Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,390
- 3,188
7 maana halina pipe kwa chini tofauti na pipa nyingine
Namba11 ni sawa kwa maelezo kuwa, mtungo wa vyombo vingi vilivyounganishwa kwa mfumo wa "connection" vya kujaza si maji tu, hata "item" zingine, chombo cha mwisho ndiyo huwa cha kwanza kujaa na cha kwanza huwa ni cha mwisho.Namba 11
Exactly, halafu pia naona hiyo no.7 maji yake hayatajaa yataishia diversion ilipoishiaNamba11 ni sawa kwa maelezo kuwa, mtungo wa vyombo vingi vilivyounganishwa kwa mfumo wa "connection" vya kujaza si maji tu, hata "item" zingine, chombo cha mwisho ndiyo huwa cha kwanza kujaa na cha kwanza huwa ni cha mwisho.
Mkiambiwa muoge kwanza kabla ya kula wali hamsikii ona sasa ujui tanki gani litajaa ukachote maji uogeYote yanajaa kwapamoja.
namba 7 linagawa.maji halita jaa hadi lijae 11.na linalo gawa kwa 11
Mkiambiwa muoge kwanza kabla ya kula wali hamsikii ona sasa ujui tanki gani litajaa ukachote maji uoge
Muhenga kijana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa duuh wewe jamaa sijui wa wapi hahaha umenichekesha sana. Mkuu hilo bomba linajaza.maji ndani ya pipa sema macho yako yana makengeza vaa miwaniBaada ya kufatilia kwa umakini sana nimegundua hamna tanki hata moja litakalojaa sababu ukiangalia tank 0 tap inamwaga maji nje maana yake hata ilo 0 haliwezi jaa sababu haliingizi hata tone ya maji na ndomaana mleta swali kaanza na tank 0 kwa maana nyingine alimanisha hamna maji yanaoingia.Maana yake km tank 0 halipokei hata toni basi matank yote yaliyobak nayo hayawez pokea maji.Mleta swali naomba mlejesho juu ya jibu langu.
Sent using Jamii Forums mobile app