Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Siri ya kuchemsha maharage yaloweke kama masaa kama manne hivi au mawili then chesha.Yanatumia muda mfupi sana.Basi consumption yako nzuri sana mkuu
Siri ya kuchemsha maharage yaloweke kama masaa kama manne hivi au mawili then chesha.Yanatumia muda mfupi sana.Basi consumption yako nzuri sana mkuu
Nazi nazo tunampango wa kupandisha bei ili ukose vifuu vya kutosha.Tutapikia vifuu vya nazi tu.
hii unayoiongelea wewe sio hii inayouzwa mitaani kwa sasaNdio tujue unuhinu wa mikataba ya hii gesi yetu na wawekezaj/wajenzi wa bomba la gesi.
Usijali wanaccm mtauziwa bei ya zamani ila upinzani ndo wanaisoma nambaWashanimaliza hawa wajamaa
Bora gesi ipande bei ili tupunguze matumizi ya mkaa... maana misitu ilikuwa inateketea kwa sababu ya matumizi makubwa ya gesi..Mawakala wa gesi wametumiwa msg leo kuanzia tarehe 06/02/2017
Bei ya gesi zinapanda rasmi
Moja ya meseji inasema gesi kubwa itanunuliwa Tshs. 47,000 na kuuzwa kuanzia Tshs.52,000-53,000 kwa Kg.15
Kg 6 Kununuliwa Tshs. 18,500 na kuuzwa Tshs.21,500-22, 000
Tunaomba wanandugu msishangae ongezeko la bei maana nasi tumeongezewa bei
Kila. La kheri February
Tutatumia gesi asilia iliyoko vyooni mwetu (methane) yaani gesi ushuzi kwa kiswahili fasahaNazi nazo tunampango wa kupandisha bei ili ukose vifuu vya kutosha.
Kidumu chama tawala ssm.
Miongoni mwa hao maskini huna ndugu? Au wewe ni born here here?Mimi nikakoishi huku wana ccm wengi hizo gesi zumewashinda hata mkaa wanapikia vufuu,then wanasema sisi watumishi ni chadema so tunasomeshwa namba,Ccm wengi ni wale masikini masikini kwa huku vijijini
Tutatumia gesi asilia iliyoko vyooni mwetu (methane) yaani gesi ushuzi kwa kiswahili fasaha
Utakufa uache watoto wakiwa wadogo. Hesabu ni muhimu maishani.Kwa mwendo huu ngoja nisogeze mbele muda wa kuoa maana si kwa maisha haya nilivyo bachelor kwa mwaka natumia mitungi miwili ya kg 15 nikioa inakuwa kila mwez mtungi mmoja
Safi sanaHuku mkaa uawekewa kodi kule gesi iapada bei
Ninao wengi tuMiongoni mwa hao maskini huna ndugu? Au wewe ni born here here?
Ikumbukwe Tu Kwamba Ongezeko Hili Halitawakumba WanaCCM. Hivyo Acha Wapinzani Waisome Namba.


