Ghorofa la Bernald Membe - Wizi Mtupu

kwa jinsi anavyo safiri na mkuru wala si shangai kwani kila anapokwenda ughaibuni kwa siku analipwa dola 1000. Mpaka sasa tufanye amesafiri safari 100 na kukaa siku 3 kwa safari hivyo 3 X 100 x 1000=Usd 300,000. weka na marupurupu mingine tusiyo yajua kama vile kula na kulala bure, bahasha nk....acha ajenge kwani akiondoka bila asset tutamcheka
 
Acheni Mtwara ichanue wajameni...lol,manake ukitoka Makonde Beach unaenda hapo kulala, aubuhi unaamkia Maisha Club karibu na pale UTUMISHI
 
Miaka 2 ya ubunge mbunge wa CDM aliyetokea chuo mh Raya anamiliki jumba la ghorofa mbezi beach hii haistui, Membe mbunge na waziri miaka 12 hatakiwi kuwa na nyumba ya ghorofa. Siungi mkono tabia ya watu wachache kufaidi matunda ya uhuru NAPINGA DOUBLE standard.
 
mkuu ulieleta hii thread,nadhan ingekuwa vyema ukatuwekea vielelezo vya ushahidi wa umiliki wa ghorofa.
Kama great thinker ni vyema kufanya hivyo ili kuondokana na hisia kwamba hii ni siasa ya kuchafuana bila kuwa na ushahidi wowote,leo hii mtu anaweza piga picha gorofa moja arusha na kusema la fulani ili tu kupanda mbegu ya chuki kwa wananchi.
Otis

narudia tena nyumba hiyo inatumia jina la mfanyabiashara,maarufu kwa jina la sheby matelephone,hivyo ukifuatilia hutaona jina la membe kamwe,lakini ukweli wakazi wa mtwara tunajua kuwa,ni ghoroifa ya membe.
 
Watanzania tunaogopa maghorofa! Ukipata archtect mzuri pamoja na structural Engineer mzuri unaweza jenga ghorofa kwa bei rahisi tu.
 
Wote walioiba mali ya umma au kutumia mamlaka yao kujinufaisha lazima watarudisha wlichovuna kama ikidhibitika wlivipata isivyo halali, it is just a matter of time, tena wengine watakimbia nchi na kujificha uhamishoni kwani hawa tutawaita wahujumu nchi
 
Anaweza kujenga, huyu si anashindaga na kikwete kwenye ndege


Haya mzee Membe wajibu wenzio kwani uliwachokoza ukingali kwenye nyumba ya vioo, madongo ndio hayooo na yatakuandama mpaka 2015, pia usimsahau ndugu na jirani yako Mudhihir aliyekuita ..."Nyoka wa mdimu"
 
Nachelea kuwa miongoni mwa watu wa ajabu kuweka msimamo kwamba Bernard Membe sio mwizi/fisadi kwavile simfahamu Membe vizuri kama ninavyojifahamu mwenyewe.Vilevile, nachelea kuwa miongoni mwa watu wa ajabu ku-conclude kwamba Membe ni mwizi/fisadi; kwa ku-base kwenye ujenzi wa hiyo hotel peke yake. Awali ya yote, nina-assume kwamba hilo jengo kweli ni hoteli ya Mheshimiwa Bernard Membe.Kwanini nachelea ku-conclude kwamba Membe ni mwizi kwa kuangalia tu hilo jengo?! Awali ya yote, jengo hilo si la kutisha sana kwa kuzingatia muda aliokuwapo Membe kwenye system. Bernard Membe amekuwepo kwenye system tangu alipomaliza tu masomo ya sekondari.....narudia, amekuwepo kwenye system hata kabla hajagusa chuo kikuu! Inasemekana kwamba, Membe alisoma shule ya Seminary, bila shaka ilikuwa ni one step forward kuwa mtumishi wa mungu. Aidha, inasemekana kwamba, siku ambayo alitakiwa kuapa ili aingie rasmi kwenye masomo ya utumishi wa mungu, Bernard Membe aligoma kufanya hivyo. Bila shaka alijiona hakuwa na wito wa kuwa mtumishi. Hakutaka kuwa mnafiki kama wengine wanaoingia huko na kufanya mambo yaliyo kinyume kama vile kuwa na vimada wakati ni jambo lisilokubalika kwa upande wa dini yoyote achilia mbali Ukatoliki ambao hahuruhusu hata kuona.Aidha, inasemekana kwamba siku hiyo ya kiapo hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerer nae alikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa! Hivyo basi, baada ya Membe kugoma kuingia kwenye utumishi, Mwalimu Nyerere akakata shauri la kumchukua dogo (Membe)!! Hivyo basi, tangu hapo Membe akaingia kwenye system.Hata alipoingia UDSM, tayari Membe alikuwa ndani ya CCM! Ikumbukwe kwamba, hayo ya kuingia kwenye system ilikuwa miaka ya katikati ya 70, which means ni more than 30 years now.Baada ya kuchukua shahada ya International Relation pale UDSM (i think miaka ya mwisho ya 70, au mwanzoni kabisa ya 80) Membe akazidi kupaa zaidi. Na miaka ya mwanzo ya 80 akapelekwa ubalozi wa Canada ambako nako alikaa muda usiopungua miaka 5. Aliporudi toka Canada, mwaka 2000 akagombea ubunge wa Mtama na tangu wakati huo hadi leo amekuwa mbunge na waziri (Uwaziri since 2005)!! So, kwa kuangalia mlolongo huo, wala sichelei kutamka wazi kwamba uwezo wa kujenga jengo kama hilo anao hata kama ni kwa mkopo!
 
