simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Throttling is slow flow through a partially open valve mufano last night I throttled Foreign Extra.
Kwa nn kama ni ivyo na ww mmojawapo..Duh! JF kweli imejaa Mazuzu, hamna cha U great thinker wala nini!
PIPA LA 7. ndio litaanza kujaa fasta. Sababu iko wazi, inflow yake na outflow ziko juu tu, kwa hiyo ni lazima lijae kwanza ndio pipa la 10 lipate (ambalo ni kama njia ya kupita tu, maji ni kama hayakai) ndipo la 11 litapata maji.Ndugu zangu habari za wakati huu?
Kati ya mapipa (tanks) haya, ni lipi unafikiri litakuwa la kwanza kujaa maji?
View attachment 554041
pipa namba 0 litakuwa la kwanza kujaa kwa maana presha ya maji kuingia ni kubwa kuliko inayotoka.hivyo kivyovyote vile hilo lililokaribu na bomba litakuwa la kwanza kuwa filled up.11 mzee litaanza kujaa
uUmiza kichwa zaidi mkuu. Litajaa vp wakati linatoa chini? Kuwa jiniaz bwana. Ni sawa na kujaza maji kwenye tenga lenye tundu chini, cjui yatajaa lini.pipa namba 0 litakuwa la kwanza kujaa kwa maana presha ya maji kuingia ni kubwa kuliko inayotoka.hivyo kivyovyote vile hilo lililokaribu na bomba litakuwa la kwanza kuwa filled up.
ExcatlyPIPA LA 7. ndio litaanza kujaa fasta. Sababu iko wazi, inflow yake na outflow ziko juu tu, kwa hiyo ni lazima lijae kwanza ndio pipa la 10 lipate (ambalo ni kama njia ya kupita tu, maji ni kama hayakai) ndipo la 11 litapata maji.
bro! kama una knowledge hata 0.1% ya physics kuhusu pressure utaelewa kwa nn hilo la juu litaanza kujaa.pressure in by tap ni kubwa kuliko pressure out by tank.tank 0 litajaa na maji yatamwagia kabla ya matank yote unless ufungulie maji kwa speed ndogo sana.uUmiza kichwa zaidi mkuu. Litajaa vp wakati linatoa chini? Kuwa jiniaz bwana. Ni sawa na kujaza maji kwenye tenga lenye tundu chini, cjui yatajaa lini.