Gerson Msigwa: Filamu ya Royal Tour hazikutumika fedha za Watanzania

Mnajua hata tukisema tunalipenda taifa hili kwa kusifia kila jambo anafanya Rais au viongozi wa kisiasa bila kifikiri nje ya box sitoshangaa ipo siku giza litalikumba Taifa hili na kila mtu aliopo leo huwenda asiwepo na uwenda yale maneno aliwahi sema Mzee Wakaya JK yakawa kweli.

Wajukuu kutafuta makaburi ya mababu zao nakufukua mafuvu na kuyachapa kwa makosa yalifanyika kipindi cha uongozi wao.

Hivi kweli samahani sana hivi kweli matajiri wa Tz wamechangia royal Tour ya Rais wa jamuhuri ya watu wa Tz na high level officer include number one anatoka mbele nakusifia matajiri wazalendo?

Mungu natubu kwa Taifa langu yani kweli ndugu zangu wa maadili ya umma mnakubaliana eti matajiri wamemchangia Rais royal tour ehe alafu kesho waliochangia mabilion mnapower kuwaambia walipe kodi au kuwazuwia wasipandishe bei wanavyo taka?

Sorry we lost the way. Hata kama hili taifa ni masikin kiasi gani hiki kitendo cha matajiri kuchangia royal tour italigharimu Taifa kwa muda usio julikana ila pia hata alio waita naku organise uwenda akawa nawakati mgumu mbeleni.

Ofisi ya Rais kwa mujibu wakatiba na tume ya maadili niofisi hapaswi pokea asante au hongera kwa aina hii ya uchangishaji. Hakuna pesa yatajiri inatoka bila kuwa na rtn. Labda uniambie pasingekuwa na miongozo ya viomgozi na watumishi wa umma. Kama mtakumbuka kuna kiongoz aliwahi pewa jiwe na mnakumbuka jinsi lile jiwe lilisumbua tume ya maadili leo amekuja kiongozi amechangisha matajiri na ameitangaza Tz.

Kesho unakwenda na Agency notice unataka mapato jibu lake litakuwaje?

Hivi nani ametuloga mbona kama hatuwoni chochote na kila mtu anapiga makofi while taasisi ya Rais imejiingiza kwenye mgogoro wa kikatiba yani matajiri wanaichangia royal tour while vitu vinapanda at speed ya chita nani analaumiwa?

Haya nimemaliza
Mlipo ambiwa andikeni katiba mpya, jengeni taasisi imara mlishupaza shingo mkijua boss wenu ataishi milele. Haya ni matokeo ya nchi kukosa taasisi imara zinazoweza kusimamia maslahi ya nchi na ukosefu wa katiba inayoweza kumuajibisha kiongozi yeyote anapo kwenda kinyume na miongozo iliyopo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Royal Tour ni jambo jema kabisa kwa maslahi mapana ya Taifa.
Bali matajiri walichangia almost karibu wote ni watu hatari sana na wanaotarajia malipo na tumeona tayari wamenza kujipenyeza ktk maeneo nyeti kwa maslahi binafsi
 
Mkuu endekea, mwaga yote naamini unawafahamu waliochangia na lazima wameanza kupata ahueni ya kodi.
 
Mnajua hata tukisema tunalipenda taifa hili kwa kusifia kila jambo anafanya Rais au viongozi wa kisiasa bila kifikiri nje ya box sitoshangaa ipo siku giza litalikumba Taifa hili na kila mtu aliopo leo huwenda asiwepo na uwenda yale maneno aliwahi sema Mzee Wakaya JK yakawa kweli.

Wajukuu kutafuta makaburi ya mababu zao nakufukua mafuvu na kuyachapa kwa makosa yalifanyika kipindi cha uongozi wao.

Hivi kweli samahani sana hivi kweli matajiri wa Tz wamechangia royal Tour ya Rais wa jamuhuri ya watu wa Tz na high level officer include number one anatoka mbele nakusifia matajiri wazalendo?

Mungu natubu kwa Taifa langu yani kweli ndugu zangu wa maadili ya umma mnakubaliana eti matajiri wamemchangia Rais royal tour ehe alafu kesho waliochangia mabilion mnapower kuwaambia walipe kodi au kuwazuwia wasipandishe bei wanavyo taka?

Sorry we lost the way. Hata kama hili taifa ni masikin kiasi gani hiki kitendo cha matajiri kuchangia royal tour italigharimu Taifa kwa muda usio julikana ila pia hata alio waita naku organise uwenda akawa nawakati mgumu mbeleni.

Ofisi ya Rais kwa mujibu wakatiba na tume ya maadili niofisi hapaswi pokea asante au hongera kwa aina hii ya uchangishaji. Hakuna pesa yatajiri inatoka bila kuwa na rtn. Labda uniambie pasingekuwa na miongozo ya viomgozi na watumishi wa umma. Kama mtakumbuka kuna kiongoz aliwahi pewa jiwe na mnakumbuka jinsi lile jiwe lilisumbua tume ya maadili leo amekuja kiongozi amechangisha matajiri na ameitangaza Tz.

Kesho unakwenda na Agency notice unataka mapato jibu lake litakuwaje?

Hivi nani ametuloga mbona kama hatuwoni chochote na kila mtu anapiga makofi while taasisi ya Rais imejiingiza kwenye mgogoro wa kikatiba yani matajiri wanaichangia royal tour while vitu vinapanda at speed ya chita nani analaumiwa?

Haya nimemaliza
Kwamba familia yetu IMEHONGWA!! Nan wa kusaidia kuibua HOJA hii bungeni, tupige kura ya maoni?
 
Hizo ni Kodi za wananchi. Hakuna cha mchango wala nini.

Matajiri karibu wote walikufa na Corona na wengine kufilisika.
Wapi Mafuruki, Gulam, HansPope n.k
Na wengine walifilisiwa na wengine kutekwa na Mwendazake
 
Kwa msomi wa uhasibu au kozi yeyote pale IFM wanaielewa hii maadili.ukicremisha kile kipengele kinasema zawadi isizidi nominal value.nominal valua ndio wanafunzi huwa hatuielewi.
Lakini 7bil ni nominal value kwa level yake.
Kwa level yangu ni Tshs 50,000.
 
Royal tour ni filamu ya kutangaza vivutio mbali mbali vya kitalii vilivyomo inchini. Filamu ni biashara, sioni ubaya kama watanzania wenye uwezo wameweza kuchangia hii filamu. Je filamu hii ni kitu kizuri kwa nchi yetu - wengi wanafikiri itaongeza watalii wa ndani na nje. Sheria za ulipaji kodi zipo kwahiyo sioni tatizo kama hawa matajiri ambao pia ni raia wema wameamua kufanya kitu kizuri kwa nchi. Watanzania lazima tubadilike nchi nyingi zilizoendelea ni kawaida wafanya biashara au matajiri kuchangia kwenye jambo jema. Kama angesubiri pesa hiyo itoke kwenye mfuko wa serikali peke yake unadhani hiyo filamu ingekuwa imefanyika? Kila jambo lina pande mbili - chanya na hasi. Kwanini tunapenda kutazama pande hasi peke yake. Utalii Tanzania umedorora sana kutokana na UVIKO-19 ulikuwa unahitaji kutafutiwa ufumbuzi wa haraka, utalii ni asilimia 25 ya pato la taifa. Tuipe muda hii filamu ili tuone kama italeta mafanikio yanayotarajiwa. Hao matajiri wamewekeza kwenye filamu hiyo- lazima kuna faida ambayo itapatikana. Wananchi wengi wa Tz wamezoea na mara nyingi wanasubiri Serikali ifanye kila kitu- hata kuchimba mifereji ya kuongoza maji ya mvua kando ya nyumba zao.
Umeandika vyema ila kumbuka wapo watu wanaona mwakani. So le us see. Ila nazidi kukumbusha hakuna tajiri anafanya jambo la hasara. Nilaxima tuirudishe in direct. Yes
 
Ndiyo maana masikini wanabaki kuwa masikini, fikra za kimasikini hazitukomboi
 
Kuna orodha nimeiona mahali kwa CHAWA mmoja ikidaiwa ndiyo ya wachangiaji.

Pamoja na Rais mwenyewe kusema kachangiwa na taasis pamoja na watu binafsi ile list imetaja taasis tu tena bila kiasi walichotoa.

Kuna ubabaishaji mwingi mno kwenye hili.
 
Mnajua hata tukisema tunalipenda taifa hili kwa kusifia kila jambo anafanya Rais au viongozi wa kisiasa bila kufikiri nje ya box sitoshangaa ipo siku giza litalikumba Taifa hili na kila mtu aliopo leo huwenda asiwepo na uwenda yale maneno aliwahi sema Mzee Wakaya JK yakawa kweli.

Wajukuu kutafuta makaburi ya mababu zao nakufukua mafuvu na kuyachapa kwa makosa yalifanyika kipindi cha uongozi wao.

Hivi kweli samahani sana hivi kweli matajiri wa Tz wamechangia royal Tour ya Rais wa jamuhuri ya watu wa Tz na high level officer include number one anatoka mbele nakusifia matajiri wazalendo?

Mungu natubu kwa Taifa langu yani kweli ndugu zangu wa maadili ya umma mnakubaliana eti matajiri wamemchangia Rais royal tour ehe alafu kesho waliochangia mabilion mnapower kuwaambia walipe kodi au kuwazuwia wasipandishe bei wanavyo taka? Au ndio tunarudi kule tulitoka unanijuwa mm nani? Nenda kamuulize Rais wako wasaidizi wake... End

Sorry we lost the way. Hata kama hili taifa ni masikin kiasi gani hiki kitendo cha matajiri kuchangia royal tour italigharimu Taifa kwa muda usio julikana ila pia hata alio waita naku organise uwenda akawa nawakati huko mgumu mbeleni. Maana kitendo hiki japo kinasura nzuri ila kinavunja sheria ya maadili ya umma. Yes Rais ni Taasisi nasio jina au mtu. Mtu amewekwa kikatiba kusimamia taasisi. Huwezi mpelekea zawadi au mchangia Rais ila unaweza peleka zawadi kwa mtu nje ya taasisi. Well muda utasema.

Ofisi ya Rais kwa mujibu wakatiba na tume ya maadili ni ofisi hapaswi pokea asante au hongera kwa aina hii ya uchangishaji. Hakuna pesa yatajiri inatoka bila kuwa na RTN never ever we must pay and who will pay nisisi masikini. Labda uniambie pasingekuwa na miongozo ya viomgozi na watumishi wa umma. Kama mtakumbuka kuna kiongoz aliwahi pewa jiwe na mnakumbuka jinsi lile jiwe lilisumbua tume ya maadili leo amekuja kiongozi amechangisha nakuchangiwa na matajiri na ameitangaza Tz.

Kesho unakwenda na Agency notice unataka mapato jibu lake litakuwaje?

Hivi nani ametuloga mbona kama hatuwoni chochote na kila mtu anapiga makofi while taasisi ya Rais imejiingiza kwenye mgogoro wa kikatiba yani matajiri wanaichangia royal tour while vitu vinapanda at speed ya chita nani analaumiwa?

Haya nimemaliza
Nadhani ipo haja ya kuyaweka haya mambo bayana.

1. Waliochangia tuwatambue ni kina nani
2. Wamechangia kiasi gani kila mmoja
3. Utaratibu wa kuchangia ulikuwaje? Walifuatwa na kuombwa? Nani aliwafuata? Kwa utaratibu upi? Kwa nini wao? n.k.

Kama hakuna makandokando hakuna sababu ya kufichaficha mambo haya. Hii ni nchi yetu wote!
 
Kama tunakatiba inayompa rais afanye atakalo sasa mnalalamika nini.

Kipindi cha mzee Magu ilikuwa hivi hivi anagawa hovyo hela.

Anaamua analoona linafaa hata kama ni kinyume na sheria za nchi ama ustaarabu wetu.

Tuache kulaumu mtu,tupambane tuwe na katiba ifaayo dhidi ya yeyote yule.
 
Back
Top Bottom