Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,657
CDM has nothing to loose,
wa mlalo ataijuaje Arushanaona hawaijui vizuri....
Two things wakuu. Walipanga kufanya hila na hujuma Arumeru Mashariki ili washinde huku pia wakituwinda Arusha Mjini ili wafanye kama walivyofanya. Thinking yao ikiwa ni kulenga total demoralization kwa chama mbadala CHADEMA na upinzani wenye nguvu kwa ujumla dhidi ya Watawala. Arumeru Mashariki ikashindikana.
Bahati mbaya risk calculation zao ni mbovu sana. Hazifanyia kazi sawasawa kwa sababu wamefika mwisho. Huwezi kutegemea mahakama kushinda ubunge Arusha Mjini dhidi ya CHADEMA. Watu wa Arusha wanaamini kwa dhati katika hii struggle. Wanakiamini na kukipenda chama chao. Wako pamoja na mbunge wao. Wasubiri waone.
Naona umechukuwa mikoba ya Sheikh Yahya...Kwa kura hizi hata uchaguzi ungerudiwa kesho CCM wataangukia pua na wao wanalijua hilo.
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUSHA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]JIJI LA ARUSHA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUSHA MJINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Political Party[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Number of Votes[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LEMA GODBLESS JONATHAN [/TD]
[TD="width: 20%"]CHADEMA[/TD]
[TD="width: 20%"]56,196[/TD]
[TD="width: 15%"]57.68[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] BATILDA DR. SALHA BURIAN [/TD]
[TD="width: 20%"]CCM[/TD]
[TD="width: 20%"]37,460[/TD]
[TD="width: 15%"]38.45[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] YUSSUPH BAALAWAY GHARIB [/TD]
[TD="width: 20%"]CUF[/TD]
[TD="width: 20%"]2,022[/TD]
[TD="width: 15%"]2.08[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSEPH MARK MAFUATA [/TD]
[TD="width: 20%"]MAKIN[/TD]
[TD="width: 20%"]456[/TD]
[TD="width: 15%"]0.47[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MACMILLIAN ELIFATIO LYIMO [/TD]
[TD="width: 20%"]TLP[/TD]
[TD="width: 20%"]179[/TD]
[TD="width: 15%"]0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"]1,115[/TD]
[TD="width: 15%"] 1.14 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"] 97,428[/TD]
[TD="width: 15%"] 100[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
This is ridiculous judgement baada ya ile ya case ya Mtikila 2,
mahakama imejiingiza kwenye siasa.
Sasa tunapiga kura za hasira njema.
Saafi sana. IMEKULA KWA MAGWANDA.
Tuende mbele..turudi nyuma....
Mara baada ya mahakama ya Arusha leo kumvua rasmi ubunge Comrade Lema, chama cha Magwanda kimepata pigo kubwa, kwani ujasiri na uhodari wa mbunge huyo ni kivutio cha wananchi wengi wanfuatilia siasa za Tanzania. Hii inakuja siku chache baada ya Joshua Nassari kutangazwa kuwa mshindi kupitia jimbo ya Arumeru Mashariki.
Nimewasikia baadhi ya wanachama wa chama cha Magamba, wakisema kuwa wao wamepoteza Arumeru Mashariki na CDM wamepoteza Arusha Mjini..kwa hiyo ngoma droo...maumivu yao ya kushindwa kule Arumeru Mashariki yameshapoa.
I am forced to believe Dr. Batilda Buriani is the next MP ( Conspiracy Theory) :yell::yell:
Tuende mbele..turudi nyuma....
Mara baada ya mahakama ya Arusha leo kumvua rasmi ubunge Comrade Lema, chama cha Magwanda kimepata pigo kubwa, kwani ujasiri na uhodari wa mbunge huyo ni kivutio cha wananchi wengi wanfuatilia siasa za Tanzania. Hii inakuja siku chache baada ya Joshua Nassari kutangazwa kuwa mshindi kupitia jimbo ya Arumeru Mashariki.
Nimewasikia baadhi ya wanachama wa chama cha Magamba, wakisema kuwa wao wamepoteza Arumeru Mashariki na CDM wamepoteza Arusha Mjini..kwa hiyo ngoma droo...maumivu yao ya kushindwa kule Arumeru Mashariki yameshapoa.
I am forced to believe Dr. Batilda Buriani is the next MP ( Conspiracy Theory) :yell::yell:
We kunguni hapa ukatambike CCM Arusha haishindi ng'o!Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu