imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Itabidi sasa ugali tuwe tunaupika na hamira ili tuweze kufyatua gesi ya kutosha.Hapo sawa maana nazi mpaka upate za kutosha kupikia ni mziki.
Itabidi sasa ugali tuwe tunaupika na hamira ili tuweze kufyatua gesi ya kutosha.Hapo sawa maana nazi mpaka upate za kutosha kupikia ni mziki.
Hahaaa acha woga, we kaoe utapata maarifa ya ziadaKwa mwendo huu ngoja nisogeze mbele muda wa kuoa maana si kwa maisha haya nilivyo bachelor kwa mwaka natumia mitungi miwili ya kg 15 nikioa inakuwa kila mwez mtungi mmoja
Mkuu njoo kwenye umeme kuna mbinu mpya ya kutumia umeme kiduchu ni kupikia sufuria la umeme ambalo ni multpurpose humalizi hata elfu 10 kwa mweziUwiiiiiiiiiiiiiiii tuende wapi jamani?
Gesi kutoka elfu 17-18 hadi 21-22?
Hapo bado vyakula vimepanda.
Dah!
Mhhhhhhhh hii ikoje mkuu?Mkuu njoo kwenye umeme kuna mbinu mpya ya kutumia umeme kiduchu ni kupikia sufuria la umeme ambalo ni multpurpose humalizi hata elfu 10 kwa mwezi
SI KISHOKA MKUU.NI SUFURIA ZUR AINA YA " ORCHID",NI KAMA PRESSURE COOKER LIKISHA CHEMSHA KWA100 C° UNAZIMA LINAENDELEA KUIVISHA UNAWEZA PIKA,OKA,CHEMSHA,KAANGA N,KSiookishoka lakini
PICHA HAIKUBALI ILA JINA AU BRAND NIWEKA PICHA NA BEI MKUU UWASAIDIE WANANCHI