This is not enough.
I am not supporting Membe in nay way and I have never admired him as a Minister.
However, we need more evidence instead of sweeping statements.

Mkuu hakuna cha kutaka evidence zaidi, we sikumoja tembelea boko.. Utaona wakubwa walivyojigawia zile nyumba liko wazi kule wakazi wana sema na yeye huwa anakwenda japo mara chache! Wako wengi tu..hata magufuri ndani.
 
Nachelea kuwa miongoni mwa watu wa ajabu kuweka msimamo kwamba Bernard Membe sio mwizi/fisadi kwavile simfahamu Membe vizuri kama ninavyojifahamu mwenyewe.Vilevile, nachelea kuwa miongoni mwa watu wa ajabu ku-conclude kwamba Membe ni mwizi/fisadi; kwa ku-base kwenye ujenzi wa hiyo hotel peke yake. Awali ya yote, nina-assume kwamba hilo jengo kweli ni hoteli ya Mheshimiwa Bernard Membe.Kwanini nachelea ku-conclude kwamba Membe ni mwizi kwa kuangalia tu hilo jengo?! Awali ya yote, jengo hilo si la kutisha sana kwa kuzingatia muda aliokuwapo Membe kwenye system. Bernard Membe amekuwepo kwenye system tangu alipomaliza tu masomo ya sekondari.....narudia, amekuwepo kwenye system hata kabla hajagusa chuo kikuu! Inasemekana kwamba, Membe alisoma shule ya Seminary, bila shaka ilikuwa ni one step forward kuwa mtumishi wa mungu. Aidha, inasemekana kwamba, siku ambayo alitakiwa kuapa ili aingie rasmi kwenye masomo ya utumishi wa mungu, Bernard Membe aligoma kufanya hivyo. Bila shaka alijiona hakuwa na wito wa kuwa mtumishi. Hakutaka kuwa mnafiki kama wengine wanaoingia huko na kufanya mambo yaliyo kinyume kama vile kuwa na vimada wakati ni jambo lisilokubalika kwa upande wa dini yoyote achilia mbali Ukatoliki ambao hahuruhusu hata kuona.Aidha, inasemekana kwamba siku hiyo ya kiapo hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerer nae alikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa! Hivyo basi, baada ya Membe kugoma kuingia kwenye utumishi, Mwalimu Nyerere akakata shauri la kumchukua dogo (Membe)!! Hivyo basi, tangu hapo Membe akaingia kwenye system.Hata alipoingia UDSM, tayari Membe alikuwa ndani ya CCM! Ikumbukwe kwamba, hayo ya kuingia kwenye system ilikuwa miaka ya katikati ya 70, which means ni more than 30 years now.Baada ya kuchukua shahada ya International Relation pale UDSM (i think miaka ya mwisho ya 70, au mwanzoni kabisa ya 80) Membe akazidi kupaa zaidi. Na miaka ya mwanzo ya 80 akapelekwa ubalozi wa Canada ambako nako alikaa muda usiopungua miaka 5. Aliporudi toka Canada, mwaka 2000 akagombea ubunge wa Mtama na tangu wakati huo hadi leo amekuwa mbunge na waziri (Uwaziri since 2005)!! So, kwa kuangalia mlolongo huo, wala sichelei kutamka wazi kwamba uwezo wa kujenga jengo kama hilo anao hata kama ni kwa mkopo!
WEWE BWANA NI MUONGO,HUMFAHAMU MEMBE ACHA KUTULETEA UONGO JAMVINI,MEMBE KASOMA SEMINARY NDOGO NAMUPA IKO JIMBO LA LINDI,KIDATO CHA TANO NA SITA iTAGA SEMINARY TABORA,HAJAWAHI KUIJONGEA HATUA YA UKASISI KWA KUSOMA SEMINARY KUBWA YAANI MASOMO YA FILOSOFIA ,TEOLOJIA AMBAYO KWAYO KWA KANISA KATOLIKI HUMFANYA MTU KUWA KASISI,KUSEMA ETI ALIGHAIRI SIKU YA KIAPO KUWA KASISI NI CHUMVI KUPITA KISIASI,ACHA KUTULETEA UJINGA NA UONGO KWENYE JAMVI,ANDIKA MAMBO UNAYOFAHAMU KUHUSU YEYE ILA IKIWA HUJUI NYAMAZA KABISA.NA KUHUSU KANISA NA NYUMBA YA MAPADRE NA CONVENT YA WATAWA WA KIKE AMBAVYO AMEJENGA JIMBONI KWAKE VINATOKANA NA MSHARA GANI?TUACHE UJINGA NA UPUUZI,KAMA KAJENGA HAITOKANI NA MSHAHARA WAKE,MISHAHARA YA SERIKARI INAJULIKANA.
 
