakini sasa anaenda kuishi kambini kama wale wakimbizi wa Burundi wanavyoishi kule Kigoma!

4. Freeman Mbowe.
Huyu amefutika kwa aibu kubwa. Chadema ilikuwa na wabunge zaidi ya 100 bungeni ,leo hii ina mbunge mmoja tu!

5. Bernard Membe
Alijiaminisha ni kachero mbobezi mzee wa kazi na bata na akaahidi atamkwamisha na kumgaragaza vibaya rais Magufuli kwenye uchaguzi mkuu wa October 28 mwaka huu,matokeo yake amegaragzwa yeye kwa kukataliwa na hata watu wa Lindi na hatainuka tena!
 
Inawezekana umesema kweli, Ila sisi si ubalozi wa Canada, fanya hima nenda ubalozi ukawasilishe malalamiko yako.

Matendo ya vyombo vya ulinzi na usalama ndio yanayorahisisha hilo kutokea.afu si ameenda unaumia Nini?
 
Duh.....imagine maigizo haya for 5 yrs wenzio huku wanaendelea kujenga nchi yao we umekalia majungu kuisema vibaya nchi yako huku unajiita refugee
 
Mimi naihurumia familia yake mke na watoto kwa usumbufu anawafanyia. Bahati mbaya mke wake naye hajatambua shida ya mumewake yeeeyee nikufuata tuu maelekezo ya mumewee. Nawaonea huruma saana wanawake.
Mkewe Lema baada ya kuona namna mkewe Lissu anavyopata msoto kuuguza majeraha ya mumewe akaona nae asepe zake Canada tu na mumewe.
 
Mtandaoni zinasambaa taarifa kuhusu aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kupata hifadhi ya Kisiasa Nchini Canada.

Kinadharia Hifadhi ya Kisiasa hutolewa kwa mtu ambaye kutokana na shughuli zake za Kisiasa anapata matishio ya Usalama wake aghalabu kutoka kwa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama vya nchi husika.

Je, ni kweli Lema ameenda kutafuta hifadhi ya kisiasa?

HAPANA, Lema sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa na hatari kwa taifa kiasi kwamba Vyombo vya Ulinzi na Usalama pengine vipange njama za kumdhuru ili kulinda maslahi ya nchi, Lema alikuwa mbunge wa jimbo la Arusha, nje ya jimbo hilo hafahamiki kabisa.

Ukweli ni kwamba Lema amekimbia nchini kwa kivuli chake mwenyewe (sababu binafsi) ambazo ni pamoja na:-

Aibu ya kushindwa ubunge, baada ya Lema kukosa ubunge aliokuwa nao kwa zaidi ya miaka kumi huku akijinasibu kwamba yeye ni Rais wa Arusha, ilimjia aibu atatazamwa vipi na wananchi hivyo akabuni mkakati wa kutafuta maisha nje ya nchi.

Lema alikosa shughuli (ajira) ya kufanya yenye kipato cha kutosha, kitendo cha Mrisho Gambo kuibuka mshindi wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kilimaanisha Lema alipoteza kazi ya ubunge ambayo kwa zaidi ya Miaka kumi, Lema kama ambavyo amekuwa akijinadi kuwa ni mtoto wa mjjni akawaza ataiendeshaje familia yake akaiona fursa ya kubuni matishio ya kisiasa ili mabeberu wampatie hifadhi ya Kisiasa huku wakimpatia fedha za kugharamia maisha yake.

Lema amekimbia madeni ya Benki, bila shaka mtakuwa mnakumbuka kauli aliyowahi kuitoa Mhe. Spika Job Ndugai kwamba Lema anadawa zaidi ya Milioni 600, katika mazingira ambayo Lema amepoteza ajira ambayo alikuwa anategemea kumsaidia kulipa deni akaona isiwe tabu ngoja nibuni sababu ya kukimbia hayo madeni.

Lema amekimbia kesi za uchochezi, upotoshaji zinazomkabili katika Mahakama mbalimbali ikiwemo ya Mkoani Singida ambapo alipotosha kuhusu idadi ya watu waliokufa. Kuna kila dalili Lema amebaini kesi nyingi atakutwa na hatia hivyo ameamua kujiongeza ili kuepuka kwenda jela.

