Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Usiingize watu wote wa kigoma kwa kosa la MTU mmoja

Eliatonga Mrema alikuwa wa kigoma
John Mrema ni WA kigoma
Kuna mwingine pia wa huko anaweza kuingia kwenye hiyo list pia kama hatabadiki gia angani
Akiwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto kabwe alikuwa sehemu ya ziara za Kikwete nje ya nchi
 
Wewe unayefikiri wenzako ni wanafiki ndio MNAFIKI NAMBA MOJA. Na kuhakikishia kwa wanafiki kama ninyi uongozi wa nchi hii mtaishia kuupata kwenye mitandao tu. Zaidi zaidi mtaenda walipo wengine ili muendeleze unafiki wenu huko ila sio Tanzania! Tanzania MUST STAND WITH FOCUSED PEOPLE but not with hypocrite like you!!!
Sio lazima kuua watu daima na kuwa ndiyo utamaduni na mazoea ili kutawala. Hakuna aliye na uchungu kuliko mwingine. Tanzania ni moja na Watanzania wanapaswa kuwa wamoja.
 
Wewe unayefikiri wenzako ni wanafiki ndio MNAFIKI NAMBA MOJA. Na kuhakikishia kwa wanafiki kama ninyi uongozi wa nchi hii mtaishia kuupata kwenye mitandao tu. Zaidi zaidi mtaenda walipo wengine ili muendeleze unafiki wenu huko ila sio Tanzania! Tanzania MUST STAND WITH FOCUSED PEOPLE but not with hypocrite like you!!!
Focused people wa kuwa wasemaji wa watawala wezi!? Chadema ndio Iko upande sahihi mtu apate ubunge urais au udiwani Kwa haki na si Kwa mgao wa makombo baada ya ccm kushiba na kusaza.
 
Usiingize watu wote wa kigoma kwa kosa la MTU mmoja

Eliatonga Mrema alikuwa wa kigoma
John Mrema ni WA kigoma
Kuna mwingine pia wa huko anaweza kuingia kwenye hiyo list pia kama hatabadiki gia angani
Onesheni uzalendo na kumpinga huyo Zitto ili msidharaulike.Walid Kabour,Zitto Kabwe na vibaka wengine wadogowadogo wanawaaibisha sana.Shame!
 
Aliyekudanganya kwamba unaweza kutunyamazisha kakuchuuza kibwege sana! Tafuta kazi ccm imefika mwisho

Focus ya kuua watu haina nafasi tena kwenye Nchi yangu
Ahahahahaha! Wenzako waliishasema hivyo miaka mingi iliyopita. Kapuku kama wewe utaiweza wapi CCM?
 
Sio lazima kuua watu daima na kuwa ndiyo utamaduni na mazoea ili kutawala. Hakuna aliye na uchungu kuliko mwingine. Tanzania ni moja na Watanzania wanapaswa kuwa wamoja.
Ila dunia nzima yule anayekwenda kinyume na wenzake kwa nia kuharibu nchi yake "anashughulikiwa" na ushahidi upo Dunia nzima. Kweli si kwel
 
Focused people wa kuwa wasemaji wa watawala wezi!? Chadema ndio Iko upande sahihi mtu apate ubunge urais au udiwani Kwa haki na si Kwa mgao wa makombo baada ya ccm kushiba na kusaza.
Naheshimu maoni yako. Naamini na wewe utaheshimu yangu. Kama unaamini ya kwako ndio bora kuliko ya wengine sina haja ya kukubishia.
 
Back
Top Bottom