Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
PLS! PLS!,LEMA KATA RUFAA HII KESI MBONA UTASHINDA,nakuomba kamanda tujipange na akina mabere arando,lisu hii.nakuomba chadema mie naamin hivyo tena tunashinda kamanda fanya hivyo
 
Lema anaongea moja kwa moja ITV kuwa hataki kuwa mbunge wa Mahakama!
Amesema anasubiri kuongea na wananchi wake hapo baadae pamoja na viongozi wa kitaifa, kisha atatangaza msimamo wake rasmi!
 
Ndio maana mama ametupwa Nairobi 4 hrs yuko Aursha,Nyambafu
 
Lema kahojiwa na ITV kasema haki yake ya Kugombea hajanyang'anywa bado ana haki hiyo.
 
Ndio maana mie nimesema wamejizika kitaifa, sio Arusha tu.
Yaani kuna watu ubongo umegandishwa, viongozi wa magamba hawajiwezi tena.

Ningekuwa ni mshauri wa CCM nisingewashauri wafanye kosa hili, Mweleka watakaopigwa Arusha Mjini utawafanya mpaka vipofu waanze kuona na viziwi watasikia kwaba CCM sasa Bye Bye. hili ni kosa kubwa sana la kikamkakati wamelifanya CCM. Watalijutia hili.
Na kama una ndugu ana nia ya kuchukuwa fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kwenye kura za maoni ni vizuri ukamshauri hasifanye hivyo ni kupoteza muda na pesa tu.
 
Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu

akipewa nafasi yakugombea tena hata nyie magamba mtakuwa poyoyo chadema lazima itawale Arusha hiyo
 
bado nna ipa ccm pole,..hawaja jua kwamba aibu bado ni yao,..naomba chadema isimamishe kivuli,alafu ccm wasimamishe the best they have,waarusha tuko radhi tuongozwe na jiwe..sio CCM..
 
haki itashinda.dhulma kwa wapenda haki hilo litakuwa ni janga lingine.hakika safari hii nitakwenda arusha kupiga kampein.mpaka kieleweke.
 
Tuwekeeni nakala ya hukumu! Wapo wanasheria hapa Jf! Please mwenye nakala ya hukumu .
 
Sina wasiwasi wowote juu ya ushindi wa chadema na Lema kwenye uchaguzi ujao.
 
Wakuu salaam!
Naomba kujuzwa, Lema anaruhusiwa kugombea tena pale Arusha mjini? Taratibu kisheria zikoje baada ya mahakama kutengua ubunge wake leo.
Naomba kuwasilisha
 
Ndio maana alikua anampigia shavu nassari kwasababu alikua najua ashapotea na atavuliwa ubunge hata iweje ,sasa bwana mdogo anaingia mjengoni yeye kapigwa benchi na watu wake aliowaleta arumeru wote kushnehi CCM ndio malegendary na watachukua Arusha mjini na baadae tutarudi arumeru..
 
watajuta kwanini Kuku hakojoi..................tutaambia watafute jasho la kuku kwa lazimaaaaaaaaaaaaa. hapa hakuna kucheka na hao nyanii.. wasira asije kanyaga hapa hata siku moja.. maan atutamfukiaaaaa
 
CCM wannchekesha,eti wanatarajia kushinda kwenye ngome ya CHADEMA.Wakimpendelea Mahanga,Najinyonga
 
mliopo mahakamani mtujuze iwapo hukumu iliyosomwa inamruhusu kugombea tena coz kama anaruhusiwa kugombea tena hakuna haja ya kukata rufaa, ila kama haruhusiwi kugombea anapashwa kukata rufaa coz magamba wanamuogopa kama ukoma
plz tujeni iwapo ataruhusiwa kugombea
 
Nipo hapa viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha, Kilaza LEMA kapigwa chini. Semeni sasa nyie magwanda. Chezea CCM nyie!!!!! Niliwaambia jana mkaleta mboyoyo zenu

sidhani kama hyo ni dawa lema alichaguliwa na wanainchi wa arusha.tunawasubilí uwanjani mkuu alafu tutakutaka uje tenna nyudo zako mtu waajabu sana wewe unafurahia kaburi.polesana mkuu.tunawasubíli kwa hamu sana.yaani mmjipalia makaa ya moto kichwani.
 
CCM wanasubiri Lema asimamishwe kugombea tena na watamuwekea pingamizi, lakini pia watatumia sana hoja ya kwa nini wachaga waongoze Arusha, hivyo watawagawa wananchi.

Sasa kwa sababu Watanzania tunatarajia kumkabidhi nchi Dr Slaa mwaka 2015, nadhani itakuwa vizuri kama nafasi ya Ubunge ya Arusha mjini tukimweka Dr Slaa ambaye nina uhakika atashinda kwa asilimia 98.

Viongozi wa CHADEMA liangalieni hili, kaeni chini na Lema, na Lema apewe majukumu mengine ya chama.

Slaa kuwa mbunge itakuwa ni nafasi nzuri ya kujiandaa kuongoza taifa kuanzia mwaka 2015.


 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom