imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Tuliza mshono fedha zitiririke Chura arudi unguja.Imekula kwake. Huo ujinga akafanyie huko huko kwenye watu wanaozipokea pesa zake.
Tuliza mshono fedha zitiririke Chura arudi unguja.Imekula kwake. Huo ujinga akafanyie huko huko kwenye watu wanaozipokea pesa zake.
FIKIRIA VIZURI NA AMINI UTAONA HUU NI UJINGA UNAONGEABilionea George Soros anaishi na ubaya ule ule aliokuwa nao Marehemu Henry Kissinger miaka ile ya 70,80 na 90 alipokuwa na cheo na heshima katika serikali zilizoongoza USA.
George Soros ndiye aliyeichangia kuiharibu Ukraine kwa kuingiza uhasama mwingi na mwisho wa siku kafanya biashara kubwa ya silaha wakati vizee vya kiukraine vikiuliwa bila ya hatia yoyote pamoja na watoto na wajukuu zao walioamua kwenda kuishi Ulaya Magharibi.
Huyu mzee ni adui wa serikali nyingi duniani, kwake uwepo wa machafuko ni uhakika wa maisha ya leo na kesho!. Hajali wingi wa yatima wanaotokana na vita, hajali umasikini wa kupindukia unaokuwepo baada ya rasilimali pesa nyingi kutumika katika kuiendesha vita zisizo na ulazima wowote.
Mmiliki wa taasisi ya Open Society anatamani sana aweze kupenyeza chuki kwa serikali ya Tanzania ili afanye biashara haramu yenye pesa nyingi ya mauzo ya silaha.
Mwangi alipokamatwa kakutwa na dola laki nne, huyo dada wa kiganda kakutwa na madola mengi tu, walikuwa wanazipeleka wapi hizi pesa?. Wote wawili pamoja na Martha Karua na wale wengine watatu waliozuiliwa uwanja wa ndege ni waajiriwa wa Open Society ya Mzee George Soros!.
Tanzania tuna idara imara sana ya usalama wa Taifa, ipo kazini saa 24 ipo macho hailali. Hizo pesa walizoshikwa nazo hawa wanaharakati ndio zinagawiwa kwa madalali wao wengine wadogo wadogo ambao hawaoni taabu kutetea mengi wasiyoyajua na wengine ni sehemu ya huo mgao wa pesa zinazotoka kwa Soros.
Tupo imara kwenye ulinzi pia tupo na Mwenyezi Mungu siku zote.
Nchi iliwekwa kwenye ulinzi wa mikono ya Muumba siku moja kabla ya uhuru hawezi kuiacha ikachafuliwa na pesa haramu za Mzee dhalimu wa kimarekani.
Mnakaribisha kifo bila kujijua.Swali zuri sana na kama Geoge Soro ni mwenye kusaidia ukombozi basi tunamkaribisha.
Kuna mengi yanayotokea nyuma ya pazia ambayo mamlaka hazina sababu ya kuyaweka wazi. Huu ni mwaka wa uchaguzi usitegemee mawakala kina Lissu na Karua watakuwa wanafurahia amani ya TZ.FIKIRIA VIZURI NA AMINI UTAONA HUU NI UJINGA UNAONGEA
TUNDU LISSU ALIPIGWA RISAS NA WATU WASIOJULIKANA LENGO KUONDOA MAISHA YAKE UNADHANI LISSU ANAJULIKANA SINGIDA TU?
COMMON SENSE TUMIA TAJIRI AMLIPE MWANAHARAKTI KUFANYA UGAIDI HIVI UNAYO AKIL? UNAONA PESA NI ZAKUCHEZEWA KISA ZIPO?
WANAHARAKT WALE WANAMJALI MWANAHARAKT HUYU..!!
UTASEMA LISSU KACHAGULIWA KUWA KATIBU MWENYEKITI (IDU) ILI VITA ITOKEE??
KUNAMTU KASEMA UMEONGEA RUBBISH LAKINI HII NI LOW IQ KIASI KWAMBA UNAWEZA TRAIN AKILI YAKO UKAWAZA NJE YA MAWAZO HAYO ILA OPINION NI MATAKO KILA MTU ANAYO..
anamchukia muuza majeneza badala kupambana na ugonjwa kabla kifoKuuza silaha ni biashara kama biashara yeyote mkuu, lakini pia anaefanya mauaji ni mtu na sio silaha
Huyo Mwangi wamemkuta madola mengi yanatoka kwa Soros, hata yule mama waliyemzuia pale Airport pia kipindi hiki ana pesa nyingi zinazotoka kwa huyo huyo Mzee mshenzi wa kimarekani.Kuna watu wameichoka amani tuliyonayo daima wanawaonea wivu Congo mashariki, Ukraine na Gaza wanavyoishi, kuharibu amani ni kitu rahisi saana shida ni kuirudisha....
TAJIRI TENA NI ( GEORGE SOROS )AMEMLIPA MWANGI,AGATHER KUFANYA UGAIDI NDIO UNACHOSEMA..Ndio ukweli wenyewe, hao kina Karua na Mwangi ni madalali tu tajiri mwenyewe ndio huyo Mzee George Soros.
