Moshe Dayan,
Mkuu, wenyeji wenyewe hawajui Bush yuko wapi na wala hawana muda wa kufahamu. Hakuna mtalii anayekwenda nchi kwa sababu aliwahi sikia Bush kaenda..
Kifupi huu ujio wa Bush tunautukuza sisi wenyewe kwa fikra za malaya aliyepata mzungu pale Jolly club!...Anachofikiria yeye ni dollar tu bila kufikiria kwamba hata huyo mzungu anaweza kuwa na Ukimwi..
Mwisho, jiulize mzungu anayenunua mapenzi na malaya hivi nani mwenye kufaidi mahuasiano hayo. Je, hayo mabusu na vishindo vya vinyaji ni kielelezo cha mapenzi ya kweli?...
Hivyo basi ikiwa sisi tunampokea Bush kwa akili za malaya, well and good lakini kama tunafikiria mapenzi na fadhila tu bila kuvua chupi zetu mkuu tumepotea..
samahani ni ukumbi wa picha, duh!