GEORGE BUSH in TANZANIA (pictures only thread)

Dubya na Kikwete Ikulu leo


Huu urafiki utadumu ata baada ya Dubya kutoka madarakani? alafu hizo podium jamaa watatuachia ama wataondoka nazo?











Nani aliyetengeneza hivi vitenge na khanga, maana najua jinsi nchi yetu ilivyo mke wa kigogo kapewa tenda naye kaongezea cha juu...by the way kuna mtu anajua wapi naweza kupata pair kadhaa?
 
Icadon,

Ni kuwa wabunifu tu, hata kama tenda alipewa mtu fulani, je mwingine angetengeneza vya kwake na vikawa vizuri, unafikiri vitakosa soko?

Mimi nimependa sana hiyo idea ya kutengeneza vitenge vya Bush.
 
nadhani rais wetu amefanya appealing nzuri kwa wamarekani kuongeza mihela ktk kuisaidia afrika. Ila shaka yangu inakuja pale ammbapo tunaomba sana kusaidiwa bila kuangalia upande wa pili wa shilingi.

Invisible (Robot) za siku mkuu inagwa huependagi kujibu salam zangu.....
 
Zulia la Bungeni lina bendera ya taifa! siku hizi tumeamka tushaondoka huko watu wanavaa vitambaa kichwani, bendera wa kwenye magari kama majuu...

..nini vitambaa,hata chupi za bendera ya taifa watu wanavaa. ndio utaifa huo.
 
Wanabodi,
Pale uwanja wa ndege kwenye carpet jekundu kulikuwa na bendera kubwa ya Marekani na kushoto kwake haikuwa ya Taifa!...Vipi?

Naomba kuelimishwa!
 


First Lady akimkumbatia Mtoto wa Kitanzania wa Miaka 15 Silvia Makene ambaye ni muathirika

Huyu mtoto mbona anafanana na yule "alietunguliwa"na ungo akikata anga za kanisa kutoka Mtwara kwenda Morogoro kwenye "mkutano" wa mwaka
 
Huyu mtoto mbona anafanana na yule "alietunguliwa"na ungo akikata anga za kanisa kutoka Mtwara kwenda Morogoro kwenye "mkutano" wa mwaka
__________________
The greatest lesson in life is to know that even fools are right sometimes

???????????????????????????????????????????!

Can Somebody help me? kumbe ukishangaa ya musa utaona ya ........!
 
interesting! hawa jamaa tutake tusitake lazma tuwe nao.kiukweli wanatusaidia sana.afu hii trip ya jamaa inatupa goodwill duniani.
 
Moshe Dayan,

Mkuu, wenyeji wenyewe hawajui Bush yuko wapi na wala hawana muda wa kufahamu. Hakuna mtalii anayekwenda nchi kwa sababu aliwahi sikia Bush kaenda..
Kifupi huu ujio wa Bush tunautukuza sisi wenyewe kwa fikra za malaya aliyepata mzungu pale Jolly club!...Anachofikiria yeye ni dollar tu bila kufikiria kwamba hata huyo mzungu anaweza kuwa na Ukimwi..
Mwisho, jiulize mzungu anayenunua mapenzi na malaya hivi nani mwenye kufaidi mahuasiano hayo. Je, hayo mabusu na vishindo vya vinyaji ni kielelezo cha mapenzi ya kweli?...
Hivyo basi ikiwa sisi tunampokea Bush kwa akili za malaya, well and good lakini kama tunafikiria mapenzi na fadhila tu bila kuvua chupi zetu mkuu tumepotea..

samahani ni ukumbi wa picha, duh!
 

You are entitled to your own opinions. However, your comments are insults to all Tanzanians who cheered Bush's arrival. May be Mullah Omar could have visited instead.
 
Tz Pride,
Wala usifikirie kukianzisha na mimi!... mawazo yako ya kufungashiwa, mtumwa wa akili wee!
Mullah Omar na Bush wote wajinga tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…