Kuna makosa ni dhahiri hayahitaji kujadili vinginevyoHivi TCRA kabla hawajafungia kituo huwa wanatafakari Kwa kina madhara yake Kwa Uchumi Wa Jamii na nchi Kiujumla?
Binafsi pamoja na kutokuwa mdau wa Hizo Wasafi Media bado siamini kuwa hii tabia ya fungia fungia ina afya njema Kwa nchi kiujumla.
Angalia point iliyokusudiwa katika andiko na sio kuongea maneno mengi hebu onyesha uchi katika hiyo picha.Unafahamu ni kosa kisheria kutazama, au kusambaza picha za utupu/ngono!?
Ikitokea umekamatwa kwa kuvimba JF kuwa porn ni kitu cha kawaida, utasema kunashida mahali!? System inakuonea wivu ?
Hizi sheria zipo na kanuni zake za adhabu... Wala sio matamko ya kisiasa.. tii sheria bila shuruti.. watanzania tumedekezana sana... Hiyo ndio shida kubwa.. kupindisha pindisha mambo kisiasa.
Mkuu wewe nahisi utakuwa unajifunza kureply, si vinginevyo kwa majibu yako unless tulia Hangover yako ya juice ya bhangi ikuishe.Acheni ushamba
Gigy hata angekuwa amevaa baibui ndio chanzo cha kufungiwa WCB miezi 6, mi ningefarijika tu.
Waliambiwa WCB msichanganye siasa na sanaa. Na huyo mnaempigia kampeni za urais 2020 hana fadhila wala hana rafiki. Ila zile kofia walizokua wanavalishwa zilikua zina wazuzua.
Acha WCB wapate malipo yao kwa kumpigia debe stone.
Fikra hizi ndio zilileta ushikaji serikali. Yaani kwa sababu walilipwa kufanya kampeni, basi hata wakifanya kosa wasi adhibiwe?Why wameifungia hali imesaidia Sana ushindi wa CCM
WasafiT ni ya msanii, hivyo walipomuona waliona Sanaa ndani yakemtu anatoka back stage na nguo za aina hivyo hakuna hata mmoja alimuona?
Hata sasa ushikaji ni zaidi hasa ukiwa na chapa.Fikra hizi ndio zilileta ushikaji serikali. Yaani kwa sababu walilipwa kufanya kampeni, basi hata wakifanya kosa wasi adhibiwe?
Tulilalamika kipindi cha Kikwete kuhusu ushikaji, sasa hivi tuna utaka.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Siyo kwamba akili ya kikahaba imetuvaa Sana watanzania ndo maana?. Kwann huo mchoro usiuone kama ramani ya Iran?Nguo inaonyesha mifano ya utamu we unasema kuwa haina shida utamu nauona kabisa tena wameweka na vile vimavuzi we jamaa sijui unatetea nini hapa.
Wewe ukiwa na Binti yako.. (would you be comfortable na uvaaji huu!?)Angalia point iliyokusudiwa katika andiko na sio kuongea maneno mengi hebu onyesha uchi katika hiyo picha.
View attachment 1669598
Tena a naangalia akiwa na family yakeHalafu jitu jinga kama wewe unaangalia miziki ya kina niki minaj 'na mashow yao kina beyonce 'na yanaonyeshwa kwenye tv station za kibongo 'na unashangilia kwa furaha kabisa 'na havifunguwi akifanya mbongo mnapayuka tu
Lady Gaga, huyo hapo Cher.. 'na wapo wengi video zao zjnaonyeshwa ...labda niulize TUNARUHUSU HUO MNAOITA UTUPU UONYESHWE NA WASANII WA KIMATAIFA KWENYE TAIFA LETU ila wasanii wetu wavae madera vitenge 'na raba !!!??
Usiforce watu kuelewa tofautiSiyo kwamba akili ya kikahaba imetuvaa Sana watanzania ndo maana?. Kwann huo mchoro usiuone kama ramani ya Iran?
Lakini si tunawaangalia kupitia local channels !!?? Au hazipigwi kwenye vipindi !!?? Mbona havifungiwi!??Mbona iko wazi wale ni wamarekani... Hatuwezi kuwapangia ya kwao.. ila hapa tutajipangia tu.
Kuna Miiko na maadili ya Kitanzania !!!!...Kwanini asivae nguo nyingine, hiyo nguo kwetu hapa Tanzania haina miiko ya kimaadili, ni nguo inayoleta imagination nyingi zisizo na msingi.
Hiyo picha iliyobandikwa ukii-zoom na kufanya tafsiri (photograph interpretation) vizuri, utapata jibu kwa nini TCRA imetoa adhabu hiyo.
Ni unafiki wa kuptiliza.Hata hao waajiriwa wa TCRA wana picha za pono katika simu zao za mkononi.Sana sana walichokifanya TCRA ni promosheni ya mambo ya ngono.Nikiri kwamba mimi sikutazama live show ya Giggy Money iliyorushwa na Wasafi TV ambayo TCRA hawakuipenda.
Lakini kupitia platforms tofauti za social network nimeweza kuona picha ya Giggy akiwa kwenye vazi fulani hivi inayojadiliwa sana kwamba ndiyo alikuwa amevaa wakati wa show (picha ipo chini hapa).
Binafsi sijaona tatizo na vazi lile. Vazi limebuniwa vizuri linaonesha maungo ya Giggy vizuri kabisa. Shida iko wapi?
Mbona ndiyo hayo mavazi nayaona bichi, kwenye swimming events na maahindano ya mamiss. Bila kusahau huko kwenye mabaa, mitaani n.k. Sasa ninyi TCRA mnalinda maadili ya watazama TV tu?
Mko dunia gani nyie? Mnataka wasanii wavae madela na mashuka?
Halafu huu unafiki tutauacha lini watanzania? Hivi kweli tukipekuwa simu zenu ninyi mnaodai kukerwa na picha za Giggy hatutakuta picha za "pilau"?
Ninyi mnaojitia kukirihishwa na picha za Giggy ndiyo ninyi wenye nyumba ndogo na michepuko kama yote. Hayo ni maadili? Lkn mkisimama majukwaani mwajitia wasafi kama malaika.
Kama kweli tunataka kulinda maadili basi tuzuie uchafu kila idara, ofisi, sehemu za starehe, vyombo vya usafiri na kwingineko. Katika hili kuna kitu hakiko sawa.