Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 8,787
- 5,535
Bilionea George Soros anaishi na ubaya ule ule aliokuwa nao Marehemu Henry Kissinger miaka ile ya 70,80 na 90 alipokuwa na cheo na heshima katika serikali zilizoongoza USA.
George Soros ndiye aliyeichangia kuiharibu Ukraine kwa kuingiza uhasama mwingi na mwisho wa siku kafanya biashara kubwa ya silaha wakati vizee vya kiukraine vikiuliwa bila ya hatia yoyote pamoja na watoto na wajukuu zao walioamua kwenda kuishi Ulaya Magharibi.
Huyu mzee ni adui wa serikali nyingi duniani, kwake uwepo wa machafuko ni uhakika wa maisha ya leo na kesho!. Hajali wingi wa yatima wanaotokana na vita, hajali umasikini wa kupindukia unaokuwepo baada ya rasilimali pesa nyingi kutumika katika kuiendesha vita zisizo na ulazima wowote.
Mmiliki wa taasisi ya Open Society anatamani sana aweze kupenyeza chuki kwa serikali ya Tanzania ili afanye biashara haramu yenye pesa nyingi ya mauzo ya silaha.
Mwangi alipokamatwa kakutwa na dola laki nne, huyo dada wa kiganda kakutwa na madola mengi tu, walikuwa wanazipeleka wapi hizi pesa?. Wote wawili pamoja na Martha Karua na wale wengine watatu waliozuiliwa uwanja wa ndege ni waajiriwa wa Open Society ya Mzee George Soros!.
Tanzania tuna idara imara sana ya usalama wa Taifa, ipo kazini saa 24 ipo macho hailali. Hizo pesa walizoshikwa nazo hawa wanaharakati ndio zinagawiwa kwa madalali wao wengine wadogo wadogo ambao hawaoni taabu kutetea mengi wasiyoyajua na wengine ni sehemu ya huo mgao wa pesa zinazotoka kwa Soros.
Tupo imara kwenye ulinzi pia tupo na Mwenyezi Mungu siku zote.
Nchi iliwekwa kwenye ulinzi wa mikono ya Muumba siku moja kabla ya uhuru hawezi kuiacha ikachafuliwa na pesa haramu za Mzee dhalimu wa kimarekani.
George Soros ndiye aliyeichangia kuiharibu Ukraine kwa kuingiza uhasama mwingi na mwisho wa siku kafanya biashara kubwa ya silaha wakati vizee vya kiukraine vikiuliwa bila ya hatia yoyote pamoja na watoto na wajukuu zao walioamua kwenda kuishi Ulaya Magharibi.
Huyu mzee ni adui wa serikali nyingi duniani, kwake uwepo wa machafuko ni uhakika wa maisha ya leo na kesho!. Hajali wingi wa yatima wanaotokana na vita, hajali umasikini wa kupindukia unaokuwepo baada ya rasilimali pesa nyingi kutumika katika kuiendesha vita zisizo na ulazima wowote.
Mmiliki wa taasisi ya Open Society anatamani sana aweze kupenyeza chuki kwa serikali ya Tanzania ili afanye biashara haramu yenye pesa nyingi ya mauzo ya silaha.
Mwangi alipokamatwa kakutwa na dola laki nne, huyo dada wa kiganda kakutwa na madola mengi tu, walikuwa wanazipeleka wapi hizi pesa?. Wote wawili pamoja na Martha Karua na wale wengine watatu waliozuiliwa uwanja wa ndege ni waajiriwa wa Open Society ya Mzee George Soros!.
Tanzania tuna idara imara sana ya usalama wa Taifa, ipo kazini saa 24 ipo macho hailali. Hizo pesa walizoshikwa nazo hawa wanaharakati ndio zinagawiwa kwa madalali wao wengine wadogo wadogo ambao hawaoni taabu kutetea mengi wasiyoyajua na wengine ni sehemu ya huo mgao wa pesa zinazotoka kwa Soros.
Tupo imara kwenye ulinzi pia tupo na Mwenyezi Mungu siku zote.
Nchi iliwekwa kwenye ulinzi wa mikono ya Muumba siku moja kabla ya uhuru hawezi kuiacha ikachafuliwa na pesa haramu za Mzee dhalimu wa kimarekani.