Mzee wa Usafi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 644
- 292
kwa jinsi anavyo safiri na mkuru wala si shangai kwani kila anapokwenda ughaibuni kwa siku analipwa dola 1000. Mpaka sasa tufanye amesafiri safari 100 na kukaa siku 3 kwa safari hivyo 3 X 100 x 1000=Usd 300,000. weka na marupurupu mingine tusiyo yajua kama vile kula na kulala bure, bahasha nk....acha ajenge kwani akiondoka bila asset tutamcheka