Huu ni waraka wa Godbless Lema au wa Askofu Mwamakula...?
Anyway, whatever.
Muhimu ni ujumbe ambao, kusema kweli ni very strong...
Haiyumkiniki huyu Freeman Mbowe anaweza kuishia pabaya sana in just a minute of a near future...
Ni dhahiri shahiri kuwa, kumbe, wakati ule yeye akiwa incharge wa chama hiki (CHADEMA), alikuwa akiwatumia tu wenzake kama ngazi ya kujipatia manufaa ya kifedha...
Moyo na nafsi ya mwanadamu huficha mengi sana. Mungu muumba pekee ndiye ajuaye moyo wa mwanadamu. Lakini huyu Mungu Yehova hufika nyakati akaachilia ishara za wazi kuwatambua wabaya wako ili kuweza kuchukua maamuzi sahihi before it's too late...
Huyu bwana (Freeman Mbowe) alikuwa muuaji wa ndani kwa ndani lakini ilikuwa ngumu sana kumjua. Lakini sasa ishara ziko wazi mno kumwelewa ni mtu wa namna gani...
Upo wakati unakuja na umekwisha kufika wa mambo ya mtu huyu na walioshirikiana naye iwe waliokuwa ndani ya chama au nje ya chama kuwa wazi na karma kuwalipa sawa sawa na matendo yao...
Mfano:
√ Tulimtetea sana Freeman Mbowe alipotuhumiwa kuhusika na kifo cha Chacha Wangwe miaka kadhaa iliyopita. Kumbe ni kwa kuwa tulikuwa hatimjui mtu huyu...
√ Tulimtetea sana pale alipotuhumiwa kuhusika na jaribio la kuuwawa kwa Tundu Lissu 2017. Lakini ni kwa sbb tu tulikuwa hatumjui mtu huyu...
√ Zipo tuhuma za kuhusika kwake kupotea na pengine kuuwawa kwa Ben Sanane msaidizi wake wa karibu. Tulimtetea sana, lakini pengine hatujui mengi kumhusu huyu mzee..
√ Zipo tuhuma za kuhusika kwake na kifo cha Mzee Ally Kibao. Tulimtetea, lakini kumbe tuliingizwa ktk mtego wa kuutetea muhusika mkuu wa mauaji hayo...
√ Zipo tuhuma za kuhusika kwake na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, akishirikiana na CCM na genge la kiharamia linaloteka na kuua chini ya ufadhili wa serikali na Rais Samia...
#Lakini tuseme wazi kuwa, Mungu wa HAKI hatamwacha mwenye HAKI wake apotee bali wadhalimu wote watafedheheshwa, kudharauliwa na kuabishwa na wataachwa uchi si muda mrefu..
Zaburi 71:1-7, 10-13, 19-21, 24 SUV
".....Nimekukimbilia Wewe, BWANA, Nisiaibike milele. Kwa haki yako uniponye, uniopoe, Unitegee sikio lako, uniokoe. Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, Nitakakokwenda sikuzote. Umeamuru niokolewe, Ndiwe genge langu na ngome yangu. Ee Mungu wangu, uniopoe mkononi mwa mkorofi, Katika mkono wake mwovu, mdhalimu, Maana ndiwe taraja langu, Ee Bwana MUNGU, Tumaini langu tokea ujana wangu. Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima. Nimekuwa kitu cha ajabu kwa watu wengi, Na Wewe ndiwe kimbilio langu la nguvu.
Kwa maana adui zangu wananiamba, Nao wanaoniotea roho yangu hushauriana. Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya. Ee Mungu, usiwe mbali nami; Ee Mungu wangu, fanya haraka kunisaidia. Waaibishwe, watoweshwe, adui za nafsi yangu. Wavikwe laumu na aibu wanaonitakia mabaya. Na haki yako, Ee Mungu, Imefika juu sana. Wewe uliyefanya mambo makuu; Ee Mungu, ni nani aliye kama Wewe? Wewe, uliyetuonyesha mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena. Utatupandisha juu tena Tokea pande za chini ya nchi. Laiti ungeniongezea ukuu! Urejee tena na kunifariji moyo. Ulimi wangu nao utasimulia Haki yako mchana kutwa. Kwa maana wameaibishwa, Wametahayarika, wanaonitakia mabaya......"
Amen🙏🙏🙏