kaeni mbali ...maana yankweda km nyingi...... halafa huyu waziri wa ulinzi ni bogas kweli
tuwe nalo tu kwa ajili ya bRass band...:twitch:
Anasemaje??Deogratius Rweyunga wa Redio one anaongea kutoka huko msikilize sasa!!
basi japo picha ya hio miale kwa mbali tuioneJamani watu wanaogopa usalama wao...kama wanasema yanaruka kwenda mbali....nani ambaye atasogea karibu kupiga picha????
Pole sana.....Ooh jamani!
Hakuna aliyeumia huko?
Siwapati hewani ndugu zangu.
Kidumuuupoleni sana wazewa wa dsm..na kidumu chama cha mapinduzi
Hivi vituo vyetu vya TV mbona viko nyuma ya wakati kiasi hiki kwanini wasituonyeshe hiyo breaking news