Ugonjwa tunaendelea kupambana nao, haswa kwa kuuzuia pale uwanja wa ndege ili usiwafikie madalali wengi wanaofanya kazi za wazungu wenye mioyo ya kishenzi.anamchukia muuza majeneza badala kupambana na ugonjwa kabla kifo
Jibu hoja ya Gwajima wameuwawa watu 80 je polisi hawajui? Au unasubilia auwawe mtoto wa Samia,AbdulBilionea George Soros anaishi na ubaya ule ule aliokuwa nao Marehemu Henry Kissinger miaka ile ya 70,80 na 90 alipokuwa na cheo na heshima katika serikali zilizoongoza USA.
George Soros ndiye aliyeichangia kuiharibu Ukraine kwa kuingiza uhasama mwingi na mwisho wa siku kafanya biashara kubwa ya silaha wakati vizee vya kiukraine vikiuliwa bila ya hatia yoyote pamoja na watoto na wajukuu zao walioamua kwenda kuishi Ulaya Magharibi.
Huyu mzee ni adui wa serikali nyingi duniani, kwake uwepo wa machafuko ni uhakika wa maisha ya leo na kesho!. Hajali wingi wa yatima wanaotokana na vita, hajali umasikini wa kupindukia unaokuwepo baada ya rasilimali pesa nyingi kutumika katika kuiendesha vita zisizo na ulazima wowote.
Mmiliki wa taasisi ya Open Society anatamani sana aweze kupenyeza chuki kwa serikali ya Tanzania ili afanye biashara haramu yenye pesa nyingi ya mauzo ya silaha.
Mwangi alipokamatwa kakutwa na dola laki nne, huyo dada wa kiganda kakutwa na madola mengi tu, walikuwa wanazipeleka wapi hizi pesa?. Wote wawili pamoja na Martha Karua na wale wengine watatu waliozuiliwa uwanja wa ndege ni waajiriwa wa Open Society ya Mzee George Soros!.
Tanzania tuna idara imara sana ya usalama wa Taifa, ipo kazini saa 24 ipo macho hailali. Hizo pesa walizoshikwa nazo hawa wanaharakati ndio zinagawiwa kwa madalali wao wengine wadogo wadogo ambao hawaoni taabu kutetea mengi wasiyoyajua na wengine ni sehemu ya huo mgao wa pesa zinazotoka kwa Soros.
Tupo imara kwenye ulinzi pia tupo na Mwenyezi Mungu siku zote.
Nchi iliwekwa kwenye ulinzi wa mikono ya Muumba siku moja kabla ya uhuru hawezi kuiacha ikachafuliwa na pesa haramu za Mzee dhalimu wa kimarekani.
ONGEA NA STATISTICS DOLLAR NGAPI NI NYINGI MAANA MTANZANIA NI MASKINI WA FEDHA NA AKILIHuyo Mwangi wamemkuta madola mengi yanatoka kwa Soros, hata yule mama waliyemzuia pale Airport pia kipindi hiki ana pesa nyingi zinazotoka kwa huyo huyo Mzee mshenzi wa kimarekani.
Hao wote wapo kwenye payroll ya Soros, kuja Tanzania kusikiliza kesi ni sehemu ya kazi wanazotuma report kwa tajiri kuonyesha nini wanachokifanya kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania.TAJIRI TENA NI ( GEORGE SOROS )AMEMLIPA MWANGI,AGATHER KUFANYA UGAIDI NDIO UNACHOSEMA..
Hakuna nchi duniani isiyo na vifo vya ajabu ajabu, kuanzia Marekani mpaka kwenye hivi visiwa vidogo.Jibu hoja ya Gwajima wameuwawa watu 80 je polisi hawajui? Au unasubilia auwawe mtoto wa Samia,Abdul
Mwangi kakutwa na dola laki nne, yule dada pia kakutwa na dola nyingi tu.ONGEA NA STATISTICS DOLLAR NGAPI NI NYINGI MAANA MTANZANIA NI MASKINI WA FEDHA NA AKILI
Huyo Mwangi wamemkuta madola mengi yanatoka kwa Soros, hata yule mama waliyemzuia pale Airport pia kipindi hiki ana pesa nyingi zinazotoka kwa huyo huyo Mzee mshenzi wa kimarekani.
Madeni yanalipwa kila kukicha, unyama anaoufanya Soros muda huu huacha madhara makubwa.Kwahio agather katumwa na George soros,Pia Na Boniface pia Na TUNDU LISSU??? kam unaangalia wapi mabeberu wametufunga kifungo cha MADENI ambayo tukiangalia Wapi tunaelekea Kwa Haya Madeni Utajua Beberu kashika je nchi yako
Dollar laki 4 safi sana unajua je Organization Mwangi aliopo Ili donate shingapi kwenye shughuli za upambanaji wa haki za binadamu na uhuru wa kisiasa???Mwangi kakutwa na dola laki nne, yule dada pia kakutwa na dola nyingi tu.
Ukombozi wa kweli wakati wewe umejificha jina ukitumia la bandia ili mamlaka zikikutaka zisikupate!.pumbafu kama mnaidara makini mbona mmeshindwa kuwakamata wasiojulikana bora machafuko yatokee ilitupate ukombozi wa kweli