Kumbe nako kajizi haka kajasusi kakongwe?! au ndio yule mzee Kitine alisema kapokea pesa huko morroco na kwingineko kazitia mfukoni?! basi tumekwisha hata membe fisadi!
 
Miaka mingapi yupo kwenye uwaziri? hesabu na posho zote. Ukimaliza leta jibu. Miaka mingapi kaanza kuwekeza? kabla ya uwaziri au baada ya uwaziri?

Wacheni usongo.

Wala usiulize miaka mingapi mkuu, Membe na JK ndiyo ambao kwa kiasi fulani wamekausha hazina ya taifa kutokana na safari zisizoisha za kwenda ulaya na hasa marekani. Kwanza hicho ni kibanda tu....wala nisingeshangaa kuona anamiliki jengo kubwa zaidi ya hilo
 
kumbe nako kajizi haka kajasusi kakongwe?! Au ndio yule mzee kitine alisema kapokea pesa huko morroco na kwingineko kazitia mfukoni?! Basi tumekwisha hata membe fisadi!
kajenga kanisa,nyumba yamapadre ,konvent ya watawa wa kike,zahanati kijijini kwake rondo.kanisa lilitakiwa lifunguliwe mapema mwaka jana lakini ilishindikana kwa nini? Wahusika wanajua kilichowafanya kuweka ngumu kufungua kanisa hilo zuri na la kifahari kwelikweli.
 