Watanzania tuwe makini na kauli za Wanasiasa wa Upinzani kipaumbele chao cha kwanza ni maslahi binafsi halafu Taifa baadae, tuendelee kuilinda na kuijenga nchi yetu kwa wivu mkubwa "Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe"

Ili upewe ukimbizi wa kisiasa ni lazima utoe ushahidi usioacha shaka kwa hao unaotaka wakupe ukimbizi. Kama unadhani madeni na kesi za kubambikiwa zinaweza kukupa ukimbizi wa kisiasa, jaribu kwenda ubalozi wowote wa wazungu ukaombe ukiwa na sifa hizo kama utapewa. Mnaleta siasa za kishamba kisha watu wakijiongeza mnaleta story za kitoto.
 
Mtandaoni zinasambaa taarifa kuhusu aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kupata hifadhi ya Kisiasa Nchini Canada.

Kinadharia Hifadhi ya Kisiasa hutolewa kwa mtu ambaye kutokana na shughuli zake za Kisiasa anapata matishio ya Usalama wake aghalabu kutoka kwa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama vya nchi husika.

Je, ni kweli Lema ameenda kutafuta hifadhi ya kisiasa?

HAPANA, Lema sio mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa na hatari kwa taifa kiasi kwamba Vyombo vya Ulinzi na Usalama pengine vipange njama za kumdhuru ili kulinda maslahi ya nchi, Lema alikuwa mbunge wa jimbo la Arusha, nje ya jimbo hilo hafahamiki kabisa.

Ukweli ni kwamba Lema amekimbia nchini kwa kivuli chake mwenyewe (sababu binafsi) ambazo ni pamoja na:-

Aibu ya kushindwa ubunge, baada ya Lema kukosa ubunge aliokuwa nao kwa zaidi ya miaka kumi huku akijinasibu kwamba yeye ni Rais wa Arusha, ilimjia aibu atatazamwa vipi na wananchi hivyo akabuni mkakati wa kutafuta maisha nje ya nchi.

Lema alikosa shughuli (ajira) ya kufanya yenye kipato cha kutosha, kitendo cha Mrisho Gambo kuibuka mshindi wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kilimaanisha Lema alipoteza kazi ya ubunge ambayo kwa zaidi ya Miaka kumi, Lema kama ambavyo amekuwa akijinadi kuwa ni mtoto wa mjjni akawaza ataiendeshaje familia yake akaiona fursa ya kubuni matishio ya kisiasa ili mabeberu wampatie hifadhi ya Kisiasa huku wakimpatia fedha za kugharamia maisha yake.

Lema amekimbia madeni ya Benki, bila shaka mtakuwa mnakumbuka kauli aliyowahi kuitoa Mhe. Spika Job Ndugai kwamba Lema anadawa zaidi ya Milioni 600, katika mazingira ambayo Lema amepoteza ajira ambayo alikuwa anategemea kumsaidia kulipa deni akaona isiwe tabu ngoja nibuni sababu ya kukimbia hayo madeni.

Lema amekimbia kesi za uchochezi, upotoshaji zinazomkabili katika Mahakama mbalimbali ikiwemo ya Mkoani Singida ambapo alipotosha kuhusu idadi ya watu waliokufa. Kuna kila dalili Lema amebaini kesi nyingi atakutwa na hatia hivyo ameamua kujiongeza ili kuepuka kwenda jela.

Watanzania tuwe makini na kauli za Wanasiasa wa Upinzani kipaumbele chao cha kwanza ni maslahi binafsi halafu Taifa baadae, tuendelee kuilinda na kuijenga nchi yetu kwa wivu mkubwa "Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe"

Wewe ni Jogoo au Mtetea
 
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe wenye wivu mkubwa wa kuona demokrasia ya kweii inatamalaki siyo kusifu na kuabudu watu, wasiotaka kuambiwa ukweli, waongo, wenye kusingizia watu. Tunahitaji watanzania wawe huru, wapewe haki sawa na ushiriki wa kujenga nchi yao na siyo kuona kikundi cha watu wana hati miiki ya nchi.
 
Back
Top Bottom