Gesi kupanda tarehe 6 Feb 2017

Gesi kupanda tarehe 6 Feb 2017

wakati gesi haijavumbuliwa mtwara mbona bei ilikuwa chini ukilinganisha na baada ya uvumbuzi

Gesi tunayouziwa ndani ya mitugi ni gesi ya petrol LPG inatoka nje.
Gesi ya Tanzania ipo katika muundo wa CNG sio LNG.
HAINA MAANA KWAMBA HAIWEZI KUTUMIKA,SHIDA KUNA VIHIYO TOKEA WIZARA HADI TPDC.Wana degree nyingi lakini hawana uzoefu ni vimeo.
 
Mawakala wa gesi wametumiwa msg leo kuanzia tarehe 06/02/2017

Bei ya gesi zinapanda rasmi

Moja ya meseji inasema gesi kubwa itanunuliwa Tshs. 47,000 na kuuzwa kuanzia Tshs.52,000-53,000 kwa Kg.15

Kg 6 Kununuliwa Tshs. 18,500 na kuuzwa Tshs.21,500-22, 000

Tunaomba wanandugu msishangae ongezeko la bei maana nasi tumeongezewa bei

Kila. La kheri February


Hahaha!! Bei ya gesi inapanda kwa meseji yani watufanya siye fara .
 
Kwa mwendo huu ngoja nisogeze mbele muda wa kuoa maana si kwa maisha haya nilivyo bachelor kwa mwaka natumia mitungi miwili ya kg 15 nikioa inakuwa kila mwez mtungi mmoja
Kama uko peke yako na anatumia Mutungi miwili basi ukiwa na familia jiandae minne
 
Kama uko peke yako na anatumia Mutungi miwili basi ukiwa na familia jiandae minne
Niko peke yangu mkuu na gas ndo kila kitu hakuna cha jag la umeme wala rice cooker.
Kuanzia maharage na takataka zote ni gas mtungi uwa nakaa nao miez 6-7
 
Niko peke yangu mkuu na gas ndo kila kitu hakuna cha jag la umeme wala rice cooker.
Kuanzia maharage na takataka zote ni gas mtungi uwa nakaa nao miez 6-7
Kuna mahali unakosea.Nakupa hint wakati unachemsha au kupika kitu uaitumie moto mkali unaotaka kuivisha haraka.Tumia moto mdogo wa watani gas inatoka kidogo sana japo tunatumia muda mrefu kidogo. Kwa sababu gas INA toka kidogo tunatumia gas ndogo zaidi.Ukisema moto mkali unachoma gas nyingi sana.Karibu na utaona matokeo yake.Unaweza kutumia gas hiyo kwa miezi 7-9
 
Kama Professor Muhongo na Magufuli wanajeuri basi waliingie na hili kulizuia kama walivyofanya kwenye lile la kupandishwa Umeme. Tofauti na hivyo tunawaona wanafiki wakubwa.
 
Kuna mahali unakosea.Nakupa hint wakati unachemsha au kupika kitu uaitumie moto mkali unaotaka kuivisha haraka.Tumia moto mdogo wa watani gas inatoka kidogo sana japo tunatumia muda mrefu kidogo. Kwa sababu gas INA toka kidogo tunatumia gas ndogo zaidi.Ukisema moto mkali unachoma gas nyingi sana.Karibu na utaona matokeo yake.Unaweza kutumia gas hiyo kwa miezi 7-9
Ntajaribu hiyo formula japo jiko langu ni la total plate mbili consumption yake ni 36g/hr yani halina moto mkubwa uliopitiliza tofauti na yale mengine ya 180/hr
 
Tulianza huko huko tens juu ya bei hizo,wacha turud tu haina majotroooo,siwez acha kupika kisa 3500-4000
 
Ntajaribu hiyo formula japo jiko langu ni la total plate mbili consumption yake ni 36g/hr yani halina moto mkubwa uliopitiliza tofauti na yale mengine ya 180/hr
Jaribu utaona.hiyo itakuwa maximum consumption ya Niko.Karibu kupunguza zaidi utaona matokeo yake.Nnatumia Kamtungi kamoja kila baada ya miezi mitatu vile vimitungi vidogo.Na Nina familia ya watu wanne hapa nimemuweka na msaidizi wa nyumbani
 
Mawakala wa gesi wametumiwa msg leo kuanzia tarehe 06/02/2017

Bei ya gesi zinapanda rasmi

Moja ya meseji inasema gesi kubwa itanunuliwa Tshs. 47,000 na kuuzwa kuanzia Tshs.52,000-53,000 kwa Kg.15

Kg 6 Kununuliwa Tshs. 18,500 na kuuzwa Tshs.21,500-22, 000

Tunaomba wanandugu msishangae ongezeko la bei maana nasi tumeongezewa bei

Kila. La kheri February
Ewura ndio mpandishaji wa gesi.
 
Nina tumia vimitungi vidogo.Kila baada ya miezi mitatu nabadili kimtungi.Japo Maji natumia birika la umeme.Situmii jiko la umeme wala mkaa.
Basi consumption yako nzuri sana mkuu
 
Mimi nikakoishi huku wana ccm wengi hizo gesi zumewashinda hata mkaa wanapikia vufuu,then wanasema sisi watumishi ni chadema so tunasomeshwa namba,Ccm wengi ni wale masikini masikini kwa huku vijijini
Siku Zote Mtaji Wa CCM Ni Masikini Hivyo Wala Usishangae Mkuu.
 
Back
Top Bottom