WEWE BWANA NI MUONGO,HUMFAHAMU MEMBE ACHA KUTULETEA UONGO JAMVINI,MEMBE KASOMA SEMINARY NDOGO NAMUPA IKO JIMBO LA LINDI,KIDATO CHA TANO NA SITA iTAGA SEMINARY TABORA,HAJAWAHI KUIJONGEA HATUA YA UKASISI KWA KUSOMA SEMINARY KUBWA YAANI MASOMO YA FILOSOFIA ,TEOLOJIA AMBAYO KWAYO KWA KANISA KATOLIKI HUMFANYA MTU KUWA KASISI,KUSEMA ETI ALIGHAIRI SIKU YA KIAPO KUWA KASISI NI CHUMVI KUPITA KISIASI,ACHA KUTULETEA UJINGA NA UONGO KWENYE JAMVI,ANDIKA MAMBO UNAYOFAHAMU KUHUSU YEYE ILA IKIWA HUJUI NYAMAZA KABISA.NA KUHUSU KANISA NA NYUMBA YA MAPADRE NA CONVENT YA WATAWA WA KIKE AMBAVYO AMEJENGA JIMBONI KWAKE VINATOKANA NA MSHARA GANI?TUACHE UJINGA NA UPUUZI,KAMA KAJENGA HAITOKANI NA MSHAHARA WAKE,MISHAHARA YA SERIKARI INAJULIKANA.
TATIZO lako labda hufahamu Kiswahili au hamnazo vinginevyo, ungeona niliyoyaandika nimesema "INASEMEKANA" kwahiyo kama ni ujinga basi wewe ndie MJINGA zaidi ambae huijui hata lugha yako. But all in all, main point hapo ni kuhusu lini Membe ameanza kuwamo serikalini. Binafsi sipendi kujitia upuuzi wa kujifanya nawafahamu vigogo wa serikalini vinginevyo wala nisingesita kufanya hivyo hususani kuhusu Membe.Membe yupo kwenye system zaidi ya miaka 30 na hiyo ndiyo hoja ya msingi. Na huyu wakati wote amekuwepo kule kule jikoni tofauti na wengine ambao walikuwa mara katibu wa chama, mara chipukizi mkuu.
 
narudia tena nyumba hiyo inatumia jina la mfanyabiashara,maarufu kwa jina la sheby matelephone,hivyo ukifuatilia hutaona jina la membe kamwe,lakini ukweli wakazi wa mtwara tunajua kuwa,ni ghoroifa ya membe.


Nyie watu wa mtwara mmetumia njia gani kujua mmiliki wa gorofa ni Mhe Membe na sio Shebby Matelefoni.
OTIS
 
Jameni wandugu.....ufisadi upo tena wa kutisha sana, lakini kuhusu hili la bro. Benard, mi najua mwaka 1980 alikuwa m/funzi miaka ya 80 tayari alishaanza mbio...ok ujanja ujanja unakuwepo hata katika vile vizawadi wanavyopata kule nje( as per his status) vinatosha kuongezea ingawa si halali. Hiyo ni nyumba ya kawaida kabisa, ghorofa tatu...ila doubt ni salary yake, mahusiano yake na wengine, ilani ya chama chake, katiba mbovu tuliyonayo.nk

Pia nafasi hii hata wewe ungeipata usingeiachia, ukizingatia kuwa ifikapo 2015 hutakuwepo katika nafasi yeyote ya juu kisiasa, kwani wanaoitwa wapinzani tayari nchi itakuwa mikononi mwao. Sasa kwanini asiibe haraka?..narudia kusema hata kama si mkopo, kuna vijizawadi mbalimbali kwa wanaojikomba kwake especially huko "nje" na wale wanaotafuta urafiki..ili wakija TZ wawe na mwenyeji.
 
kwa jinsi anavyo safiri na mkuru wala si shangai kwani kila anapokwenda ughaibuni kwa siku analipwa dola 1000. Mpaka sasa tufanye amesafiri safari 100 na kukaa siku 3 kwa safari hivyo 3 X 100 x 1000=Usd 300,000. weka na marupurupu mingine tusiyo yajua kama vile kula na kulala bure, bahasha nk....acha ajenge kwani akiondoka bila asset tutamcheka

Bana wewe? Wenye kubisha wabishe lakini hilo ghorofa na hoteli ya NAF BLUE VIEW iliyoko stand ni vya Membe. Subiri tutaomba picha ya nyumba zake zilizoko dubai na kanada kisha tutawawekea. Ghorofa na hoteli ya naff blue hotel vimeandikwa jina la shaibu lakini mali ni za membe. shaibu tunamjua nadani na nje alikuwa akiuza simu na haouse za simu hana uwezo huo. binafsi nimewahi kumdodosa shaibu na alikiri kuwa ni mali za membe. you may take it.
 
Mbona nyumba ya kawaida tu hiyo? Kwa miaka aliyofanya kazi nilikuwa nategemea liwe ni gorofa kweli na siyo hako kagorofa hapo.

Kumbukeni siku hizi kuna access ya loans na other financing facilities.

Huwa sikuelewi unatumikaje, anyway mshahara unaolipwa haufanani na effort zako. Yaaani unapunjwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom