Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Leo kwenye Maria Space iliyokuwa na mada ya mfumuko wa Bei man of the space was Lema. Ameongea mambo mazito na muhimu Kwa Taifa Leo.
Moja ya jambo kubwa ninalotaka kushare na wewe ni hili:
1. Tanzania haitaendelea kama hakuna miundombinu ya kisera yakutufanya tuendelee.
2. Wafanyakazi wa serikali ni jobless, wengi kipato chao kwa mwaka ni chini ya milioni 8, wanafanya kazi Lakini ni Jobless. Kipate cha mfanyakazi kwa mwaka ni mtaji wa machinga wengi waliopo masoko makubwa nchini.
Endeleeni kuwahita wenzenu jobless mkasau ninyi pia ni jobles
Moja ya jambo kubwa ninalotaka kushare na wewe ni hili:
1. Tanzania haitaendelea kama hakuna miundombinu ya kisera yakutufanya tuendelee.
2. Wafanyakazi wa serikali ni jobless, wengi kipato chao kwa mwaka ni chini ya milioni 8, wanafanya kazi Lakini ni Jobless. Kipate cha mfanyakazi kwa mwaka ni mtaji wa machinga wengi waliopo masoko makubwa nchini.
Endeleeni kuwahita wenzenu jobless mkasau ninyi pia ni jobles