Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Godbless Lema ashangaa Porojo za Zitto Kabwe

Wewe unayefikiri wenzako ni wanafiki ndio MNAFIKI NAMBA MOJA. Na kuhakikishia kwa wanafiki kama ninyi uongozi wa nchi hii mtaishia kuupata kwenye mitandao tu. Zaidi zaidi mtaenda walipo wengine ili muendeleze unafiki wenu huko ila sio Tanzania! Tanzania MUST STAND WITH FOCUSED PEOPLE but not with hypocrite like you!!!
CHAWA UNA SHIDA SANA,...UNAFIKI WA LEMA UKO WAPI HAPO?
 
Kuna mahali Zitto amesema CCM itawaachia majimbo? Kama ni hivyo kwa nini ahimize wananchi kulinda kura zao? Lema anapata wapi nguvu kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni mbaya kuliko iliyotokea kabla hata haujafanyika? Utauzidi wa 2020? Au wa 2024? Na kipimo cha ubaya wa uchaguzi ni nini?

Zitto yuko realistic kwa chama chake. Ni lazima wamefanya analysis ya majimbo ambayo wanaweza kushinda na yapi hawawezi. Kwa sababu hiyo ni busara kuwekeza nguvu katika majimbo ambayo wana matumaini nayo. Ni strategic thinking ambayo dunia yote wanatumia.

Amandla...
Kama unadhani JF ina wajinga basi unapaswa kuombewa
 
Kama unadhani JF ina wajinga basi unapaswa kuombewa
Wewe ambae sio mjinga, nionyeshe wapi ambapo Zitto amesema CCM itawaachia ACT-WAZALENDO au chama kingine majimbo.

Humu JF kuna wajinga wengi sana. Na kinachosikitisha wengi hawajijui. Machawa nao wamo kutoka kila upande.

Amandla....
 
Acha kabisa, baada ya Lissu huyu jamaa muha wa kigoma ndio alikuwa mtu anayefuata kwa kuukosoa uongozi wa JPM, jamaa alikuwa ana ujasiri sana ambao wengine hawakuwa nao, nakumbuka jinsi alivyokuwa anakosoa serikali ya JPM tena kwa takwimu, mpaka watu wakamuona huyu ni mzalendo wa kweli.

Haya sasa leo hii ambapo tuko kwenye awamu iliyogubikwa na ufisadi uliokithiri na mambo mengi ya ovyo, lakini jamaa yuko kimya utafikiri hayupo hapa nchini, yaan simuonagi kabisa akimkosoa Samia mpuuzi huyu.

Kama kuna mtu bado anamuamini na kumuheshimu Zito Kabwe basi ni mjinga sana, maana aneonesha wazi kabisa ni mchumia tumbo tu na hajali chochote kuhusu wanainchi na taifa kwa ujumla.
Zitto Kabwe Hana utofauti na mapadri wa Roman Catholic.
 
Wewe unayefikiri wenzako ni wanafiki ndio MNAFIKI NAMBA MOJA. Na kuhakikishia kwa wanafiki kama ninyi uongozi wa nchi hii mtaishia kuupata kwenye mitandao tu. Zaidi zaidi mtaenda walipo wengine ili muendeleze unafiki wenu huko ila sio Tanzania! Tanzania MUST STAND WITH FOCUSED PEOPLE but not with hypocrite like you!!!
Tuseme samia naye ni miongoni mwa focused people mbona watu wanatekwa na kuuwawa hana anachofanya ?
deni la taifa linaongezeka na kinachofanyika hatukioni?
tuseme ndugai naye ni focused people? aliruhusu vipi watu waliofukuzwa vyama vyao wakakaa bungeni?
Tuseme majudge wa ccm ni focused? waliwezaje kuwaruhusu Kina Mwambe wakakaa bungeni kwa kodi za watanzania huku wakijua siyo wabunge kwa mujibu wa katiba?
FOCUSED PEOPLE Unaowasema hapa ni Hawahawa kina NYAHOZA Au? hawa wanaozuiya watu wasiende makanisani ati kisa chama chao kimezuiwa?
Tanzania na haswa CCM hAKUNA FOCUSED PEOPLE WEWE
 
Hivi kura inalindwaje wakati ushaambiwa ukimaliza kupiga kura kama mita 100 mbali na kituo Cha kura.
 
Ila dunia nzima yule anayekwenda kinyume na wenzake kwa nia kuharibu nchi yake "anashughulikiwa" na ushahidi upo Dunia nzima. Kweli si kwel
Kwenda sawa na wenzako inakuwa vigumu hasa kama unalazimishwa kusema hakuna jua wala mwezi duniani huku ukijua ni ukichaa,, yaani ukubaliane na uongo ili mkubaliane kudanganya.
 
Soma hapa uone unafiki usioeleweka wa Zitto kabwe

View attachment 3393147View attachment 3393148
Je wakati wanaanzisha NRNE waliwashirikisha kina Zitto.

Na kama waliwashirikisha waliwajibu nini.

Kama hawakuwashirikisha sioni uhalali wa Lema kumlaumu Zitto.

Maana kila Chama kina malengo yake katika mapambano yake.

Kama Chadema kinaamini katika NRNE kinapaswa kiungwe mkono katika hilo na kama ACT kinaamini katika kushiriki na kulinda kura zake basi nacho kinapaswa kiungwe mkono katika hilo.

Tuwapime baada ya muda kupita ili tuone nani alikuwa sahihi zaidi.Maana CCM kususiwa uchaguzi ameshazoea Maalim anawajua na alipata matokeo yakuwasusia uchaguzi.

Mwabukusi aliwahi kuelezea hili kuhusu kuwasusia CCM uchaguzi alilieleza vizuri sana.

Em tusihukumu watu kisa hawa hatuwapendi na hawa tunawapenda.

Nchi hii wapinzani misimamo yao huwa haieleweki suala la Lowasa liwe fundisho kwetu.

Tuishi na msemo wa "HAKUNA ALIEKAMILIKA".
 
Tuseme samia naye ni miongoni mwa focused people mbona watu wanatekwa na kuuwawa hana anachofanya ?
deni la taifa linaongezeka na kinachofanyika hatukioni?
tuseme ndugai naye ni focused people? aliruhusu vipi watu waliofukuzwa vyama vyao wakakaa bungeni?
Tuseme majudge wa ccm ni focused? waliwezaje kuwaruhusu Kina Mwambe wakakaa bungeni kwa kodi za watanzania huku wakijua siyo wabunge kwa mujibu wa katiba?
FOCUSED PEOPLE Unaowasema hapa ni Hawahawa kina NYAHOZA Au? hawa wanaozuiya watu wasiende makanisani ati kisa chama chao kimezuiwa?
Tanzania na haswa CCM hAKUNA FOCUSED PEOPLE WEWE
Aliyemuua aliyekuwa Waziri Mkuu wa Sweden Bwana Olof Palme HAJAWAHI kupatikana licha ya kumuua nje ya ukumbibwa sinema na watu wakiwa wengi wanayoka sinema.

Aliyemuua J. F. Kennedy HAJAWAHI kupatikana.

Aliyemuuwa Princess Diana HAJAWAHI kujulikana hadi leo.

Nini Mzee Kibao bwana!???
 
Back
Top Bottom