Gesi kupanda tarehe 6 Feb 2017

Gesi kupanda tarehe 6 Feb 2017

Admin
Naombaa wimboo WA tujiandaaeee tujiandaae andaeee tujiandaaee tujiandaeeandaee
 
Kuna mtu atatumbuliwa hapo, anapandisha bei bila kutoa taarifa rasmi kwa Minister?
 
Mawakala wa gesi wametumiwa msg leo kuanzia tarehe 06/02/2017

Bei ya gesi zinapanda rasmi

Moja ya meseji inasema gesi kubwa itanunuliwa Tshs. 47,000 na kuuzwa kuanzia Tshs.52,000-53,000 kwa Kg.15

Kg 6 Kununuliwa Tshs. 18,500 na kuuzwa Tshs.21,500-22, 000

Tunaomba wanandugu msishangae ongezeko la bei maana nasi tumeongezewa bei

Kila. La kheri February
Bia murua yenye ubora castle larger nayo wamepandishwa bei,ni shs 2,700.00
 
Bia murua yenye ubora castle larger nayo wamepandishwa bei,ni shs 2,700.00
HAHAHAAAA USINICHEKESHE JANA NILIKUWA NAWASHIKAJI NAPATA REDBULLYANGU JAMAA WAKANYWA CASTLE LAGER WAMEMALIZA WAKO WANNE WANAOMBA CASTLELAGER WAKAAMBIWA CASH 2700 NIKACHEKA SINAMBAVUU IKABIDI NIAGIZE REDBULL MBILI FASTER WASIJE PANDISHA NAZO....

NIKAELEWA WALEWANAOLIPA BIA NNE WANAWEKA MEZANIZOTE KUMBE WANAOGOPA ONGEZEKO LAJINAI
 
Ikumbukwe Tu Kwamba Ongezeko Hili Halitawakumba WanaCCM. Hivyo Acha Wapinzani Waisome Namba.
Mimi nikakoishi huku wana ccm wengi hizo gesi zumewashinda hata mkaa wanapikia vufuu,then wanasema sisi watumishi ni chadema so tunasomeshwa namba,Ccm wengi ni wale masikini masikini kwa huku vijijini
 
Tuombe washushiwekodi
 
Wanaoletagesi wanalalamika wameongezewa KD sass tuombewananchi wajitokeze kuomba kodiipungue
 
Hivi gesi haina wadau ambao wanatakiwa wakae na kujadiliana kuhusu bei, EWURA na Muhongo msije mkakana kwamba hamna taarifa, Mara ya kwanza aliwaonea aibu likataeni hili.
Malafyale, huwezi ona waccm wakikemea jambo lolote linalowakandamiza wanchi,yaani umaskini wetu ndo mtaji wa ccm
 
wakati gesi haijavumbuliwa mtwara mbona bei ilikuwa chini ukilinganisha na baada ya uvumbuzi
 
Kweli tutaishi kama mashetani...
Jinsi nilivofulia mabega yameanza enda juu kama mapembe ya shetani,biashara zimebuma na huku kazini tumepigwa pini no ongezeko la salary no kupanda madaraja
 
Ni furaha iliyoje kutuharakisha kuishi yale maisha tuliyoahidiwa. Nami nayatamani sana maisha hayo kwani sijawahi kuyaishi maisha ya shetani.
Hivi hao watu wa mazingira, maliasili na hali ya hewa wanatuambiaje juu ya ukame unaoliangamiza taifa? Kwa maana nyingine wametoa go ahead kwa wachoma mkaa wamalizie miti iliyobaki?
Nilifikiri kuwa gesi ingeuzwa bei ambayo kila mtu angeimudu kumbe nilikosea inatakiwa iwe luxury. Mhongo uko upande gani kwa hili?
 
natamani Na daladala nao watangaze kupandisha nauli.

Maana juzi tu hapa wametoka kufuta vibali vya wauza mikaa.leo wanapandisha bei ya gesi mweeeeeeeeeeh.
 
Back
Top Bottom