Goal Keeper rules...

Goal Keeper rules...

Mama yangu STD 7 lakini yupo fiti very smart nadhani angesoma angemfunika mzee mbaya angepitiliza hadi PHD
yaani na maphd yenu hamtaweza kufanya mambo hata nusu walofanya hao wazazi wa std 4 mkuu.acha kabisa. mke au mume sio degree
 
yaani unakuta mdad kaolewa na kijana wa watu msomi hataki hata kuongea au kuwaacha watoto kwa bibi yao. eti bibi yupo local local wakati kakuzalia mume smart? mtoto wa nyoka si nyoka jamani?
ha haaaa...... hujasoma ile degree haitunzi mume?
utapata tu best, siku siyo nyingi......
mi mwenyewe niliolewa sina hata degree, useme tu husband aliamua kunipeleka memkwa ndo sasa angalau ninayo....
usiwashangae wanaume tu.....
umewahi ona sisi wadada tunapopata watoto wetu hao wa digital hatuamini hata mama zetu kuwa wataweza kuwaogesha?
 
degree haitunzi familia ndugu.muache huyu asasambue tu hapa
Hii nimeipenda, mimi mama yangu kaishia vidudu, baba yangu kafariki nina miaka 18, watoto wote tumeendelezwa mpaka hapa tulipofikia, na mama yetu mpaka muda huu mimi ninae na sasa ana miaka 76, itabidi tukamfukue baba tumuulize aliishi nae vipi mpaka akatufikisha hapa tulipo!!!!! kweli waswahili walisema '' masikini akipata ------ hulia mbwata'', nakuomba sana usidharau , usijidanganye na pesa za kuiba hizo ukajiona bonge la mjanja!!!!!!!!!!!
 
sinifanyie hivo mtani! Kongosho unamwona best yako???

Haya mtani nimekuelewa mie...halafu Konnie sijapiga naye porojo siku nyingi...ngoja nitamtafuta kwa ajili ya michapo ya hapa na pale...
 
Last edited by a moderator:
yaani unakuta mdad kaolewa na kijana wa watu msomi hataki hata kuongea au kuwaacha watoto kwa bibi yao. eti bibi yupo local local wakati kakuzalia mume smart? mtoto wa nyoka si nyoka jamani?
bora huyo hamwamini mama mkwe, kuna ambao hawaamini mama zao..... wapo local eti, lol!
mimi mwenzenu likizo ndo muda wa kuvinjari enzi za uchumba.......
watoto kwa bibi zao............
tena likizo nyingine usipowapeleka wanaulizia kila siku mpaka utawapeleka
kwa bibi si unajua ni utawala binafsi! na pia wanakutana wa kutoka mikoa mbali mbali basi ni burudani tupu.
ila wakienda kule kwetu zonge unawapa nguo ambazo baada ya likizo wataziacha huko huko, zinakuwa hazifai kurudi mjini, lol!
 
hizo kazi anazofanya hapo nyumbani kwako unamlipa? Au unadhani hatumii nguvu jasho na damu? Unamwitaje golikipa?
 
Kwenye mabaa wasomi wengi ndo wanaongoza kutembea na hao kina dada wauza bar amba wengi hawakusoma.huwapangia vyumba na kuwahudumia kama mke huku wakiwaacha wake zao wasomi wakitembea na vijana wadogo kwa kuwapa senti wanazopata kutokana na usomi wao. Ha haa! Wasomi wa tz bana,na ndo haohao wameshindwa kuikomboa tz,kutoka kwenye lindi la umasikini.
 
Re: Goal Keeper rules...

Vipi ukiishi na mwanamke asiye na kazi wala elimu say maximum form iv... Inakuwaje?

TAARIFA... Hii ni mada hovyo kabisa sioni mantiki yake hapa
JIPANGE acha kukurupuka...
Nilitegemea kuona hizo kanuni hapa!
 
Hii nimeipenda, mimi mama yangu kaishia vidudu, baba yangu kafariki nina miaka 18, watoto wote tumeendelezwa mpaka hapa tulipofikia, na mama yetu mpaka muda huu mimi ninae na sasa ana miaka 76, itabidi tukamfukue baba tumuulize aliishi nae vipi mpaka akatufikisha hapa tulipo!!!!! kweli waswahili walisema '' masikini akipata ------ hulia mbwata'', nakuomba sana usidharau , usijidanganye na pesa za kuiba hizo ukajiona bonge la mjanja!!!!!!!!!!!


Tuko pamoja sana mkuu.... mada umeielewa lakini? Wengine tulikuwa tunarudi kufanya vibarua ili tupate pesa ya ada, tumekusanya mabaki ya chakula shule tukauza ili tupate ada. heri yenu wenzetu ambao mlisomeshwa hata mnazijua pesa za kuiba mkazifaidi ....
 
Back
Top Bottom