Kuna mahali Zitto amesema CCM itawaachia majimbo? Kama ni hivyo kwa nini ahimize wananchi kulinda kura zao? Lema anapata wapi nguvu kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni mbaya kuliko iliyotokea kabla hata haujafanyika? Utauzidi wa 2020? Au wa 2024? Na kipimo cha ubaya wa uchaguzi ni nini?
Zitto yuko realistic kwa chama chake. Ni lazima wamefanya analysis ya majimbo ambayo wanaweza kushinda na yapi hawawezi. Kwa sababu hiyo ni busara kuwekeza nguvu katika majimbo ambayo wana matumaini nayo. Ni strategic thinking ambayo dunia yote wanatumia.
Amandla...