Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Lema nae bhana, yaani muislam unamtajia Mungu? Waislamu wanahofia kuikosea dini, sio mungu. So kumtajia muislam issues za mungu anaona kama unamzingua tu, mwambie dini haitaki, hapo mtaelewana.
 
vijana wengi wa Chadema wana matatizo ya Akili Mkuu
Wengine sio vijana, Mkuu. Sidhani kama wote wana matatizo ya akili. Tatizo ninalo ona mimi ni ushabiki uliopitiliza. Hii inawafanya kutokuwa tayari kuhoji matamko ya viongozi na mashabiki wenzao.

Amandla...
 
Soma hapa uone unafiki usioeleweka wa Zitto kabwe

View attachment 3393147View attachment 3393148
Kiukweli kabisa kuna kipindi CHADEMA huwa siwaelewi wanamaanisha nini. Mbowe aliwahi kuwa mbunge, Lema aliwahi kuwa mbunge, Heche aliwahi kuwa mbunge, Mdee, Sugu, Said Arifu, Mmyika, Sugu, Msigwa, Bulaya, Suzan, Nassari, Ndesamburo, Zitto, nk...tena kwa NEC ile! Huko nyuma kina Lanaai, Mrema, Mkosamali, Machali, Buyogera nk.

Swali, tunahitaji watu wenye integrity au jina la Tume ?

Walishindaje hizo nafasi tena kwa NEC ile ya watu kupita bila kupingwa? Ni ama CHADEMA hawajui wanachomaanisha au CCM na serikali haina wajenga hoja. Kama ni mifumo huru kwa asilimia 100 hiyo haipo duniani kote, ndiyo maana hata US Democrats wanalalamika Mrusi kumsaidia Trump kuingilia mifumo ya uchaguzi.

my position, tunahitaji watu waadilfu kwa sababu mifumo yetu iko sawa sana. 🙏🙏🙏
 
Kiukweli kabisa kuna kipindi CHADEMA huwa siwaelewi wanamaanisha nini.
Nakubaliana nawe! Ukisoma hoja zako hapa chini ni dhahiri huelewi nini kinazungumziwa. Pole sana
Tuna wajibu wa kukusaidia kuelewa
Mbowe aliwahi kuwa mbunge, Lema aliwahi kuwa mbunge, Heche aliwahi kuwa mbunge, Mdee, Sugu, Said Arifu, Mmyika, Sugu, Msigwa, Bulaya, Suzan, Nassari, Ndesamburo, Zitto, nk...tena kwa NEC ile! Huko nyuma kina Lanaai, Mrema, Mkosamali, Machali, Buyogera nk.
Sio hao tu, wapo akina Kafulila, Mkosamali, James Mbatia, Mabere Marando, Lamwai, Cecil Mwambe, yule bwa wa Mbozi n.k.
Swali, tunahitaji watu wenye integrity au jina la Tume ?
Hao wenye integrity unawapataje bila uchaguzi huru na wa haki
Walishindaje hizo nafasi tena kwa NEC ile ya watu kupita bila kupingwa? Ni ama CHADEMA hawajui wanachomaanisha au CCM na serikali haina wajenga hoja. Kama ni mifumo huru kwa asilimia 100 hiyo haipo duniani kote, ndiyo maana hata US Democrats wanalalamika Mrusi kumsaidia Trump kuingilia mifumo ya uchaguzi.
Walishinda nafasi hizo kwa mikiki lakini hali ya 2015 , 2019, 2020, 2024 ilibadili mwenendo wa siasa
Kinachofanyika sasa siyo dhulma kama ilivyokuwa bali uporaji usio na kificho.

Walioshinda zama za kupita bila kupingwa ni uchanga na udhaifu wa Wapinzani, wala hilo halijawa lalamiko. Kupita bila kupingwa ndiko kulileta tatizo la kuenguliwa na Wasimamizi kujificha wasipokee fomu.
Hakuna sheria inayosema ukiandika jina kwa herufi ndogo unapaswa kuenguliwa.
Hivi ni Wapinzani wasiojua kusoma na kuandika tu! Hivi mwanasheria mwenye digrii kama hawezi kujaza fomu ya uchaguzi hicho unakiita nini

Askari wameshiriki kujaza kura tofauti na huko nyuma. Halima Mdee alipokamata kura kwa ushahidi na kuwapa Polisi, walikataa wakisema aende Mahakamani! Yaani Polisi hawataki kupokea ushahidi wa uhalifu, hapo unashinda vipi?

my position, tunahitaji watu waadilfu kwa sababu mifumo yetu iko sawa sana. 🙏🙏🙏
?!
 
Back
Top Bottom