Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Huyu Zitto hajawahi kuwa mpinzani wa CCM hata siku moja bali ni msaliti na anafahamika sana sema tu wanamchora. kazi yake kubwa yeye ni kutoa siri za wapinzani ili CCM iweze kuua upinzani hapa nchini na kulikandamiza hili taifa.
 
Hao akina CHAUMA na ACT wanasema Katiba,sheria na kanuni siyo rafiki kwa wapinzani.Na wanaamini CCM haitawatendea haki.

Kwa kusema hivyo tu,wanaiharibia CCM kwani itaonekana wameshinda kwa mizengwe.

Kama wanataka kuuhalalisha uchaguzi ujao wangekuwa wanaongea lugha moja na CCM; kwamba sheria ziko vinzuri na uchaguzi utakuwa huru na haki.

Lakini kusema watalinda kura hawajisaidii wao wenyewe wala kuisaidia CCM.
 
Hivi Lema ana shughuli gani ya kumuingizia kipato kwa sasa?
Ni trader mzoefu sana wa siku nyingi na pia ni Crypto investor. Ndio maana unamuona ana kiburi cha kuishi popote pale anapojiskia.
 
Alimkosoa sa JPM. Siku hizi kawa kiziwi
Acha kabisa, baada ya Lissu huyu jamaa muha wa kigoma ndio alikuwa mtu anayefuata kwa kuukosoa uongozi wa JPM, jamaa alikuwa ana ujasiri sana ambao wengine hawakuwa nao, nakumbuka jinsi alivyokuwa anakosoa serikali ya JPM tena kwa takwimu, mpaka watu wakamuona huyu ni mzalendo wa kweli.

Haya sasa leo hii ambapo tuko kwenye awamu iliyogubikwa na ufisadi uliokithiri na mambo mengi ya ovyo, lakini jamaa yuko kimya utafikiri hayupo hapa nchini, yaan simuonagi kabisa akimkosoa Samia mpuuzi huyu.

Kama kuna mtu bado anamuamini na kumuheshimu Zito Kabwe basi ni mjinga sana, maana aneonesha wazi kabisa ni mchumia tumbo tu na hajali chochote kuhusu wanainchi na taifa kwa ujumla.
 
Unapenda damu sana!
Damu HAIJAWAHI kumuacha mwanadamu. Ilianza kumwagika enzi za Abel na Kaini (watoto wa kwanza na wa pili wa Adam na Eva) hadi leo, kesho na keshokutwa itaendelea kumwagika!

Swali jengine?
 
Soma hapa uone unafiki usioeleweka wa Zitto kabwe

View attachment 3393147View attachment 3393148
Kuna mahali Zitto amesema CCM itawaachia majimbo? Kama ni hivyo kwa nini ahimize wananchi kulinda kura zao? Lema anapata wapi nguvu kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni mbaya kuliko iliyotokea kabla hata haujafanyika? Utauzidi wa 2020? Au wa 2024? Na kipimo cha ubaya wa uchaguzi ni nini?

Zitto yuko realistic kwa chama chake. Ni lazima wamefanya analysis ya majimbo ambayo wanaweza kushinda na yapi hawawezi. Kwa sababu hiyo ni busara kuwekeza nguvu katika majimbo ambayo wana matumaini nayo. Ni strategic thinking ambayo dunia yote wanatumia.

Amandla...
 
Ukifuatilia historia na tabia za Zitto pasipo na shaka ni kuwa Zitto ni mnafiki na ndumi la kuwili toka ujana wake!
 
Back
Top Bottom