mbona nyumba ya kawaida tu hiyo? Kwa miaka aliyofanya kazi nilikuwa nategemea liwe ni gorofa kweli na siyo hako kagorofa hapo.
Kumbukeni siku hizi kuna access ya loans na other financing facilities.
fikiria kwa kutumia kichwa, hivi wewe unacho hata hicho kighorofa unachokisema? Kama ndo alichagua design hiyo huwezi ku underrate. Kama ndo mikopo basi kila mtanzania angejenga vighorofa.